Ntemii
JF-Expert Member
- May 25, 2022
- 295
- 553
indeedEITHER WAY, YOU FOOLS ARE DOOMED!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
indeedEITHER WAY, YOU FOOLS ARE DOOMED!
Hawana hata haja ua kutuvamia mikataba yetu tu ya kibiashara tunayoingia nayo inatoshaMagu alionya kuhusu mabeberu na rasilimali zetu,Jana mama na cdf wamezungumziaHap usalama na hatari inayolikabili taifa,bado unauliza nani anataka kutuvamia!!
Elimu ndio mwanzo wa kukamatwaUjinga+ujinga=mtanganyika
Zaid ya asilimia 90 ya watanganyika bado wajinga,ndio maana serikali ya ccm iko madarakaniElimu ndio mwanzo wa kukamatwa
Siasa ndi ujinga mkubwa uliowahi kuletwa na MzunguZaid ya asilimia 90 ya watanganyika bado wajinga,ndio maana serikali ya ccm iko madarakani
We ni mjinga namba moja, umeandika utumbo mtupu, unaposema wayahudi walikuwa na nyadhifa kubwa ndsni ya ujerumani, walizipataje? Wakati wao walikuwa minority? Logic kidogo tu, nafasi za kuchaguliwa! Wao ni minority, watashinda vipi?Tanzania ina madhaifu makuu matatu ambayo yameshaonekana mpaka sasa DINI, RUSHWA na UJINGA (NAIVETY).
SOMO LA KWANZA: UFALME WA UJERUMANI (UJINGA or NAIVETY)
Usidanganyike, huhitaji kutumia nguvu kubwa kuvamia taifa la watu ambao wamehalilisha rushwa kama sehemu ya utamaduni wa maisha yao. Adui hahitaji kutumia kujiingiza kwenye vita kubwa ambayo itamgharimu hata yeye, bali anachohitaji ni kumwaga mapesa mengi kwa watawala halafu kazi inakuwa imekwisha. Tokea mwaka 1871, Ufalme wa Ujerumani ndiyo taifa lililokuwa na nguvu iliyomithirika barani Ulaya. Kiufupi hakukuwa na taifa duniani ambalo lingeweza kupambana kijeshi na Ujerumani.
Mwaka 1917, miaka mitatu baada ya vita ya kwanza ya dunia, Uingereza, Urusi na Ufaransa walikuwa wamecharazwa vibaya mno na jeshi la Ujerumani na walikuwa wanapanga kusalimu amri. Kifupi ni kwamba, miaka miwili ya mwanzo ya vita ya kwanza ya dunia, Uingereza na Ufaransa zilivurugwa bila hata risasi yao moja kufika kwenye ardhi ya Ujerumani. Bahati mbaya sana Ujerumani alikuwa na tatizo kubwa la UJINGA. Serikali ya Ujerumani ilikuwa imajaa WAYAHUDI kwenye nafasi nyeti za kimaamuzi, huku wengi wakiwa hawajichukulii kama WAJERUMANI.
Mwaka 1917, Wazayuni waliwaambia Waingereza kwamba wasisalimu amri wao watawasaidia kushinda kwa kuhakikisha Marekani anaingia kwenye vita, ila tu baada ya vita kuisha waahidi kwamba watawapa eneo liitwalo Palestina liwe nchi ya Wayahudi. Uingereza kupitia waziri wake wa mambo ya nje, Arthur Balfour akatoa tamko liitwalo The Balfour Declaration ambapo akasema endapo Wayahudi duniani kote wataungana kuisadia Uingereza basi watapewa ardhi Palestina.
Maelfu ya Wayahudi waliokuwepo Ujerumani kwenye nafasi kubwa kisiasa na kibiashara wakaanza kufanya hujuma dhidi ya Ujerumani, na baadaye nchi ikashindwa vibaya vita mno. Wajerumani wameenda kusaini mkataba wa Versailles mwaka 1919, wanawakuja Wayahudi ambao Wajerumani wako kwenye mkutano wakidai Palestine, wakabaki kushangaa na kufahamu kwamba kumbe tulisalitiwa na watu ambao tulidhani ni raia wenzetu. Watu hawapendi kusema ukweli, ila hii ndiyo ilikuwa ni moja ya sababu chama cha KINAZI kupata nguvu kubwa Ujerumani na kuanza kuua maelfu ya Wayahudi.
