Kama kweli Paroko katajwa kimakosa kifo cha Albino, Polisi Mtawaambia nini Watanzania?

Kama kweli Paroko katajwa kimakosa kifo cha Albino, Polisi Mtawaambia nini Watanzania?

Kanisa lenyewe likanushe lisitumie wahuni mitandaoni
IMG-20240619-WA0019.jpg
 
Salaam Wakuu,

Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.

Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.

Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.

"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".

Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.

Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Kanisa katoliki lina utaratibu wake huwa hawakurupuki kama alivyokurupuka msemaji wa polisi ndiyo maana linaheshimika duniani kote.Aliyekurupuka kumtaja paroko ajitokeze tena kulisafisha kanisa mbele ya vyombo vya habari
 
Na hii huwa tunasema kila siku huku. Uovu usichanganywe na taasisi. Leo padri, kesho shehe kesho kutea mchungaji. Shida hapa angekuwa shehe au mchungaji ungeona tabu yake.....moja la mitume sijui limefanyaje. Hapa na Padri mbwembwe nyingi. Kipindi Cha Uovu wa Gwajima kila mchungaji alitukanwa. Ikifika kwa padri wa Kilimanjaro yule mbakaji kunakuwa na excuses. Tutumie akili uovu hauna dini
Inasikitisha sana
 
Nimesoma wee naona kuna Watu wamepanik kwa sababu tu mtuhumiwa ni Paroko, Paroko ni cheo anachokuwa nacho mtu hiyo haimaanishi huyo mtu hakosei la hasha! hapa cha kujadili ni hiki

Huyo anayejulikana kwa jina la Elpidius ni padri kweli ila ni wa jimbo la Rutabo kama wanavyosema wengine, Hoja ni hii Aliyekamatwa na viungo ni nani ndo huyo wanayesema mlevi au huyu Padri sasa? Majirani wa huyo padri semeni ukweli msitetee kama ni yeye semeni ni yeye na kama sio yeye sasa hapo tujiulize jina lake limehusikaje, hapo huwezi kuja na hoja nyepesi za kutetea uparoko
 
Salaam Wakuu,

Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.

Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.

Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.

"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".

Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.

Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Unamtetea hali yeye hajajitetea huu ni wehu, kujipendekeza
 
Nimesoma wee naona kuna Watu wamepanik kwa sababu tu mtuhumiwa ni Paroko, Paroko ni cheo anachokuwa nacho mtu hiyo haimaanishi huyo mtu hakosei la hasha! hapa cha kujadili ni hiki

Huyo anayejulikana kwa jina la Elpidius ni padri kweli ila ni wa jimbo la Rutabo kama wanavyosema wengine, Hoja ni hii Aliyekamatwa na viungo ni nani ndo huyo wanayesema mlevi au huyu Padri sasa? Majirani wa huyo padri semeni ukweli msitetee kama ni yeye semeni ni yeye na kama sio yeye sasa hapo tujiulize jina lake limehusikaje, hapo huwezi kuja na hoja nyepesi za kutetea uparoko
Polisi wakukurupuka waulizwe vizuri
 
Salaam Wakuu,

Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.

Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.

Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.

"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".

Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.

Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
hapa kuna mbinu ya kulitoa kanisa na mtuhumiwa wao kwenye hii kesi
kanisa limeingia front
 
Hata kama watu watasema taarifa iliandikwa haraka haraka, sio rahisi teja au mlevi kama watu wanavyosema au "mtumishi/shamba boy" wa kanisani afananishwe na Padri tena cheo kikubwa kama "Paroko". Sio rahisi hata kidogo, binafsi pamoja na ukatoliki wangu bado baamini taarifa ya polisi iko sahihi
Taarifa zinasema huyo mtajwa ni Padre aliyesimamishwa kufanya huduma kutokana na tatizo la uraibu wa pombe.
 
Well hatuwezi kukataa,binadamu anabadilika binadamu siyo malaika tuseme hawezi kukosea hata awe paroko awe askofu awe sijui nani akiishakuwa na sifa ya ubinadamu tu huyo ni sawa na sisi sote.

Jeshi la polisi wafanye kazi yao ikithibitika ni wao sheria ifuate mkondo wake haki ya huyo mtoto ipatikane,naona kuna wanaojaribu kusema Kanisa linafanya namna kuwasafisha hakuna kitu kama hicho Kanisa linasimamia maadili yake mtu mmoja ndani yake hawezi kukosa nidhamu akaachwa kulichafua.
 
Kwenye Kesi zilizowahi kuwa maarufu kuna mtu aliwahi kuijitambulisha kwa jina la " Kukutia Ole Pumbuni."
 
Tatizo lenu nyinyi mnaonanga hamfanyi dhambi na mnaona kanisa haliwezi kosea ,hapo angekua sheghe mngeanza kutukana wavaa kobazi
Ndio mjifunze dhambi anafanya mtu sio dini imbwa nyie
 
Back
Top Bottom