Uchaguzi 2020 Kama leo haya yametokea kwa NEC, vipi kuhusu kesho Matokeo ya Uchaguzi?

Uchaguzi 2020 Kama leo haya yametokea kwa NEC, vipi kuhusu kesho Matokeo ya Uchaguzi?

Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.

Huu ni ukweli mchungu, ndio hapo na sisi tunashangaa hii hadithi ya kuwa ccm itashinda kwa sababu eti Magufuli kajenga bwawa, kajenga reli, kanunua ndege nk tunajua sio kweli. Hizi sababu kuwa wanashinda kwa sababu kuna idadi fake na vituo fake vya kura, ndio sababu hasa ya ccm kutangazwa washindi na sio kushinda. Suala ni sio ccm kutangazwa washindi, wataendelea kukaa muda gani madarakani kwa mbinu hizi ulizotaja? Ni dhahiri njia ya kura ni kupoteza muda, njia mbadala ndio pekee sahihi.
 
Nilivyo muelewa Tundu Lissu ni kwamba," picha iliyowekwa si ya kipindi cha karibuni pia picha iliyowekwa haina vigezo ya kuitwa pasipoti size. Mpingeni kwa vifungu vya sheria vilivyo wekwa na tume ya uchaguzi.
Vigezo vya pasport size ni vipi?

Ndio maana tume imeina yale maoingamizi ni taka tu
 
Kweli mna mambo mengi yakufanya kwani uongo 😂😂😂😂😂 unadhani kutumia wasanii zaidi ya 200 mchezo!!! Mlijua battle itakuwa kama yule mzee wa maneno matatu Elimu Elimu Elimu😂😂
😂😂😂Hawa jipya hawa
 
Kiukweli Tume ya Uchaguzi imekosa uhalali wa kuendesha uchaguzi huu.

Habari zenu wanajukwaa wenzangu.

Nasema hivi "NEC imepelea kwenye kujibu hoja za Tundu Lissu kizembe". Imekosa uhalali wa kuendelea kusimamia uchaguzi, kwasababu Inajipinga yenyewe na Sheria zake zilizopo ambazo zinaongoza wagombea wote na tume yenyewe.

Binafsi nilitegemea pingamizi za TAL dhidi ya wagombea wenzie zijibiwe na wahusika wenyewe. Lakini NEC imejitokeza hadharani na kuzijibu tena chini ya kiwango pasipo na weridi wa vifungu vya kisheria.

Maoni yangu uwenda kuna shinikizo toka juu ama laa mnamtu wenu mtampitisha kwa nguvu hata kama hatashindwa kwenye uchaguzi huu. Kwa maana hiyo ya Jeche 2015 kule Zanzibar yatajirudia na huku bara.

Je, vipi kuhusu waliopita bila kupingwa na wao umetengua baada ya jana kuinajisi Sheria yenu ya Uchaguzi? Inamaanisha wakina Devotha na wengineo waliofanyiwa figisufigisu zenu watarudishwa na kuwapitasha ili nawao walete ushindani?

Kama haya yote yatafanyika, kunahumuimu gani wakutunga Sheria ambazo nyinyi wenyewe si waumini wazuri wa hizo Sheria?

Kwani kanuni na sheria za NEC zinasemaje kamanda? Wewe unazijua? Kwani wewe ulitegemea waitishe press wamjibu mgonjwa?
 
Kiukweli Tume ya Uchaguzi imekosa uhalali wa kuendesha uchaguzi huu.

Habari zenu wanajukwaa wenzangu.

Nasema hivi "NEC imepelea kwenye kujibu hoja za Tundu Lissu kizembe". Imekosa uhalali wa kuendelea kusimamia uchaguzi, kwasababu Inajipinga yenyewe na Sheria zake zilizopo ambazo zinaongoza wagombea wote na tume yenyewe.

Binafsi nilitegemea pingamizi za TAL dhidi ya wagombea wenzie zijibiwe na wahusika wenyewe. Lakini NEC imejitokeza hadharani na kuzijibu tena chini ya kiwango pasipo na weridi wa vifungu vya kisheria.

Maoni yangu uwenda kuna shinikizo toka juu ama laa mnamtu wenu mtampitisha kwa nguvu hata kama hatashindwa kwenye uchaguzi huu. Kwa maana hiyo ya Jeche 2015 kule Zanzibar yatajirudia na huku bara.

Je, vipi kuhusu waliopita bila kupingwa na wao umetengua baada ya jana kuinajisi Sheria yenu ya Uchaguzi? Inamaanisha wakina Devotha na wengineo waliofanyiwa figisufigisu zenu watarudishwa na kuwapitasha ili nawao walete ushindani?

