Kama Lissu akiendelea na chokochoko afukuzwe tu, chama ni kikubwa kuliko yeye

Kama Lissu akiendelea na chokochoko afukuzwe tu, chama ni kikubwa kuliko yeye

Lissu hawezi kwenda CCM bali kitaundwa chama kingine fasta kwa usaidizi wa CCM then Lissu na kundi lake watahamia huko. So CDM itagawanyika vipande viwili hence kuimarisha CCM.

Lissu atakutana na upinzani mkali wakati wa kutetea nafasi yake ya makamu wa Mwenyekiti pamoja na kupata nafasi ya ugombea Urais na hapo itakuwa tamati ishafika mwisho.

Wacha tusubiri.
Lissu anajua fika kutetea nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti itakuwa shughuli nzito na kukiwakilisha chama nafasi ya uRais naona imeshamponyoka.
 
Za CCM unahoji? Au na wewe una ka kamba shingoni hata kama ni kafupi unakula Kwa urefu wake. Au ni katibu wa kata wa jumuia fulani umepata ka Pikipiki kapo nyumbani SSH2025?
Kuhusu ruzuku ya CCM kumbe hata wewe majibu unayo, Sasa hapo unahoji vipi matumizi yake kama Kazi yake inajieleza.
 
Mbowe ni mkubwa kuliko chama, wanachama na viongozi wa chama. Mkuu mbona unaandika kinyume nyume
Wakati familia inajinyima kuanzisha chama Lissu alikuwa wapi? Ndio aanze kusumbua leo?
 
Kuna mtu alishaulizwa na hajajibiwa mpaka leo kwamba "zile pesa alizochangiwa Lissu kununua gari, ziliishia wapi???"
 
Haha leo CCM mnakiri CDM ni chama kikubwa eeh?

Haya anayosema Lissu wewe unao uthubutu wa kuyasema waziwazi dhidi ya mwenyekiti wa CCM taifa?

CHADEMA ni chama cha kidemokrasia hivyo usifikiri kuna anayeumizwa na matamko ya Lissu hiyo ni kawaida kwa wanademokrasia na si dhambi.
tuwekeeni ka video basiiii
 
Tunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu

Lumumba na makamanda uchwara wanapokuwa timu moja.

Ikumbukwe Lumumba Lissu wanamchukia.

Makamanda uchwara ni machawa wa kulipwa kukomaa mitandaoni hata bila hoja.

Makamanda uchwara na mabwana zao kisa na mkasa husuda, wivu ulojawa na hasira za kufunikwa.

Makamanda uchwara wanadhani wao ni chadema zaidi kuliko wengine.

Makamanda uchwara hawa ni hatari hata kwa maisha ya mhanga wao kuliko hata ma CCM.
 
Lumumba na makamanda uchwara wanapokuwa timu moja.

Ikumbukwe Lumumba Lissu wanamchukia.

Makamanda uchwara ni machawa wa kulipwa kukomaa mitandaoni hata bila hoja.

Makamanda uchwara na mabwana zao kisa na mkasa husuda, wivu ulojawa na hasira za kufunikwa.

Makamanda uchwara wanadhani wao ni chadema zaidi kuliko wengine.

Makamanda uchwara hawa ni hatari hata kwa maisha ya mhanga wao kuliko hata ma CCM.
Mimi ni kamanda makini sana mkuu
 
Mimi ni kamanda makini sana mkuu

Zingatia hiki chuma Lumumba na makamanda uchwara hamlali:

GUh4OsFXgAArTqu.jpeg


Nani asiyejua nyote ni timu moja?

Mna kipi kukizidi chuma hiki?


Ninakazia:

Viva Lissu, Viva! Pamoja nawe ukombozi utapatikana!

Habari ndiyo hiyo.
 
Lisu ana hoja ajibiwe kwa hoja democracy hamna chadema n udikteta tu huyu mbowe akichukua nchi s atafia madarakani
 
Tunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
Huyo hagukuzwi msianze chokochoko kama za covid19.
 
Back
Top Bottom