Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria ziko tatu tu nazo ni,
1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.
Sheria za nyongeza,
1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂
Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa.
Kwani jina lake limekatwa.Sasa mbona mnahangaika sana na Lissu humu kisa kugombea uenyekiti tu wakati mnajiita chama cha demokrasia? Tunawatofautishaje na sisiem? Bora hata hao sisiem huwa wanafanya hivyo viinimacho vyao wanabadili viongozi.
Wacheni sanduku la kura liongee nyie nyumbu wa Sultan Mbowe.Lissu hafai kuwa mwenyekiti CDM.
sasa unakuaje kibaraka kamaa hutumiwi pesa?matumizi ya kiholela yanamfanya weak kiuchumi,
hata hivyo,
mabwenyenye yamemwambia hayawezi kumtumia mlungula hali yakua yeye sio mwenyekiti wa chama.
Lazima awe mwenyekiti wa chama ndipo mlungula utumwe na umfikie yeye mwenyewe na sio kiongozi Mwingine wa chama,
Thus why akaacha umakamu mwenyekiti na kuutaka UENYEKITI kamili 🐒
January na Nape walimjaribu..kuna mabosi vilaza kama Mama Abduli hata ujitahidi kiasi gani lazima utam-outshine.
Sasa haya mayowe yenu ya nini wakati 21 January 2025 bado? Mnamsakama Lissu kugombea utafikiri amewamegea wake zetu.Kwani jina lake limekatwa.
ni kwa mtazamo wako finyuLissu hafai kuwa mwenyekiti CDM.
Machawa njaa mnamshughulikia lisuSheria ziko tatu tu nazo ni,
1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.
Sheria za nyongeza,
1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂
Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa na January.
anatumiwa hizo pesa wapi sasa ili zimfikie yeye mwenyewe kama wanavyotaka mabwenyenye?sasa unakuaje kibaraka kamaa hutumiwi pesa?
Punguza taarabu
Mbowe ame justify malipo aliyopewa na mama Abdul kwa kazi hiyo,yaani amemuwekea ganda la ndiziTamaa mbaya sana,sikuwa kudhani kama uchaguzi wa mwakani ungekua rahisi sana kwa CCM..
Mkuu haya ni matumizi mabaya ya NADHARIA za watu kuhalalisha hoja zakoSheria ziko tatu tu nazo ni,
1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.
Sheria za nyongeza,
1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂
Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa.
Usihusishe wana Chadema wote kwa ajili ya mtazamo wa huyo chawa wa Sultan Mbowe,please.Akili za wafuasi wa CDM sikuzote uwa hovyo.
Mifano yao pia uwa ya upuuzi tu, makamu wa raisi na raisi wa Tanzania wapi na wapi.
Makamu wa raisi hana mamlaka yeyote ndani ya chama.
Ni sawa na kumfanyanisha raisi Samia na makamu mwenyekiti bara (kwa sasa hayupo na Zanzibar ni raisi Mwinyi).
Dr Mpango na ‘Bi-Tozo’ wapi na wapi.
Akili za CDM uwa zinawatosha wenyewe.
Lissu na Mbowe kwa CCM ni Samia na Mwinyi/au makamu wa bara angekuwepo. Halafu CCM wana system tofauti ya hao watu kutojaribu ugomvi na mwenyekiti.
Utoto
Simba wakiwa kwenye ugomvi fisi husogea karibu akisubiri mmoja afe ale mzoga ajabu ugomvi ukiisha au wakipatana wanamshambulia yeye na kumla.Tamaa mbaya sana,sikuwa kudhani kama uchaguzi wa mwakani ungekua rahisi sana kwa CCM..
Mwenyekiti wa Chadema ni Mtu wa kawaida sanaSheria ziko tatu tu nazo ni,
1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.
Sheria za nyongeza,
1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂
Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa na January.
Akili za wafuasi wa CDM sikuzote uwa hovyo.
Mifano yao pia uwa ya upuuzi tu, makamu wa raisi na raisi wa Tanzania wapi na wapi.
Makamu wa raisi hana mamlaka yeyote ndani ya chama.
Ni sawa na kumfanyanisha raisi Samia na makamu mwenyekiti bara (kwa sasa hayupo na Zanzibar ni raisi Mwinyi).
Dr Mpango na ‘Bi-Tozo’ wapi na wapi.
Akili za CDM uwa zinawatosha wenyewe.
Lissu na Mbowe kwa CCM ni Samia na Mwinyi/au makamu wa bara angekuwepo. Halafu CCM wana system tofauti ya hao watu kutojaribu ugomvi na mwenyekiti.
Utoto
Sheria ni sheria tu ina apply popote iwe kazini, kwenye ukoo, familia ya baba na mama, Mkiti na makamu, Rais na makamu wake, bi mkubwa na bi mdogo etc.Mwenyekiti wa Chadema ni Mtu wa kawaida sana
Mfano wako siyo muafaka 😂😂
Chadema Simba ni mmoja tu wa KizimkaziSimba wakiwa kwenye ugomvi fisi husogea karibu akisubiri mmoja afe ale mzoga ajabu ugomvi ukiisha au wakipatana wanamshambulia yeye na kumla.
Chawa hawana uwezo wa kutafakari.Mwenyekiti wa Chadema ni Mtu wa kawaida sana
Mfano wako siyo muafaka 😂😂