SOMO LA PILI: DOLA LA RUMI (UJINGA or NAIVETY)
Moja ya sababu ya dola la Rumi kuanguka ni kuruhusu wageni kuingia bila mpangilio, wakidhani kwamba watawadhibiti endapo watasumbua. Karne ya nne, Rumi ilivamiwa na maelfu ya wakimbizi wa Kijerumani (Germanic Tribes) ambao walikimbia vita nchini kwao kwasababu The Huns kutoka Asia waliwaua na kuwachinja vibaya. Baada ya kupokelewa Rumi walianza kukaa kama raia wa kawaida. Rumi ilivyoingia kwenye matatizo makubwa ya vita za wao kwa wao, makabila haya yaliamua kutumia mwaka huu kuamua kutengeneza nchi zao ndani ya dola la Rumi.
Mara zote walipojaribu, vikosi vya kirumi viliwadhibiti, ila baada ya kipindi kupita wajerumani wakapata nguvu sana na kuamua kuvamia Roma, kuuchoma moto na kumteka mfale. Mwaka 410, chifu wa Kijerumani aitwaye Odoacer alivamia Ujerumani na kumpindua Kaisari Romulus na kuanzisha ufalme wake mpya wa Italia. Huu ndiyo ukawa mwisho wa dola la Rumi la Magharibi (The Western Roman Empire). Baada ya hapo warumi na kutawala kote dunia, wakajikuta wamegeuka watumwa wa vikabila vya watu ambao walikuwa hawafahamu hata kuandika, havina ustaarabu wowote ule, ambao hapo mwanzo waliwaajiri kama wachunga ng'ombe wao na wafanyakazi wa ndani.
Kwa huu mfumo wetu wa kijinga hata anaje Biden hatawezaKuna haja ya taifa hili kupata kiongozi kama Emporer Meiji wa Japan kuja kusafisha uchafu wote na taifa kuwa na ustawi mpya.
Mada kama hii haiitaji mihemuko kwenye uchangiaji!! Tuliza munkari, ondoa ushabiki then changia kwa lugha yenye staha!!We ni mjinga namba moja, umeandika utumbo mtupu, unaposema wayahudi walikuwa na nyadhifa kubwa ndsni ya ujerumani, walizipataje? Wakati wao walikuwa minority? Logic kidogo tu, nafasi za kuchaguliwa! Wao ni minority, watashinda vipi?
Upuuzi, mwingine wa kuona kila msomali ni mwizi jambazi, kwa sababu wanakuja bila kitu, wanafika bongo wanajituma, wanasaidiana, miaka kadhaa, wanakuwa, wanamiriki hotel, vituo vya mafuta,kampuni za logistic, wa bongo wa Bantu wanapewa ajira, lakini wanakuwa na chuki! Ipo hivyo kwa, wahamiaji South afrika nk,
America ina raia wengi wenye asili ya kila taifa,wapo Iranian Americans, Palestine Americans, mbona hatujaona hiyo hujuma!?
Kim Philby, Robert Hansen, hawa walikuwa wazungu na waliuza Siri kwa urusi!
Wa Tanzania kuanzia ikulu, hawajuhi cha kufanya kujenga Nchi, hawajuhi wafanye kilimo kwanza, au, uchumi wa viwanda, wajenge reli ya Kati, au ya kwenda tunduma, wanajua kuteua tu, na wizi!
Mpaka sukari inafika kilo 5000,seriakli haijuhi inakurupuka tu, mi natamani, haya ma CCM yapigwe pipe, mpaka yashike adabu,tatizo LA Nchi hii ni utawala wa CCM, hizo zingine ni dalili tu, ondoa CCM, okoa bongo,
Skendo zote kubwa, meremeta, Richmond, escrow, zilipigwa na ma CCM, hakuna pesa ilienda Rwanda!
