Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Kanisa lenyewe likanushe lisitumie wahuni mitandaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa lenyewe likanushe lisitumie wahuni mitandaoni
Kwani haujaona au ndio kukurupuka na kuropoka ovyo? Tulia wewe Jamaa km ni mwanahabari kweli basi tuna kaziUko sahihi
Unamjua msemaji wa kanisa katoliki Tanzania ? Hao ndio wahuni ninaokuambia
Kanisa katoliki lina utaratibu wake huwa hawakurupuki kama alivyokurupuka msemaji wa polisi ndiyo maana linaheshimika duniani kote.Aliyekurupuka kumtaja paroko ajitokeze tena kulisafisha kanisa mbele ya vyombo vya habariSalaam Wakuu,
Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.
Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.
Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.
"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".
Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.
Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Hueleweki ukichoandikaKwani haujaona au ndio kukurupuka na kuropoka ovyo? Tulia wewe Jamaa km ni mwanahabari kweli basi tuna kazi
Kitendo cha watuhumiwa(kanisa) kukaa kimya mpaka muda huu kwa tuhuma nzito kiasi hicho ni udhibitisho tosha kwamba kuna ukweli ambao wanautengenezea majibu.Hebu tuthibitishie
Inasikitisha sanaNa hii huwa tunasema kila siku huku. Uovu usichanganywe na taasisi. Leo padri, kesho shehe kesho kutea mchungaji. Shida hapa angekuwa shehe au mchungaji ungeona tabu yake.....moja la mitume sijui limefanyaje. Hapa na Padri mbwembwe nyingi. Kipindi Cha Uovu wa Gwajima kila mchungaji alitukanwa. Ikifika kwa padri wa Kilimanjaro yule mbakaji kunakuwa na excuses. Tutumie akili uovu hauna dini
Wahuni? Baada ya Paroko? Sasa kanisa la Wahuni?Unamjua msemaji wa kanisa katoliki Tanzania ? Hao ndio wahuni ninaokuambia
Km tuna wanahabari wa kariba yako kazi tunayo Sisi, unakua km DC wa Ubungo, mwanahabari tulia acha kukurupuka ovyo wewe mwanahabari gani unakurupukia mambo?Hueleweki ukichoandika
Subiri itue mahakamani mtatoroka vichakaniKm tuna wanahabari wa kariba yako kazi tunayo Sisi, unakua km DC wa Ubungo, mwanahabari tulia acha kukurupuka ovyo wewe mwanahabari gani unakurupukia mambo?
Chifu hizo jumbe za whatsapp ndio utaratibu wa kanisa kujibu tuhuma nzito kama hizo , huyo Paroko hana mamlaka ya kulijibia kanisa sio kazi yake.Wahuni? Baada ya Paroko? Sasa kanisa la Wahuni?
Huna akiliSubiri itue mahakamani mtatoroka vichakani
Huna akiliChifu hizo jumbe za whatsapp ndio utaratibu wa kanisa kujibu tuhuma nzito kama hizo , huyo Paroko hana mamlaka ya kulijibia kanisa sio kazi yake.
Unamtetea hali yeye hajajitetea huu ni wehu, kujipendekezaSalaam Wakuu,
Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.
Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.
Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.
"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".
Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.
Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Polisi wakukurupuka waulizwe vizuriNimesoma wee naona kuna Watu wamepanik kwa sababu tu mtuhumiwa ni Paroko, Paroko ni cheo anachokuwa nacho mtu hiyo haimaanishi huyo mtu hakosei la hasha! hapa cha kujadili ni hiki
Huyo anayejulikana kwa jina la Elpidius ni padri kweli ila ni wa jimbo la Rutabo kama wanavyosema wengine, Hoja ni hii Aliyekamatwa na viungo ni nani ndo huyo wanayesema mlevi au huyu Padri sasa? Majirani wa huyo padri semeni ukweli msitetee kama ni yeye semeni ni yeye na kama sio yeye sasa hapo tujiulize jina lake limehusikaje, hapo huwezi kuja na hoja nyepesi za kutetea uparoko
hapa kuna mbinu ya kulitoa kanisa na mtuhumiwa wao kwenye hii kesiSalaam Wakuu,
Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.
Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.
Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.
"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".
Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.
Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Taarifa zinasema huyo mtajwa ni Padre aliyesimamishwa kufanya huduma kutokana na tatizo la uraibu wa pombe.Hata kama watu watasema taarifa iliandikwa haraka haraka, sio rahisi teja au mlevi kama watu wanavyosema au "mtumishi/shamba boy" wa kanisani afananishwe na Padri tena cheo kikubwa kama "Paroko". Sio rahisi hata kidogo, binafsi pamoja na ukatoliki wangu bado baamini taarifa ya polisi iko sahihi