The Next MP
Member
- Nov 15, 2023
- 71
- 119
Hahahahah, ilinitokea Mimi Kuna magroup Facebook nilifuatilia yanahusu mambo ya kukosoa Mambo ya Mungu nikaamua niondoke nilianza kuhisi kupotea hivi na nikaona kama naanza kuhama reli. Nikablock makundi yote.Hizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu. Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.
National kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔
Mfano alihoji kwa ukubwa wa Safina aliyotengeneza Nuhu na vitu vilivyoingia ndani ni haiwezekani pamoja na stock ya chakula Chao. Maana Dunia ina Species milioni 6 na, Sasa piga Wawili Wawili na chakula Chao, zingatia Hali ya hewa na habitats zao, je waliishije na walitoshaje humo?
Pia akadai kwamba Kijiografia uMvua haiwei kunyesha ikagharikisha sehemu zote za Ardhi ya Dunia.
Ila ninavyoona Mimi hivi vitu ni Imani na ni unquestionable wewe amini Kisichowezekana kwa Binadamu kwa Mungu Kinawezekana.