Kama kweli Yesu aliteseka msalabani kwaajili yetu ili tusamehewe dhambi zetu, sisi tunatubu ili iweje?

Kama kweli Yesu aliteseka msalabani kwaajili yetu ili tusamehewe dhambi zetu, sisi tunatubu ili iweje?

Hudhuria vipindi vyote vya mafundisho kanisani utapata majibu yote ya maswali yako.

Kumbuka mafundisho kama hayo hayapatikani kwa urahisi kwenye makanisa yanayouza maji, chumvi, n.k

Kwa sasa unataka ulishwe ugali wakati unastahili upate uji, (mafundisho laini).
[emoji120]
 
Hizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu. Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.
National kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔
Kwani alichokiuliza mtoa mada haukufundishwq utotoni? Ukiwa sunday school? Alichofanya yeye ni ku brainstorming tu ili apate jibu ila hajatoka nje ya mada kabisa.
 
" tukiziungama dhambi zetu yeye ni muaminifu na wa haki atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote". Yesu alikufa na akafufuka na sasa yu hai. kusamehewa kunahitaji moyo wako ukubali kusamehewa ndo maana ya toba na kuungana na Yesu hakulazimishi kumsamehe mtu it's your own will. ndo maana anataka uamue ww mwenye kwa toba
 
" tukiziungama dhambi zetu yeye ni muaminifu na wa haki atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote". Yesu alikufa na akafufuka na sasa yu hai. kusamehewa kunahitaji moyo wako ukubali kusamehewa ndo maana ya toba na kuungana na Yesu hakulazimishi kumsamehe mtu it's your own will. ndo maana anataka uamue ww mwenye kwa toba
Hakuna kitu hapo hizo kanuni ni uzushi tu wa mwanadamu
 
Umaana na umuhimu wa kuungama na kutubu dhambi zetu umetokana na ukweli huo haswa kwamba Kristu alikufa msalabani.

Bila tukio la Kalvari, hata mwanadamu angelia machozi na kujigaragaza majivuni akiyaomboleza maovu yake, bado angeonekana mwenye hatia ileile mbele ya Mungu.

Hii ndiyo kusema kwamba Yesu alikufa ili kutununulia muda na uwezekano mwingine wa kutubu na kufanyika upya watoto watiifu wa Mungu.

Na haya yote hayatokei kwa juhudi zetu tu, bali nguvu za Mungu hushirikiana na nafsi yenye utashi ili kumwongoza hatua kwa hatua kutoka kwenye umateka na mitego ya Ibilisi hadi kwenye jukwaa la uhuru na uzima wa milele.

Msalabani Kalvari ndipo mahali makhususi ambapo mwanadamu anaweza kutambua lengo kamili la uumbaji na thamani yake kwa kuzingatia umbali ambao Mungu yuko radhi kwenda ili kumrejesha Kwake.
 
Hizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu. Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.
National kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔
😂Shida sio wewe its your subconscious, uko programmed.
 
Umaana na umuhimu wa kuungama na kutubu dhambi zetu umetokana na ukweli huo haswa kwamba Kristu alikufa msalabani.

Bila tukio la Kalvari, hata mwanadamu angelia machozi w
akijigaragaza kwenye majivu kwa sababu ya maovu yake, bado angeonekana mwenye hatia ileile mbele ya Mungu.

Hii ndiyo kusema kwamba Yesu alikufa ili kutununulia muda na uwezekano mwingine wa kutubu na kuwa watoto wa Mungu.

Na haya yote hayafanyiki kwa juhudi zetu tu, bali nguvu za Mungu hushirikiana na nafsi yenye utashi ili kumwongoza hatua kwa hatua kutoka kwenye umateka na mitego ya Ibilisi hadi kwenye jukwaa la uhuru na uzima wa milele.
umejibu vyema sana
 
Kila siku twaogaa ... ATA UOGE LISAA LIZIMA... Ukichukua taulo jeupe peee ama kitambaa cheupee ukajifutiaaa lazima lichafuke/kichafukee kitambaaa
We are not perfect 😞 😞 😞
 
Hizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu. Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.
National kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔
pole sana
 
Hizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu. Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.
National kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔

Shida mnamhusisha Mungu na Dini
 
Hudhuria vipindi vyote vya mafundisho kanisani utapata majibu yote ya maswali yako.

