Uchaguzi 2020 Kama leo haya yametokea kwa NEC, vipi kuhusu kesho Matokeo ya Uchaguzi?

Uchaguzi 2020 Kama leo haya yametokea kwa NEC, vipi kuhusu kesho Matokeo ya Uchaguzi?

Yaani picha kukaa upande nayo ni pingamizi?
Huyu Lisu kawa kichaa sasa ee?

Hivi unaposikia wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo wewe unaelewa nini?

Hao ndio Nec wenyewe,! nec siyo lile jengo pale dodoma ni watu wapo kuanzia huko kwenye majimbo ndio maana hata matokeo yataanza kutolewa kuanzia huko majimboni.,!

Lisu alipopeleka form zake akikaa muda mrefu na aliambiwa wenzie waliotia saini kwa wasimaizi wa uchaguzi majimboni hawakukaa sababu NEC makao makuu hawakuwa na haja ya kuanza kupitia upya kitu kilichopitiwa tayari na wawakilishi wao huko mikoani.

Ndio NEC walipoona mapingamizi ya Lisu wakayatupa kapuni
Sheria ya uchanguzi inasemaje kuhalalisha hoja yako? Lissu yuko na hoja za kisheria wewe unakuja na hoja baseless kabisa.
 
Sheria ya uchanguzi inasemaje kuhalalisha hoja yako? Lissu yuko na hoja za kisheria wewe unakuja na hoja baseless kabisa.
Mkuu hajui kitu zaidi ya kufanya kile tume wamefanya. Aliyetoa taarifa anakwambia hakuna maswali....... Uhuni umefanyika juu ya tume.
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
MATUSI YANAKUSAIDIA NINI SASA?
 
Pale mtu anapotoa mapingamizi ya kisheria, na kunukuu vifungu vya sheria kusupport hoja zake kisha ww unamjibu kisiasa, kwa utashi wako, pasipo kuonesha vifungu vya kisheria vya kujibu hoja, hawa watu ni hooligans kabisa, total hopeless!
Kamuulize Lissu amejibiwa kwa maandishi. Sasa wewe ulitaka kwenye Press Conference waweke kila kitu? Mkurugenzi wa Uchaguzi alitoa just summary na ndiyo inavyotakiwa. Sasa kama unataka kujua details za taarifa hiyo mtafute Lissu atakuwa na majibu kwa kirefu.
 
Sasa wote tumeanza kuelewa,Tume ilipaswa kusimama kama refa na si kumkingia mwingine na kumsemea. Pia ilipaswa kuonyesha majibu ya pingamizi kama iliamua kubeba msalaba wa mwingine.
 

Attachments

  • godblessjlema1_200824_071606.mp4
    8.5 MB
  • bavicha_taifa_200827_184534.mp4
    21.4 MB
Sasa wote tumeanza kuelewa,Tume ilipaswa kusimama kama refa na si kumkingia mwingine na kumsemea. Pia ilipaswa kuonyesha majibu ya pingamizi kama iliamua kubeba msalaba wa mwingine.
Nimekosea ku-upload hiyo nyingine
 
Tumeccm imejaa wahuni na majizi tu. Huyo Kaijage Mwenyekiti wa tumeccm eti naye alikuwa Jaji!! Jaji ambaye anakiuka profession ethics za taaluma yake ya kusimamia haki na kweli.

Waje wakanushe na hili,si kwa kujitutumua kumkata mtu pasi utu.
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Ni mamluki wa CCM, walioziba nafasi kwa wapinzani halisi. Vingineyo wasingekubali kuingia uchaguzi Mara ya 6 sasa bila tume huru ya uchaguzi ikitanguliwa na katiba mpya.
 
Hebu msitupotezee muda tuna mambo mengi ya kufanya kuliko upuuzi wa huyo chizi wenu lissu sasa anataka atangazwe amepita bila kupingwa au ?
Hivi neno matanga maana yake ni mwendawazimu?Uchaguzi ni tukio la kikatiba na kisheria hivyo masharti ya katiba na sheria yanapaswa kuzingatiwa,Sasa Kama mna Mambo mengi uchaguzi mliitisha wa nn?nchi hii chini ya Magufuli imekuwa utopolo sana,hii ni aibu
Ulitaka NEC wajibu kwa porojo?
Lisu kasema Magufuli hakuweka picha hiki nini sasa? View attachment 1549337View attachment 1549339
Mkuu mtu mwenye uwezo Kama wako hamuwezi kuelewa Lissu straight pale anapoongea,mnahitaji muda,probably ukiendelea kusikiliza clip ya Lissu utaelewa alisema nini
 
Hivi neno matanga maana yake ni mwendawazimu?Uchaguzi ni tukio la kikatiba na kisheria hivyo masharti ya katiba na sheria yanapaswa kuzingatiwa,Sasa Kama mna Mambo mengi uchaguzi mliitisha wa nn?nchi hii chini ya Magufuli imekuwa utopolo sana,hii ni aibu
Mkuu mtu mwenye uwezo Kama wako hamuwezi kuelewa Lissu straight pale anapoongea,mnahitaji muda,probably ukiendelea kusikiliza clip ya Lissu utaelewa alisema nini
Sasa nimeamini kwanini Mh. Rais mstafu Kikwete alisema ni kheri Dr.Slaa achukue Urais kule Tundu Lissu kuingia bungeni.
Sasa leo anagonga hodi Ikulu,na uwezo wake ni mkubwa kwelikweli. Nachelea kusema hana mpinzani.
 
Back
Top Bottom