Uchaguzi 2020 Kama leo haya yametokea kwa NEC, vipi kuhusu kesho Matokeo ya Uchaguzi?

Uchaguzi 2020 Kama leo haya yametokea kwa NEC, vipi kuhusu kesho Matokeo ya Uchaguzi?

Lissu alikua anaongea kituo kwa kituo aisee kama angekuepo muda wote nchini na wasingebinywa wapinzani tungejua mengi sana...kwa mara ya kwanza jana nikasema moyoni mtoto wangu akitaka kusoma sheria nitamruhusu kwa asilimia 1000%
Watu kama magreth thatcher baada ya kupata degrees za kawaida wakaenda kufanya sheria, yaani ni muhimu sana.
 
Soma sheria za uchaguzi vizuri.

Tume ndio inapokea pingamizi na utetezi wa aliye wekewa pingamiza kisha Tume inachambua mchele na pumba kisha inatoa maamuzi.
pingamizi zilizo wasilishwa na lisu zimebainika kuwa ni pumba tupu na zimetupiliwa mbali, utaratibu ulio fanywa na tume upo kisheria sio wa kujiamulia tu. kinacho sisitizwa na Tume ni vyama vyote kuzingatia taratibu na sheria zilizopo, na sisi wafuasi au wanachama tunapaswa angalau tuwe na uelewa wa sheria za uchaguzi.
 
Soma sheria za uchaguzi vizuri.

Tume ndio inapokea pingamizi na utetezi wa aliye wekewa pingamiza kisha Tume inachambua mchele na pumba kisha inatoa maamuzi.
pingamizi zilizo wasilishwa na lisu zimebainika kuwa ni pumba tupu na zimetupiliwa mbali, utaratibu ulio fanywa na tume upo kisheria sio wa kujiamulia tu. Kinacho sisitizwa na Tume ni vyama vyote kuzingatia taratibu na sheria zilizopo, na sisi wafuasi au wanachama tunapaswa angalau tuwe na uelewa wa sheria za uchaguzi.
Katumia nguvu nyiiingi kuelezea mapingamizi hewa daaa anachekesha kwelii
 
Hebu msitupotezee muda tuna mambo mengi ya kufanya kuliko upuuzi wa huyo wenu lissu sasa anataka atangazwe amepita bila kupingwa au?
Mkuu una uelewa mdogo sana, kwani wagombea Urais wako wangapi na wangapi kawawekea pingamizi?
Polepole awe anawapa shule kabla ya kuwaleta humu
 
Mkuu una uelewa mdogo sana, kwani wagombea Urais wako wangapi na wangapi kawawekea pingamizi?
Polepole awe anawapa shule kabla ya kuwaleta humu
pamoja na wewe ndiyo kama lissu hamna hoja subirini kusherehekea kuapishwa kwa jpm
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Waweza kuta na wewe una familia na wanakutegemea, Tanzania bhana.
 
Wewe hoja yako ni ipi hasa? Maana kwa ufupi nimekuelewa kuwa mpinzani hawezi kutangazwa kwa sababu CCM inashirikiana na tume ya uchaguzi kuhujumu na kuiba kura za upinzani kwa sababu wapinzani hawana pesa za kuhonga kama CCM. Swali langu kwako, je hapo uchaguzi ni huru? Je , amshindi amepatikana kwa kura za wananchi au matakwa ya kikundi Fulani cha watu chenye kulinda maslahi yao?.
Wanajitangaza bila kufikiri kuwa wanategemea kupita bila kupingwa kwa kutumia rushwa waziwazi.Pale ambapo wanaojidai kupambana narushwa wakitoa rushwa hadharani.Walitangaza kuanzisha mahakama ya mafisadi ambayo inajadiliana na wala rushwa watoe faini(rushwa?) ili waachiliwe na siyo kifungo.Aibu ni Juu Yao.
 
Yaani picha kukaa upande nayo ni pingamizi?
Huyu Lisu kawa kichaa sasa ee?

Hivi unaposikia wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo wewe unaelewa nini?

Hao ndio Nec wenyewe,! nec siyo lile jengo pale dodoma ni watu wapo kuanzia huko kwenye majimbo ndio maana hata matokeo yataanza kutolewa kuanzia huko majimboni.,!

Lisu alipopeleka form zake akikaa muda mrefu na aliambiwa wenzie waliotia saini kwa wasimaizi wa uchaguzi majimboni hawakukaa sababu NEC makao makuu hawakuwa na haja ya kuanza kupitia upya kitu kilichopitiwa tayari na wawakilishi wao huko mikoani.

Ndio NEC walipoona mapingamizi ya Lisu wakayatupa kapuni
Umefwatisha hatua Kwa hatua hoja za hayo mapingamizi? Ni ngumu kuzielewa kama hujafwatilia Kwa makini au kama huna uelewa wa kutosha. Kuna kitu kwenye Sheria kinaitwa "TUME". Tafsiri ya Neno TUME huitungi wewe, ipo kisheria.

