Kama kweli Yesu aliteseka msalabani kwaajili yetu ili tusamehewe dhambi zetu, sisi tunatubu ili iweje?

Kama kweli Yesu aliteseka msalabani kwaajili yetu ili tusamehewe dhambi zetu, sisi tunatubu ili iweje?

Rule L

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2020
Posts
1,846
Reaction score
2,754
Nawasalimu Salam ya wakati huu.

Kiukweli kabisa Mimi hili suala mpaka kesho sijawahi kulielewa,

Kama tunaambiwa kwamba dhambi zetu yesu alizimaliza msalabani sasa kwanini watu wanalia na kusaga meno kila siku wasamehewe dhambi zao?

Je, kuna makundi ya dhambi zilizosamehewa na ambazo bado ama?

Na kwanini kwenye kutubu lazima waanze kusema nisamehe Mimi mwenye dhambi?

Mwenye kunielewesha karibu sana.
 
Hizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu.

Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.

Naona kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔
 
Hizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu. Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.
National kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔
Yote ni kutaka kuujua ukweli
 
Back
Top Bottom