Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mtu alikuwa mraibu hivyo alichukuliwa kanisani kama kusaidiwaNdugu zangu wakatoliki hiki kitu cha Paroko kutafuta msaidizi kimeanza lini na kwa kufata utaratibu upi?
Wewe unaropoka sababu haumjui Paroko ni nani laiti km ungemjua usingesema hivyo, Ila Paroko kweli?
Kitu kinawashinda Watanzania kutumia ni akili...
Kwani Paroko si ni mwanadamu kama wewe anayejiwa na mawazo ya kutenda wema na dhambi pia...
Unaropoka sababu haumjui Paroko ni nani laiti ungekua unajua ungekaa zako tu kimya,Kitu kinawashinda Watanzania kutumia ni akili...
Kwani Paroko si ni mwanadamu kama wewe anayejiwa na mawazo ya kutenda wema na dhambi pia...
Na hii huwa tunasema kila siku huku. Uovu usichanganywe na taasisi. Leo padri, kesho shehe kesho kutea mchungaji. Shida hapa angekuwa shehe au mchungaji ungeona tabu yake.....moja la mitume sijui limefanyaje. Hapa na Padri mbwembwe nyingi. Kipindi Cha Uovu wa Gwajima kila mchungaji alitukanwa. Ikifika kwa padri wa Kilimanjaro yule mbakaji kunakuwa na excuses. Tutumie akili uovu hauna diniNa huu ndio ukweli
Na hii huwa tunasema kila siku huku. Uovu usichanganywe na taasisi. Leo padri, kesho shehe kesho kutea mchungaji. Shida hapa angekuwa shehe au mchungaji ungeona tabu yake.....moja la mitume sijui limefanyaje. Hapa na Padri mbwembwe nyingi. Kipindi Cha Uovu wa Gwajima kila mchungaji alitukanwa. Ikifika kwa padri wa Kilimanjaro yule mbakaji kunakuwa na excuses. Tutumie akili uovu hauna dini
Ukimaliza kuropoka malizia magimbi yako na uji wa ulezi ulale tena,Na hii huwa tunasema kila siku huku. Uovu usichanganywe na taasisi. Leo padri, kesho shehe kesho kutea mchungaji. Shida hapa angekuwa shehe au mchungaji ungeona tabu yake.....moja la mitume sijui limefanyaje. Hapa na Padri mbwembwe nyingi. Kipindi Cha Uovu wa Gwajima kila mchungaji alitukanwa. Ikifika kwa padri wa Kilimanjaro yule mbakaji kunakuwa na excuses. Tutumie akili uovu hauna dini
Ni paroko kweli mimi pia ni mkatoliki na nipo uku kagera mkuu inauma sana.Sio paroko ni mlevi mmoja wa ngedule
Hiki ndo tunachokipinga hapa. Dini haiondoi uovu. Hata waislam ni waouvu wengi tuuHapa wagalatia hamchomoki, mna vinasaba sana na ukatili wa watoto, mlianza kulawiti sasa mmeona na fursa kabisa ya viungo
Ni paroko kweli mimi pia ni mkatoliki na nipo uku kagera mkuu inauma sana.
Ukimaliza kuropoka usemeHiki ndo tunachokipinga hapa. Dini haiondoi uovu. Hata waislam ni waouvu wengi tuu
Babati na Kagera wapi na wapi? Anyway mtandao ya biashara haramu ya viungo vya binadamu ni mkubwa
Kanisa lenyewe likanushe lisitumie wahuni mitandaoniHuyu mtu alikuwa mraibu hivyo alichukuliwa kanisani kama kusaidiwa
Punguza kuropoka wewe alafu unajiita mwanahabari unatofauti gani na DC wa Ubungo, tulia usikurupukie mamboBabati na Kagera wapi na wapi? Anyway mtandao ya biashara haramu ya viungo vya binadamu ni mkubwa
Usije kuta na Babati huko kumo kwenye mtandao huo
Pilipili shamba Kagera halafu inawasha Babati
Investigative journalists WA ndani na nje ingieni kazini
Uko sahihiKanisa lenyewe likanushe lisitumie wahuni mitandaoni
Hapo kipi kimeropokwa. Tunahitaji kujadili mada na si kufanya personal attack kwa mtoa hoja. Hii inathibitisha kilichoandikwa hujakijadili vizuri kichwani. Soma tena nilichoandika.Ukimaliza kuropoka malizia magimbi yako na uji wa ulezi ulale tena,