Ukitaka kujua umuhim wa kuwa na passport size photos zinazokubalika kisheria, kaombe visa na passport yenye background au umri unaotaka wewe ndio utaona umuhim wa kufwata maelekezo ya passport size photos.
 
Yaani picha kukaa upande nayo ni pingamizi?
Huyu Lisu kawa kichaa sasa ee?

Hivi unaposikia wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo wewe unaelewa nini?

Hao ndio Nec wenyewe,! nec siyo lile jengo pale dodoma ni watu wapo kuanzia huko kwenye majimbo ndio maana hata matokeo yataanza kutolewa kuanzia huko majimboni.,!

Lisu alipopeleka form zake akikaa muda mrefu na aliambiwa wenzie waliotia saini kwa wasimaizi wa uchaguzi majimboni hawakukaa sababu NEC makao makuu hawakuwa na haja ya kuanza kupitia upya kitu kilichopitiwa tayari na wawakilishi wao huko mikoani.

Ndio NEC walipoona mapingamizi ya Lisu wakayatupa kapuni
Je sheria inasema wapeleke huko au watahakikiwa siku ya kuteuliwa?
Narudia kwako pia, Being Mataga is not a justification of being an Idiot
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Kwa bandiko lako. Je akili kubwa (ujanja) ni kuukumbatia uharamu na hila ?!. Basi Mimi sitaki kuwa mnafiki
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Hayo yote uliosema kwa mwenye akili anayajua fila lengo ilikuwa ni vyama vijitoe ili wapite kirahisi zaidi ila lengo la CDM might be to show the world kinachoendelea Tanzania na hicho ndicho lengo kwa mfumo huu hakuna mpinzani atakaeshinda nchi hii hata siku moja hili lipo wazi. Pingamizi aliloweka hats yeye mwenyewe alijua watajikanyaga na hii ni kuonyesha ulimwengu tu.e sio huru tumeingia kwenye mtego. Badala kubrash kama walivyofanya wangeweza kufanya tofauti na kutoa mtazomo chanya.
 
Tatizo Lisu kawapora akili zenu zote.

Lisu kasema Magufuli hakuweka picha. Nec wameangalia kwenye form za Magufuli wamekuta picha, hilo pingamizi bado lina maana ya kuwapotezea watu muda?
Nilivyo muelewa Tundu Lissu ni kwamba," picha iliyowekwa si ya kipindi cha karibuni pia picha iliyowekwa haina vigezo ya kuitwa pasipoti size. Mpingeni kwa vifungu vya sheria vilivyo wekwa na tume ya uchaguzi.
 
ina maana hadi msigwa anadai lissu alisema hakuna picha????ah aha jamani halafu katoa hoja mbili na ile ya kupigwa mihuri kwenye majimbo mbona ile haizungumziwi?
hakusema kwamba hakuna picha kaitoa kasoro picha kutoonekana sikio imekaa upande na ya zaidi ya miezi mitatu sababu ipo kwenye mabango muda mrefu picha inatakiwa iwe miezi 3 kabla ya uwasilishaji fomu
Kwani sheria na muongozo wa tume unasemaje?
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
yaani tungekuwa wote tuna uelewa kama wako mkuu tungefunga mjadala na kusubiri magufuli aapishwe lakini bado kuna michadema inaamini lissu rais pumbaaaaaaaavuuuuu
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Lissu hawezi kuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ila anaweza kua rahisi wa kutetea mikataba ya kutetea maslahi ya wale waliomtuma na wapenzi wa jinsia moja
 
Hayo yote uliosema kwa mwenye akili anayajua fila lengo ilikuwa ni vyama vijitoe ili wapite kirahisi zaidi ila lengo la CDM might be to show the world kinachoendelea Tanzania na hicho ndicho lengo kwa mfumo huu hakuna mpinzani atakaeshinda nchi hii hata siku moja hili lipo wazi. Pingamizi aliloweka hats yeye mwenyewe alijua watajikanyaga na hii ni kuonyesha ulimwengu tu.e sio huru tumeingia kwenye mtego. Badala kubrash kama walivyofanya wangeweza kufanya tofauti na kutoa mtazomo chanya.
Wachache sana wamemuelewa Tundu Lissu. Pia kunawalio muelewa lakini wanajifanya hawakumuelewa wanapotezea.

Kiukweli somo tumelipata,Tundu Lissu ametufundisha na kututoa matongotongo sehemu ambayo tuliambua pana haki inatendeka. Ametuambia ,"Je,mimi na wewe tumekwisha kujua kama tume ipo kwa manufaa ya cha tawala.
 
Back
Top Bottom