Kama haya yote yatafanyika, kunahumuimu gani wakutunga Sheria ambazo nyinyi wenyewe si waumini wazuri wa hizo Sheria?
Inashangaza jinsi ccm walivyo na hofu hata baada ya kuachwa kufanya siasa wenyewe kwa miaka 5 bado hawajiamini kabisa, itakuwaje upinzani ukishinda jimbo, kutakuwa na haki kweli kama tu kurudisha fomu ya kugombea hakuna haki?
 
Hakuna Tume hapa na Lissu atabaki kuwa shujaa katikaTaifa hili na jana ameandika historia nyingine mbali na ile ya ku-survive shambulizi la risasi 16.

Unaongea alafu unatuambia hakuna maswali na bado unataka tukuamini wewe na hiyo Tume unayoifanyia kazi!

Pathetic!
Shujaa wa familia yenu tu,wengine tunamuona ni fala tu
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Je kwa "haja sijui hoja" hizi ndio inahalalisha uharamu wa haramu?
 
Chadema wana watu wengi kuliko vyama vyote na wanawashibiki tanzania yote ila hawana wapiga kura ikifika siku ya kupiga kura wanapuuzia wenzao ccm wanaenda kwa kishindo
 
Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Mbona unaidhalilisha CCM? Una maana huwa wanashinda kwa kuwarubuni kwa pesa wasimamizi wa vituo! Huo udhalilishaji haukubaliki na CCM haiukubali.
Halafu unatumia lugha chafu ya kuwatukana watu yaani wale wanaoamini Lisu atashinda ni wapumbavu, lakini wewe mwenyewe tukisoma katikati ya mistari, unaamiani kuwa lisu atashinda ila kwa sababu ya pesa zaidi za CCM, wasimamizi watarubumiwa> Kwa lugha yako mwenyewe na wewe ni MPUMBAVU (maana unaamini lisu atashinda ila watu watarubuniwa)
 
Tatizo Lisu kawapora akili zenu zote.

Lisu kasema Magufuli hakuweka picha. Nec wameangalia kwenye form za Magufuli wamekuta picha, hilo pingamizi bado lina maana ya kuwapotezea watu muda?
Hajasema hajaweka picha, amesema picha iliyowekwa imepigwa upande hivyo haionyeshi uso na masikio yote mawili kama itavyotakiwa kwa picha za kuweka kwenye pasi. Nakubaliana na tume kuwa hilo siyo kosa kubwa la kumuengua mgombea maana picha hiyo inatosha, Lakini pia vigezo kama hivyo visitumike kuwaengua wagombea wa upinzani kwenye ngazi yoyote ile - fair play.
Finally tufike mahali haya mambo ya kuwekeana mapingamizi yafutwe kwenye utaratibu labda liwe ni kosa kubwa kama la uraia nk. Ukisoma maelekezo ya tume, kuna mahali mkurugenzi wa uchaguzi anaruhusiwa kuweka pingamizi, wakati huo huo uamuzi wa tume ambao yeye ni mkurugenzi ni wa mwisho! Hapo si viroja tu
 
Kiukweli Tume ya Uchaguzi imekosa uhalali wa kuendesha uchaguzi huu.

Habari zenu wanajukwaa wenzangu.

Nasema hivi "NEC imepelea kwenye kujibu hoja za Tundu Lissu kizembe". Imekosa uhalali wa kuendelea kusimamia uchaguzi, kwasababu Inajipinga yenyewe na Sheria zake zilizopo ambazo zinaongoza wagombea wote na tume yenyewe.

Binafsi nilitegemea pingamizi za TAL dhidi ya wagombea wenzie zijibiwe na wahusika wenyewe. Lakini NEC imejitokeza hadharani na kuzijibu tena chini ya kiwango pasipo na weridi wa vifungu vya kisheria.

Maoni yangu uwenda kuna shinikizo toka juu ama laa mnamtu wenu mtampitisha kwa nguvu hata kama hatashindwa kwenye uchaguzi huu. Kwa maana hiyo ya Jeche 2015 kule Zanzibar yatajirudia na huku bara.

Je, vipi kuhusu waliopita bila kupingwa na wao umetengua baada ya jana kuinajisi Sheria yenu ya Uchaguzi? Inamaanisha wakina Devotha na wengineo waliofanyiwa figisufigisu zenu watarudishwa na kuwapitasha ili nawao walete ushindani?

Kama haya yote yatafanyika, kunahumuimu gani wakutunga Sheria ambazo nyinyi wenyewe si waumini wazuri wa hizo Sheria?

1598537815892.png
 
Kwani kanuni na sheria za NEC zinasemaje kamanda? Wewe unazijua? Kwani wewe ulitegemea waitishe press wamjibu mgonjwa?
binadamu hatujakamilika mkuu,siasa isitufanya tukamkufulu Muumba. Binafsi hakupenda awevile,wote tunajua kipi kimemfanya awevile. Usijitoe ufahamu mkuu,siasa sawa lakini isikufanye ukakosa nidhamu kwa aliye kuumba
 
Back
Top Bottom