Nyoka ni CCM, ma panya road ni CCM,
Tanzania ina madhaifu makuu matatu ambayo yameshaonekana mpaka sasa DINI, RUSHWA na UJINGA (NAIVETY).
SOMO LA KWANZA: UFALME WA UJERUMANI (UJINGA or NAIVETY)
Usidanganyike, huhitaji kutumia nguvu kubwa kuvamia taifa la watu ambao wamehalilisha rushwa kama sehemu ya utamaduni wa maisha yao. Adui hahitaji kutumia kujiingiza kwenye vita kubwa ambayo itamgharimu hata yeye, bali anachohitaji ni kumwaga mapesa mengi kwa watawala halafu kazi inakuwa imekwisha. Tokea mwaka 1871, Ufalme wa Ujerumani ndiyo taifa lililokuwa na nguvu iliyomithirika barani Ulaya. Kiufupi hakukuwa na taifa duniani ambalo lingeweza kupambana kijeshi na Ujerumani.
Mwaka 1917, miaka mitatu baada ya vita ya kwanza ya dunia, Uingereza, Urusi na Ufaransa walikuwa wamecharazwa vibaya mno na jeshi la Ujerumani na walikuwa wanapanga kusalimu amri. Kifupi ni kwamba, miaka miwili ya mwanzo ya vita ya kwanza ya dunia, Uingereza na Ufaransa zilivurugwa bila hata risasi yao moja kufika kwenye ardhi ya Ujerumani. Bahati mbaya sana Ujerumani alikuwa na tatizo kubwa la UJINGA. Serikali ya Ujerumani ilikuwa imajaa WAYAHUDI kwenye nafasi nyeti za kimaamuzi, huku wengi wakiwa hawajichukulii kama WAJERUMANI.
Mwaka 1917, Wazayuni waliwaambia Waingereza kwamba wasisalimu amri wao watawasaidia kushinda kwa kuhakikisha Marekani anaingia kwenye vita, ila tu baada ya vita kuisha waahidi kwamba watawapa eneo liitwalo Palestina liwe nchi ya Wayahudi. Uingereza kupitia waziri wake wa mambo ya nje, Arthur Balfour akatoa tamko liitwalo The Balfour Declaration ambapo akasema endapo Wayahudi duniani kote wataungana kuisadia Uingereza basi watapewa ardhi Palestina.
Maelfu ya Wayahudi waliokuwepo Ujerumani kwenye nafasi kubwa kisiasa na kibiashara wakaanza kufanya hujuma dhidi ya Ujerumani, na baadaye nchi ikashindwa vibaya vita mno. Wajerumani wameenda kusaini mkataba wa Versailles mwaka 1919, wanawakuja Wayahudi ambao Wajerumani wako kwenye mkutano wakidai Palestine, wakabaki kushangaa na kufahamu kwamba kumbe tulisalitiwa na watu ambao tulidhani ni raia wenzetu. Watu hawapendi kusema ukweli, ila hii ndiyo ilikuwa ni moja ya sababu chama cha KINAZI kupata nguvu kubwa Ujerumani na kuanza kuua maelfu ya Wayahudi.
SOMO LA PILI: DOLA LA RUMI (UJINGA or NAIVETY)
Moja ya sababu ya dola la Rumi kuanguka ni kuruhusu wageni kuingia bila mpangilio, wakidhani kwamba watawadhibiti endapo watasumbua. Karne ya nne, Rumi ilivamiwa na maelfu ya wakimbizi wa Kijerumani (Germanic Tribes) ambao walikimbia vita nchini kwao kwasababu The Huns kutoka Asia waliwaua na kuwachinja vibaya. Baada ya kupokelewa Rumi walianza kukaa kama raia wa kawaida. Rumi ilivyoingia kwenye matatizo makubwa ya vita za wao kwa wao, makabila haya yaliamua kutumia mwaka huu kuamua kutengeneza nchi zao ndani ya dola la Rumi.
