Kama kweli Paroko katajwa kimakosa kifo cha Albino, Polisi Mtawaambia nini Watanzania?

Kama kweli Paroko katajwa kimakosa kifo cha Albino, Polisi Mtawaambia nini Watanzania?

Huyo Paroko ni mtu msomi tena wa dini, halafu anaendekeza ushirikina.

Kaliaibisha sana Kanisa Katoriki huyo mwehu.

Analishwa bure na kuvishwa bure na usafiri wa bure halafu anafanya upumbavu wa hali ya juu kabisa.

Mauaji ya huyo mtoto yamenihuzunisha sana.

Shenzi zake
 
Salaam Wakuu,

Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.

Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.

Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.

"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".

Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.

Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Mkuu Mungu hajwaihi kumuumba Paroko wala polisi Mungu aliumba binadamu
 
Na hii huwa tunasema kila siku huku. Uovu usichanganywe na taasisi. Leo padri, kesho shehe kesho kutea mchungaji. Shida hapa angekuwa shehe au mchungaji ungeona tabu yake.....moja la mitume sijui limefanyaje. Hapa na Padri mbwembwe nyingi. Kipindi Cha Uovu wa Gwajima kila mchungaji alitukanwa. Ikifika kwa padri wa Kilimanjaro yule mbakaji kunakuwa na excuses. Tutumie akili uovu hauna dini
Kinachonisikitisha ni padri akihusika kanisa linashiriki kumnasua, hawajali maumivu ya victim
 
Kanisa katoliki lina utaratibu wake huwa hawakurupuki kama alivyokurupuka msemaji wa polisi ndiyo maana linaheshimika duniani kote.Aliyekurupuka kumtaja paroko ajitokeze tena kulisafisha kanisa mbele ya vyombo vya habari
Atajitokeza vipi wakati kanisa lenyewe halijakanusha? Kumbuka polisi wanasema wanamshikilia paroko sasa unajua paroko alivyohojowa kajibu nini? Ila sishangai kama padri kimario aliyefungwa kwa kesi ya ulawiti alitoroshewa msumbiji basi hata hili litapita na baba paroko atabaki salama
 
Una uhakika kanisa limekaa kimya?
Mimi nina uhakika kanisa limekaa kimya hadi muda huu ninapoandika hapa, kama polisi tumewasikia kwanini kanisa tusilisikie? Wao wanatumia media gani ambazo sisi hatuzijui?
 
Salaam Wakuu,

Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.

Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.

Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.

"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".

Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.

Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Kanisa limeshikwa pabaya this time kwa tabia zisizoridhisha za viongozi wake. Waachwe wajitetee wenyewe kwa kumkana padre wao. Siyo huyo tu, hata wengine wanatabia mbovu sana kwenye jamii.
 
Rev. Fr. Elpidius Rwegoshora
1718926418472.png

MWAMBA HUYO HAPO
 
Msemaji wa jeshi la polisi kachemka na kwenye hili litamkosti
Aliyekamatwa siyo Paroko msaidizi na wala siyo padre.
Ni mraibu ambaye paroko msaidizi alisoma naye aliamua kumchukua parokiani ili aweze kusaidiwa.
Hivyo kumtaja kama baba padre ni watu kutokutumiza majukumu yao katika kufuatilia mambo .
Paroko anaitwa Deodatus Tibakwasa na msaidizi ni Fr.Mathias.

Inasemekana Padre alimsajilia mtu line kwa kutumia kitambulisho chake hivyo wakati wa upelelezi na kutrack simu zilizotumika ndo akatiwa korokoroni kwakuwa jina lilisoma la kwake. Ndo maana huwa daima ninalia na reporters wetu ktk uandishi wa taarifa.
Kwa nini li cost ikiwa Paroko Msaidizi yeye mwenyewe kamuandikishia MTeU simu Kwa Jina lake
 
Nyie ndo mnakuwaga watu wa hovyo sana, serikali kwenye uchunguzi wa jambo nyeti hivi, inawezaje wakosee jina..?
Siku hizi ma padri wengi wanashiriki sana kwenye ushirikina, wanazaa nje ya wito wao na wanaongoza kutoa mitaji ya biashara kwa wanawake mnaowaona nje huko wana hela zisizoeleweka.
 
Mtu anahangaika kusafisha uchafu kwa kutumia uchafu, kiongozi wa dini ni binadam kama ww hulka zote za kibinadam anazo, ndo maaana hata kwenye Escrow walitajwa
Punguza kuwaona miungi watu
 
Wewe mtoa uzi..pameandikwa wapi kama Paroko/Padiri katakwa kwa makosa na Polisi?
 
Back
Top Bottom