Kama kweli Paroko katajwa kimakosa kifo cha Albino, Polisi Mtawaambia nini Watanzania?

Unaropoka sababu haumjui Paroko ni nani laiti ungekua unajua ungekaa zako tu kimya,
Ndugu unawatukuza sana maparoko. Wengi wahuni tuu. Sema wewe baada ya kutumikia Misa unaondoka kulala nyumbani. Maparoko wamalewa, wazinzi, wezi, wachawi na wabakaji wapi wengi tuu kama vile kundi jingine lolote ktk jamii
 
Mkuu inamaana wewe unajua zaidi ya Askofu wa Jimbo husika aliyethibitisha hilo? Au unataka kutuambia kuwa Jeshi limekosea kumuita Paroko Msaidizi mtuhumiwa wa mauaji?
 
Kanisa katoliki lina utaratibu wake huwa hawakurupuki kama alivyokurupuka msemaji wa polisi ndiyo maana linaheshimika duniani kote.Aliyekurupuka kumtaja paroko ajitokeze tena kulisafisha kanisa mbele ya vyombo vya habari
Aseee
 
Watatuomba radhi na sisi watu wa dini tumefundishwa kusamehe
Tutasamehe na maisha mengne yataenda.
Paroko alorajwa nae atakuwa amepata kufahamika

Mwisho
Kila jaribu linakusudi
Kwi kwi kwi! Teh teh teh
 
Tayari kashajitokeza, sio paroko ni teja aliyevaa nguo za paroko kuwaingiza kingi polisi
 
Wewe mgalatia umesikia paroko kapigwa benchi? Acheni kuua watoto wazuri kisa pesa, nao wana haki ya kuishi
Nimesikikia mkuu tutaacha, na nyie acheni kulipua watoto wazuri halafu mnasingizia mmetumwa na Wamarekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…