Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Raia wa kigeni kuja au kuletwa siyo tatizo ...tatizo ni ajenda ovu ya hao raia feki kushika dola na kuhujumu wazalendo na mali zetu kama mbuga misitu madini bandari nkTanzania is a lost cause. Raia wa kigeni walianza kuletwa tokea awamu ya kwanza na Raisi Nyerere.