Mara zote walipojaribu, vikosi vya kirumi viliwadhibiti, ila baada ya kipindi kupita wajerumani wakapata nguvu sana na kuamua kuvamia Roma, kuuchoma moto na kumteka mfale. Mwaka 410, chifu wa Kijerumani aitwaye Odoacer alivamia Ujerumani na kumpindua Kaisari Romulus na kuanzisha ufalme wake mpya wa Italia. Huu ndiyo ukawa mwisho wa dola la Rumi la Magharibi (The Western Roman Empire). Baada ya hapo warumi na kutawala kote dunia, wakajikuta wamegeuka watumwa wa vikabila vya watu ambao walikuwa hawafahamu hata kuandika, havina ustaarabu wowote ule, ambao hapo mwanzo waliwaajiri kama wachunga ng'ombe wao na wafanyakazi wa ndani.
Mwaka 2023, taifa lilionesha mianya mibaya ya UDINI hasahasa kwenye suala la bandari. Hoja kuu za waliopinga mkataba ilikuwa ni kwamba ule uwekezaji ulifanywa kwa minajili ya UDINI, RUSHWA na UJINGA. Upande wanaotetea walisema kwamba UDINI ndiyo sababu za mkataba kupingwa, mbona na ninyi mliruhusu mataifa ya wazungu kuja kuwekeza kwasababu za DINI.
Kiufupi, mpaka kufika sasa, taifa la Tanzania linaweza kujitia moyo kwamba liko salama ila ukweli ni kwamba haliko salama eneo lolote lile. Tunasema hivi kwasababu ukweli ni kwamba, hata miaka ya 70's kuelekea vita ya Kagera, majasusi wengi waliotumiwa na Idd Amin walikutwa ni watu wa Kagera, wengine wasomi wakubwa kabisa, na wengine walifanya hivyo kwasababu za kidini. Baada ya JWTZ kufika Kampala na kuwafahamu watu hao, walibaki midomo wazi tu.
Nchi ni taasisi ngumu sana kuongozwa, binafsi huwa naamini kabisa WAFIA DINI, WALA RUSHWA na WAJINGA hawatakiwi kabisa kuongoza taifa. Wakomunisti mbali na kupingana nao kwenye mambo mengi, lakini hili la kupinga DINI na RUSHWA huwa nawaelewa mno. Nchi ikiwa na dini moja, kama UISLAMU au UKRISTO basi ipo salama, bali ikuwa na DINI MCHANGANYIKO, haiko salama kabisa na lazima serikali ihakikishe WAFIA DINI hawasogei kabisa kwenye kiti cha URAISI.
Hebu fikiria, Askofu anajisifu hadharani, kwamba kuna siku waliwahi kumuita Raisi fulani na kumkalisha kitako kwasababu tu ni mshirika wao na walimsomesha seminari. Wanamkalisha kitako na kuanza kumpa amri kuhusu mambo ya kitaifa. Wao wanaamini kwamba kwasababu mshirika wao alikubali kukalishwa kitako, basi lazima kila Raisi akalishwe kitako. HILI HALIKUBALIKI HATA KIDOGO KWASABABU LINAJENGA NYUFA KWENYE TAIFA.
Upande mwingine, unakutana na SHEIKH ambaye hata shule hajafika, na hana uelewa wa mambo mtambuka amekusanya rundo la waumini, wengine wasomi kabisa anaanza kuwahubiria kwamba Waarabu wa nje ni ndugu zao hivyo wakubaliwe kufanya lolote lile hapa nchini hata kama ni baya kiasi gani. Wengine wako hata radhi kujiunga na mitandao ya kigaidi yenye itikadi kali kueneza Jihadi. HILI NALO HALIKUBALIKI HATA KIDOGO NA ANAYELIFANYA HILI INABIDI AACHISHWE KUONA MWANGAZA WA JUA.