Kumbuka mafundisho kama hayo hayapatikani kwa urahisi kwenye makanisa yanayouza maji, chumvi, n.k

Kwa sasa unataka ulishwe ugali wakati unastahili upate uji, (mafundisho laini).
[emoji120]

Kuna maswali hua hawanaga majibu yake, na ukihoji sana ndio unatishiwa kwenda kuchomwa moto.
 
Hizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu. Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.
National kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔

Ukiôna hivyo ndîo unaenda kupata ule Uhuru wa kwèli aliosema Yesu.
 
Hizi story na thread za kuhusu mambo ya Mungu kadri ya ninavyozisoma na kuzitafakari zinanifanya napoteza imani yangu kwa Mungu wangu. Nataka niache kuzisoma ili niendelee kumtukuza kama nilivyofundishwa tangu utotoni.
National kabisa nikiwa nasali nakosa utulivu na kumaanisha sababu ya hizi mada 🤔🤔🤔
Usiache kusoma kuna ukweli siku moja utaujua tu, imani yako kwa Mungu inatakiwa isiwe na mashaka kabisa,nq hiyo ndio imani ya kweli

Mfano jiulize kama Yesu ni Mungu je alipokuwa tumboni kwa mama maria nani aliangalia ulimwengu?

je Mungu hawezi samehe dhambi mpaka ajidhalilishe na kusulubiwa na wanadamu?

Kuna maswali mengi sana pasina majibu,,endelea kusoma ipo siku utaujua ukweli na utaondoa mashaka na kumuabudu Mungu wa kweli
 
Uhuru upi huo?
Yohana 8:32-38
[32]tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
And ye shall know the truth, and the truth shall make you free.
[33]Wakamjibu, Sisi tu uzao wake Ibrahimu, wala hatujawa watumwa wa mtu wakati wo wote; nawe wasemaje, Mtawekwa huru?
They answered him, We be Abraham's seed, and were never in bondage to any man: how sayest thou, Ye shall be made free?
[34]Yesu akawajibu, Amin, amin, nawaambia, Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
Jesus answered them, Verily, verily, I say unto you, Whosoever committeth sin is the servant of sin.
[35]Wala mtumwa hakai nyumbani sikuzote; mwana hukaa sikuzote.
And the servant abideth not in the house for ever: but the Son abideth ever.
[36]Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.
If the Son therefore shall make you free, ye shall be free indeed.
[37]Najua ya kuwa ninyi ni uzao wa Ibrahimu lakini mnatafuta kuniua kwa sababu neno langu halimo ndani yenu.
I know that ye are Abraham's seed; but ye seek to kill me, because my word hath no place in you.
[38]Niliyoyaona kwa Baba ndiyo niyanenayo; nanyi vivyo hivyo mliyoyasikia kwa baba yenu ndiyo myatendayo.
I speak that which I have seen with my Father: and ye do that which ye have seen with your father.
 
Usiache kusoma kuna ukweli siku moja utaujua tu, imani yako kwa Mungu inatakiwa isiwe na mashaka kabisa,nq hiyo ndio imani ya kweli

Mfano jiulize kama Yesu ni Mungu je alipokuwa tumboni kwa mama maria nani aliangalia ulimwengu?

je Mungu hawezi samehe dhambi mpaka ajidhalilishe na kusulubiwa na wanadamu?

Kuna maswali mengi sana pasina majibu,,endelea kusoma ipo siku utaujua ukweli na utaondoa mashaka na kumuabudu Mungu wa kweli
YOHANA 5:36

Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe,mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba,nayo hukumu yangu ni ya haki,nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe bali apendavyo yule aliyenituma.
 
Back
Top Bottom