jamaa anadeka utadhani gen z 🐒Tunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
We waache waweweseke tu Lisu hata kama akitoka CDM haendi CCM hata kwa bundukiMimi naona yupo sahihi.
Pia, ikimbukwe, yote anayokaririwa kuongea, aliyaongea kwenye mijadala huko Clubhouse, kinachoendelea hivi sasa ni watu kila mtu kurusha kipande chake akitakacho kwa wakati wake na hivyo kuinekana kama vile kila wakati anatoa matamko.
Pia, ukimdikiliza namna anavyowasilisha ipo very positive and healthy kwa CHADEMA tofauti na reporters wanavyowasilisha
Ushindwe pepo wwTunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
Anadai hakuna Chadema bila yeye na ikibidi atasepa 🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣👇👇Tunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
Yaani Chadema ifanyie kazi madai ya mwanaccm Msigwa? 😂😂😂Afukuzwe au aliyosema msigwa yajibiwe kumfukuza LISU kisa anazungumzia madai ya msigwa kujibiwa au hatua zakisheria kuchukuliwa hilosio sawa
Anaitwa Dr SSH profesa wa siasa za Kisasa 🤣🤣Kila goti litapigwa ni swala la mdaView attachment 3064724
Join the chain 😂😂😂😂Wanachadema kila tukiuliza Hela za chama, mbowe anakuwa mbogo na kututishia kutufukuza chama au kutuonjesha sumu tufe.
Msukuma alisema kabla ya uchaguzi Mkuu CDM itagawana mbao.tunduLISU atachelewa kidogo ila hatasalia
Mbowe abadilike , ajibu yote aliyosema msigwa ila sio kuwanuniaMsukuma alisema kabla ya uchaguzi Mkuu CDM itagawana mbao.
Hii kitu imepikwa na CCM sasa inakaribia kuiva.
Badala ya kuuliza hela zako unazolipa kodi wewe unauliza hela za michango - CDM haiuisanyi kodi ndugu; wabane hao CCM ambao wanakusanya karibia ma trilion ya pesa kwa mwezi.Wanachadema kila tukiuliza Hela za chama, mbowe anakuwa mbogo na kututishia kutufukuza chama au kutuonjesha sumu tufe.
Pale jizi la ccm linapotoa ushauri kwa cdm!Tunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
Tunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
Ulichanga?si ndiye huyu Lisu tuliyemchangia fedha ili anunue gari?
Maendeleo anayochapa Samia hata sie wanachadema hatumdai kabisa, ruzuku inayopewa chadema ni Kodi za watz so ni lazima watz tuhoji bila kujali itikadi za vyama vyetu.Badala ya kuuliza hela zako unazolipa kodi wewe unauliza hela za michango - CDM haiuisanyi kodi ndugu; wabane hao CCM ambao wanakusanya karibia ma trilion ya pesa kwa mwezi.
Kasome pia riport ya CAG acha uvivu.