Nafahamu kwamba ntawakwaza wengi kwasababu watanzania hupende mno dini kiasi cha kujitoa ufahamu, lakini popote pale penye UDINI huwezi kukosa kuona UJINGA ukiwepo. Binafsi sikatai dini, ila sipendi kuona DINI inatumika kama SERA YA KIUTAWALA. (HAIWEZEKANI)
Wengine mpaka leo kwenye makanisa ya kiroho, wanalipwa fedha na mashirika ya kizayuni kuhakikisha kwamba Propaganda za kibaguzi za Kizayuni zinahubiriwa madhabahuni, zikisema kwamba kuna taifa teule ambalo hata lifanyeje hamtakiwi kulikemea na inabidi mliunge mkono kwasababu ndiyo MPANGO WA MUNGU. Ubaya ni kwamba taifa hilo ambalo mnaliita TAIFA TEULE ndiyo linahusika kuwafundisha kijeshi majasusi wa nchi inayuruga CONGO. Kiufupi siku Tanzania inafanyiwa hujuma, fahamuni kabisa kwamba TIAFA TEULE LA BWANA litakuja kuwaunga mkono wavamizi kwasababu rasilimali za nchi hii zinahitajika mno kuendeshea teknolojia mpya za karne ya 21.
EITHER WAY, YOU FOOLS ARE DOOMED!
NILIPOKUA NAIMBA KUWA RAIA FEKI WAMESHIKA HATAMU WATU WALIKUWA AWANIELEWI ...HAYA YOTE CHANZO NI RAIA FEKI WALIOPO CCM NA SERIKALI....MPAKA MAJUZI MKUU WA MAJESHI KASEMA ILI JAMBO NDIYO WAPUMBAVU WANAJIDAI KUCHANGIA HOJA ...MIMI NILIONYA SANA ILA NIKAISHIA KUPIGWA BAN NA JF KINAFIKIMwaka 2023, taifa lilionesha mianya mibaya ya UDINI hasahasa kwenye suala la bandari. Hoja kuu za waliopinga mkataba ilikuwa ni kwamba ule uwekezaji ulifanywa kwa minajili ya UDINI, RUSHWA na UJINGA. Upande wanaotetea walisema kwamba UDINI ndiyo sababu za mkataba kupingwa, mbona na ninyi mliruhusu mataifa ya wazungu kuja kuwekeza kwasababu za DINI.
Kiufupi, mpaka kufika sasa, taifa la Tanzania linaweza kujitia moyo kwamba liko salama ila ukweli ni kwamba haliko salama eneo lolote lile. Tunasema hivi kwasababu ukweli ni kwamba, hata miaka ya 70's kuelekea vita ya Kagera, majasusi wengi waliotumiwa na Idd Amin walikutwa ni watu wa Kagera, wengine wasomi wakubwa kabisa, na wengine walifanya hivyo kwasababu za kidini. Baada ya JWTZ kufika Kampala na kuwafahamu watu hao, walibaki midomo wazi tu.
Nchi ni taasisi ngumu sana kuongozwa, binafsi huwa naamini kabisa WAFIA DINI, WALA RUSHWA na WAJINGA hawatakiwi kabisa kuongoza taifa. Wakomunisti mbali na kupingana nao kwenye mambo mengi, lakini hili la kupinga DINI na RUSHWA huwa nawaelewa mno. Nchi ikiwa na dini moja, kama UISLAMU au UKRISTO basi ipo salama, bali ikuwa na DINI MCHANGANYIKO, haiko salama kabisa na lazima serikali ihakikishe WAFIA DINI hawasogei kabisa kwenye kiti cha URAISI.
Hebu fikiria, Askofu anajisifu hadharani, kwamba kuna siku waliwahi kumuita Raisi fulani na kumkalisha kitako kwasababu tu ni mshirika wao na walimsomesha seminari. Wanamkalisha kitako na kuanza kumpa amri kuhusu mambo ya kitaifa. Wao wanaamini kwamba kwasababu mshirika wao alikubali kukalishwa kitako, basi lazima kila Raisi akalishwe kitako. HILI HALIKUBALIKI HATA KIDOGO KWASABABU LINAJENGA NYUFA KWENYE TAIFA.
