Southern Giant
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 621
- 1,298
ahh wapi sikuchanha ila baadhi ndio walichangaUlichanga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahh wapi sikuchanha ila baadhi ndio walichangaUlichanga?
Maendeleo yako yakiguswa uje utujulishe.Maendeleo anayochapa Samia hata sie wanachadema hatumdai kabisa, ruzuku inayopewa chadema ni Kodi za watz so ni lazima watz tuhoji bila kujali itikadi za vyama vyetu.
Anavyotetewa sasaDunia inaenda kasi sana leo hii watu wanamsuta shujaa wao Lissu? Ama kweli hakuna adui wala rafiki wa kudumu
Reporters wa club house wanatumiwa sana na sikiliza wanavyobadilisha uhalisia wa jibu la Lissu,wao wanafuraia kuibomoa chadema,be watchful na hii club house inatumika na CCM,DRSlaa anawaweza sana. HawafaiMimi naona yupo sahihi.
Pia, ikimbukwe, yote anayokaririwa kuongea, aliyaongea kwenye mijadala huko Clubhouse, kinachoendelea hivi sasa ni watu kila mtu kurusha kipande chake akitakacho kwa wakati wake na hivyo kuinekana kama vile kila wakati anatoa matamko.
Pia, ukimdikiliza namna anavyowasilisha ipo very positive and healthy kwa CHADEMA tofauti na reporters wanavyowasilisha
Si ndiyo Clubhouse watu waliituhumu serikali kuitaka kuifunga? Leo imekuaje tena?🙏🙏🙏Reporters wa club house wanatumiwa sana na sikiliza wanavyobadilisha uhalisia wa jibu la Lissu,wao wanafuraia kuibomoa chadema,be watchful na hii club house inatumika na CCM,DRSlaa anawaweza sana. Hawafai
Chadema hawapendi kunyooshewa vidole ,ukiwanyooshea tu lazima wakuundie zengwe.si ndiye huyu Lisu tuliyemchangia fedha ili anunue gari?
Kumbe CCM mumezoea kuteka asiyefika bei?CDM mmezoea udalali na biashara ya siasa, safari hii inawatokea puani.
Nashangazwa na watanganyika wanaotaka Chadema ife. mTanganyika wa kawaida kama mm unapata nn yaani. Wanaoombea Chadema ife ni walamba asali wenye kamba shingoni wanaokula kwa urefu wa kamba zao kulingana na mfungaji. Wewe mlalahoi omba upinzani uendelee kuwapo ili tufaidi hizo ninyi msiojua mnaita kelele. Upinzani oyee na uwe juu zaidi. CCM wakibaki pekee yao tutanyooka tutakosa mtetezi. Kura yangu Kwa upinzani ipo sana.Badala ya kuuliza hela zako unazolipa kodi wewe unauliza hela za michango - CDM haiuisanyi kodi ndugu; wabane hao CCM ambao wanakusanya karibia ma trilion ya pesa kwa mwezi.
Kasome pia riport ya CAG acha uvivu.
Za CCM unahoji? Au na wewe una ka kamba shingoni hata kama ni kafupi unakula Kwa urefu wake. Au ni katibu wa kata wa jumuia fulani umepata ka Pikipiki kapo nyumbani SSH2025?Maendeleo anayochapa Samia hata sie wanachadema hatumdai kabisa, ruzuku inayopewa chadema ni Kodi za watz so ni lazima watz tuhoji bila kujali itikadi za vyama vyetu.
Alisikika Chui akimshauri kondooTunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
Unachokiombea hakitokei we chawa wa uvccmTunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
Tamati - Mwisho! Zote sawaLissu hawezi kwenda CCM bali kitaundwa chama kingine fasta kwa usaidizi wa CCM then Lissu na kundi lake watahamia huko. So CDM itagawanyika vipande viwili hence kuimarisha CCM.
Lissu atakutana na upinzani mkali wakati wa kutetea nafasi yake ya makamu wa Mwenyekiti pamoja na kupata nafasi ya ugombea Urais na hapo itakuwa tamati ishafika mwisho.
Wacha tusubiri.
Maccm kweli ni mafisiTunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
Usimlinganishe Lissu na huyo tumbili Peter MsigwaHuyu akinyimwa nafadi ya kugombea 2025 lazima atajiondoa kwenye chama!
Chama ni watu maarufu siyo mtu yeyote tu. Akihama Lisu na Mnyika utashangaa kitakatokea Chadema. Alipoondoka Dr. Slaa kweli chama kiliyumba. Factor ya Lisu na Mnyika ilifanya wengi wabaki, ila akiondoka Lisu, Mnyika, Sugu chama kitakuwa debe tupuTunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
Upo kimya sana kupinga udhalimu wa awamu ya sitaPale jizi la ccm linapotoa ushauri kwa cdm!
Mbowe ni mkubwa kuliko chama, wanachama na viongozi wa chama. Mkuu mbona unaandika kinyume nyumeTunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu