Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Kama title inavyojieleza, hivyo ndivyo ilivyo.
Kama kiongozi wa nchi ni chaguo la Mungu, nchi hiyo itabarikiwa na itastawi. Hakuna sababu ya kusingizia mabadiliko ya tabia nchi, vita nk!
Binafsi kwa kipindi kifupi cha uongozi wake, nimeona mabadiliko makubwa ya tabia nchi tofauti na kipindi cha mtangulizi wake.
Wakati wa utawala wa mtangulizi wake nchi ilistawisha mazao, hapakuwa na ukame wa kutisha kama ilivyo sasa. Huenda ni kwasababu aliwasihi sana wananchi wamtangulize Mungu kwenye kila jambo. Tofauti na sasa inaonesha tunategemea zaidi watu wa kutusaidia kutoka mataifa tajiri!
Nchi haistawi. Malalamiko kila mahali. Hakuna mvua, Mfumuko wa bei, Magonjwa, Mgao wa umeme, maji nk.
Je, ni kweli ni mabadiliko ya tabia nchi au kuna mahali tumemkosea muumba, na hivyo tunapaswa kumrudia ili atuhurumie?
Ukweli ni kwamba, maeneo mengi hali ni mbaya. Mazao yanakauka. Hakujawa na mvua ya kutosha kwa misimu kadhaa! Mito, visima vinakauka!
Je, nini kifanyike? Kama tumeweza kufungua nchi, kwanini tusimuombe muumba wetu atusaidie kufungua anga ilete mvua yenye neema?
Kama kiongozi wa nchi ni chaguo la Mungu, nchi hiyo itabarikiwa na itastawi. Hakuna sababu ya kusingizia mabadiliko ya tabia nchi, vita nk!
Binafsi kwa kipindi kifupi cha uongozi wake, nimeona mabadiliko makubwa ya tabia nchi tofauti na kipindi cha mtangulizi wake.
Wakati wa utawala wa mtangulizi wake nchi ilistawisha mazao, hapakuwa na ukame wa kutisha kama ilivyo sasa. Huenda ni kwasababu aliwasihi sana wananchi wamtangulize Mungu kwenye kila jambo. Tofauti na sasa inaonesha tunategemea zaidi watu wa kutusaidia kutoka mataifa tajiri!
Nchi haistawi. Malalamiko kila mahali. Hakuna mvua, Mfumuko wa bei, Magonjwa, Mgao wa umeme, maji nk.
Je, ni kweli ni mabadiliko ya tabia nchi au kuna mahali tumemkosea muumba, na hivyo tunapaswa kumrudia ili atuhurumie?
Ukweli ni kwamba, maeneo mengi hali ni mbaya. Mazao yanakauka. Hakujawa na mvua ya kutosha kwa misimu kadhaa! Mito, visima vinakauka!
Je, nini kifanyike? Kama tumeweza kufungua nchi, kwanini tusimuombe muumba wetu atusaidie kufungua anga ilete mvua yenye neema?