Upande mwingine, unakutana na SHEIKH ambaye hata shule hajafika, na hana uelewa wa mambo mtambuka amekusanya rundo la waumini, wengine wasomi kabisa anaanza kuwahubiria kwamba Waarabu wa nje ni ndugu zao hivyo wakubaliwe kufanya lolote lile hapa nchini hata kama ni baya kiasi gani. Wengine wako hata radhi kujiunga na mitandao ya kigaidi yenye itikadi kali kueneza Jihadi. HILI NALO HALIKUBALIKI HATA KIDOGO NA ANAYELIFANYA HILI INABIDI AACHISHWE KUONA MWANGAZA WA JUA.
Nafahamu kwamba ntawakwaza wengi kwasababu watanzania hupende mno dini kiasi cha kujitoa ufahamu, lakini popote pale penye UDINI huwezi kukosa kuona UJINGA ukiwepo. Binafsi sikatai dini, ila sipendi kuona DINI inatumika kama SERA YA KIUTAWALA. (HAIWEZEKANI)
Wengine mpaka leo kwenye makanisa ya kiroho, wanalipwa fedha na mashirika ya kizayuni kuhakikisha kwamba Propaganda za kibaguzi za Kizayuni zinahubiriwa madhabahuni, zikisema kwamba kuna taifa teule ambalo hata lifanyeje hamtakiwi kulikemea na inabidi mliunge mkono kwasababu ndiyo MPANGO WA MUNGU. Ubaya ni kwamba taifa hilo ambalo mnaliita TAIFA TEULE ndiyo linahusika kuwafundisha kijeshi majasusi wa nchi inayuruga CONGO. Kiufupi siku Tanzania inafanyiwa hujuma, fahamuni kabisa kwamba TIAFA TEULE LA BWANA litakuja kuwaunga mkono wavamizi kwasababu rasilimali za nchi hii zinahitajika mno kuendeshea teknolojia mpya za karne ya 21.
EITHER WAY, YOU FOOLS ARE DOOMED!
NILIPOKUA NAIMBA KUWA RAIA FEKI WAMESHIKA HATAMU WATU WALIKUWA AWANIELEWI ...HAYA YOTE CHANZO NI RAIA FEKI WALIOPO CCM NA SERIKALI....MPAKA MAJUZI MKUU WA MAJESHI KASEMA ILI JAMBO NDIYO WAPUMBAVU WANAJIDAI KUCHANGIA HOJA ...MIMI NILIONYA SANA ILA NIKAISHIA KUPIGWA BAN NA JF KINAFIKI
View attachment 2889328
Naona walifuta huu uzi wanaogopa yajayo
Either way, You fools are doomed!Mwaka 2023, taifa lilionesha mianya mibaya ya UDINI hasahasa kwenye suala la bandari. Hoja kuu za waliopinga mkataba ilikuwa ni kwamba ule uwekezaji ulifanywa kwa minajili ya UDINI, RUSHWA na UJINGA. Upande wanaotetea walisema kwamba UDINI ndiyo sababu za mkataba kupingwa, mbona na ninyi mliruhusu mataifa ya wazungu kuja kuwekeza kwasababu za DINI.
Kiufupi, mpaka kufika sasa, taifa la Tanzania linaweza kujitia moyo kwamba liko salama ila ukweli ni kwamba haliko salama eneo lolote lile. Tunasema hivi kwasababu ukweli ni kwamba, hata miaka ya 70's kuelekea vita ya Kagera, majasusi wengi waliotumiwa na Idd Amin walikutwa ni watu wa Kagera, wengine wasomi wakubwa kabisa, na wengine walifanya hivyo kwasababu za kidini. Baada ya JWTZ kufika Kampala na kuwafahamu watu hao, walibaki midomo wazi tu.
