Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Huyo Paroko ni mtu msomi tena wa dini, halafu anaendekeza ushirikina.
Kaliaibisha sana Kanisa Katoriki huyo mwehu.
Analishwa bure na kuvishwa bure na usafiri wa bure halafu anafanya upumbavu wa hali ya juu kabisa.
Mauaji ya huyo mtoto yamenihuzunisha sana.
Shenzi zake
Kaliaibisha sana Kanisa Katoriki huyo mwehu.
Analishwa bure na kuvishwa bure na usafiri wa bure halafu anafanya upumbavu wa hali ya juu kabisa.
Mauaji ya huyo mtoto yamenihuzunisha sana.
Shenzi zake