Nchi ni taasisi ngumu sana kuongozwa, binafsi huwa naamini kabisa WAFIA DINI, WALA RUSHWA na WAJINGA hawatakiwi kabisa kuongoza taifa. Wakomunisti mbali na kupingana nao kwenye mambo mengi, lakini hili la kupinga DINI na RUSHWA huwa nawaelewa mno. Nchi ikiwa na dini moja, kama UISLAMU au UKRISTO basi ipo salama, bali ikuwa na DINI MCHANGANYIKO, haiko salama kabisa na lazima serikali ihakikishe WAFIA DINI hawasogei kabisa kwenye kiti cha URAISI.
Hebu fikiria, Askofu anajisifu hadharani, kwamba kuna siku waliwahi kumuita Raisi fulani na kumkalisha kitako kwasababu tu ni mshirika wao na walimsomesha seminari. Wanamkalisha kitako na kuanza kumpa amri kuhusu mambo ya kitaifa. Wao wanaamini kwamba kwasababu mshirika wao alikubali kukalishwa kitako, basi lazima kila Raisi akalishwe kitako. HILI HALIKUBALIKI HATA KIDOGO KWASABABU LINAJENGA NYUFA KWENYE TAIFA.
Upande mwingine, unakutana na SHEIKH ambaye hata shule hajafika, na hana uelewa wa mambo mtambuka amekusanya rundo la waumini, wengine wasomi kabisa anaanza kuwahubiria kwamba Waarabu wa nje ni ndugu zao hivyo wakubaliwe kufanya lolote lile hapa nchini hata kama ni baya kiasi gani. Wengine wako hata radhi kujiunga na mitandao ya kigaidi yenye itikadi kali kueneza Jihadi. HILI NALO HALIKUBALIKI HATA KIDOGO NA ANAYELIFANYA HILI INABIDI AACHISHWE KUONA MWANGAZA WA JUA.
Nafahamu kwamba ntawakwaza wengi kwasababu watanzania hupende mno dini kiasi cha kujitoa ufahamu, lakini popote pale penye UDINI huwezi kukosa kuona UJINGA ukiwepo. Binafsi sikatai dini, ila sipendi kuona DINI inatumika kama SERA YA KIUTAWALA. (HAIWEZEKANI)
Wengine mpaka leo kwenye makanisa ya kiroho, wanalipwa fedha na mashirika ya kizayuni kuhakikisha kwamba Propaganda za kibaguzi za Kizayuni zinahubiriwa madhabahuni, zikisema kwamba kuna taifa teule ambalo hata lifanyeje hamtakiwi kulikemea na inabidi mliunge mkono kwasababu ndiyo MPANGO WA MUNGU. Ubaya ni kwamba taifa hilo ambalo mnaliita TAIFA TEULE ndiyo linahusika kuwafundisha kijeshi majasusi wa nchi inayuruga CONGO. Kiufupi siku Tanzania inafanyiwa hujuma, fahamuni kabisa kwamba TIAFA TEULE LA BWANA litakuja kuwaunga mkono wavamizi kwasababu rasilimali za nchi hii zinahitajika mno kuendeshea teknolojia mpya za karne ya 21.
EITHER WAY, YOU FOOLS ARE DOOMED!
Kupata saigo takamori na sakamoto ryoma. Wale wanafunzi wa yoshida shoin.Kuna haja ya taifa hili kupata kiongozi kama Emporer Meiji wa Japan kuja kusafisha uchafu wote na taifa kuwa na ustawi mpya.
Swali zuri...Nani ana mpango wa kuivamia Tanzania?
Mkuu, kila kitu umekiweka wazi. Udini na ujinga ndilo janga kuu lililopo hivi sasa, huu n mzigo mzito kwa Afrika na Waafrika.Mwaka 2023, taifa lilionesha mianya mibaya ya UDINI hasahasa kwenye suala la bandari. Hoja kuu za waliopinga mkataba ilikuwa ni kwamba ule uwekezaji ulifanywa kwa minajili ya UDINI, RUSHWA na UJINGA. Upande wanaotetea walisema kwamba UDINI ndiyo sababu za mkataba kupingwa, mbona na ninyi mliruhusu mataifa ya wazungu kuja kuwekeza kwasababu za DINI.
Kiufupi, mpaka kufika sasa, taifa la Tanzania linaweza kujitia moyo kwamba liko salama ila ukweli ni kwamba haliko salama eneo lolote lile. Tunasema hivi kwasababu ukweli ni kwamba, hata miaka ya 70's kuelekea vita ya Kagera, majasusi wengi waliotumiwa na Idd Amin walikutwa ni watu wa Kagera, wengine wasomi wakubwa kabisa, na wengine walifanya hivyo kwasababu za kidini. Baada ya JWTZ kufika Kampala na kuwafahamu watu hao, walibaki midomo wazi tu.
Nchi ni taasisi ngumu sana kuongozwa, binafsi huwa naamini kabisa WAFIA DINI, WALA RUSHWA na WAJINGA hawatakiwi kabisa kuongoza taifa. Wakomunisti mbali na kupingana nao kwenye mambo mengi, lakini hili la kupinga DINI na RUSHWA huwa nawaelewa mno. Nchi ikiwa na dini moja, kama UISLAMU au UKRISTO basi ipo salama, bali ikuwa na DINI MCHANGANYIKO, haiko salama kabisa na lazima serikali ihakikishe WAFIA DINI hawasogei kabisa kwenye kiti cha URAISI.
Hebu fikiria, Askofu anajisifu hadharani, kwamba kuna siku waliwahi kumuita Raisi fulani na kumkalisha kitako kwasababu tu ni mshirika wao na walimsomesha seminari. Wanamkalisha kitako na kuanza kumpa amri kuhusu mambo ya kitaifa. Wao wanaamini kwamba kwasababu mshirika wao alikubali kukalishwa kitako, basi lazima kila Raisi akalishwe kitako. HILI HALIKUBALIKI HATA KIDOGO KWASABABU LINAJENGA NYUFA KWENYE TAIFA.
Upande mwingine, unakutana na SHEIKH ambaye hata shule hajafika, na hana uelewa wa mambo mtambuka amekusanya rundo la waumini, wengine wasomi kabisa anaanza kuwahubiria kwamba Waarabu wa nje ni ndugu zao hivyo wakubaliwe kufanya lolote lile hapa nchini hata kama ni baya kiasi gani. Wengine wako hata radhi kujiunga na mitandao ya kigaidi yenye itikadi kali kueneza Jihadi. HILI NALO HALIKUBALIKI HATA KIDOGO NA ANAYELIFANYA HILI INABIDI AACHISHWE KUONA MWANGAZA WA JUA.
Nafahamu kwamba ntawakwaza wengi kwasababu watanzania hupende mno dini kiasi cha kujitoa ufahamu, lakini popote pale penye UDINI huwezi kukosa kuona UJINGA ukiwepo. Binafsi sikatai dini, ila sipendi kuona DINI inatumika kama SERA YA KIUTAWALA. (HAIWEZEKANI)
Wengine mpaka leo kwenye makanisa ya kiroho, wanalipwa fedha na mashirika ya kizayuni kuhakikisha kwamba Propaganda za kibaguzi za Kizayuni zinahubiriwa madhabahuni, zikisema kwamba kuna taifa teule ambalo hata lifanyeje hamtakiwi kulikemea na inabidi mliunge mkono kwasababu ndiyo MPANGO WA MUNGU. Ubaya ni kwamba taifa hilo ambalo mnaliita TAIFA TEULE ndiyo linahusika kuwafundisha kijeshi majasusi wa nchi inayuruga CONGO. Kiufupi siku Tanzania inafanyiwa hujuma, fahamuni kabisa kwamba TIAFA TEULE LA BWANA litakuja kuwaunga mkono wavamizi kwasababu rasilimali za nchi hii zinahitajika mno kuendeshea teknolojia mpya za karne ya 21.
EITHER WAY, YOU FOOLS ARE DOOMED!