The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Mchaga fala sana huyu aisee.Kabisa kiitwe Chama Cha Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchaga fala sana huyu aisee.Kabisa kiitwe Chama Cha Mbowe.
The phrase “past performance is not indicative of future results” is a mandatory disclaimer required by the U.S. Securities and Exchange Commission (SEC). Its main goal is to protect investors from relying too heavily on historical returns presented in ads for mutual funds and other financial products.Sheria ziko tatu tu nazo ni,
1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.
Sheria za nyongeza,
1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂
Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa na January.
Safari hii ameyatimba kinomaMchaga fala sana huyu aisee.
Kwani sasa sio billionaire, hivi unamwangaliaje, wewe unafikiri ni mwenzako huyo?Angekuwa kibaraka angekuwa na billionea sasa hivi
Yaani Babu mchaga Kanyaa nayajazaa,Afu kayakanyaga.Safari hii ameyatimba kinoma
Chama wanakibrand kama chama Cha haki harafu muda huohuo mnamtisha mwanachama mwenzenuChawa wa Sultan Mbowe ni weupe sana hata utetezi kwa mtu wao wakati mwingine unamchafua badala ya kumsaidi.
Nyie mnajipendekeza Kwa mbowe mnajiona kama mnabrand kumbe ndo mnamchafuaLakini tunaishi na weupe wetu
Tanzania wenye vinasaba vya utumwa ni wengi sana mpo.Sheria ziko tatu tu nazo ni,
1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.
Sheria za nyongeza,
1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂
Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa na January.
It depends on the boss,if he/she worth it let it be.Sheria ziko tatu tu nazo ni,
1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.
Sheria za nyongeza,
1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂
Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa na January.
Sawa jaribu uone labda kama kwenu hakuna boss.Tanzania wenye vinasaba vya utumwa ni wengi sana mpo.
Hizi ni akili za kitumwa.
Huu ni uchawa.
Uchawa ni utumwa halisi.
Master,boss,mkuu, haya ni majina yanayotamkwa na watumwa wa kiakili.
Anafaa zaidi kuwa mwenyekiti CCM kitaifa kuliko CDM.ni kwa mtazamo wako finyu
Chama ni cha democrasia lakini kinaongozwa na dikteta Mbowe smbaye anataka afie madarakaniYote haya ni Lissu kuamua kugombea uenyekiti,halafu eti ni Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.
Kabisa. Mi mwenyewe nikawa nashangaa ametoka tu Jela....moja kwa moja Ikulu. Kumbe anaenda pokea mkwanja kutoka kwa mabwanyenye. Sasa Mbowe humwambii kitu akakuelewa. Anataka azeekee CDM.ILA SISI CCM NDO TUNAMTAKA HUYO.48 laws of power imempita pembeni huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi 🐒
Hizo 48 powers zisiwe tu za shetaniKabisa. Mi mwenyewe nikawa nashangaa ametoka tu Jela....moja kwa moja Ikulu. Kumbe anaenda pokea mkwanja kutoka kwa mabwanyenye. Sasa Mbowe humwambii kitu akakuelewa. Anataka azeekee CDM.ILA SISI CCM NDO TUNAMTAKA HUYO.
Unauhakika au hearsay.Kabisa. Mi mwenyewe nikawa nashangaa ametoka tu Jela....moja kwa moja Ikulu. Kumbe anaenda pokea mkwanja kutoka kwa mabwanyenye. Sasa Mbowe humwambii kitu akakuelewa. Anataka azeekee CDM.ILA SISI CCM NDO TUNAMTAKA HUYO.
Wewe unafaa kuliko Lissu.Lissu hafai kuwa mwenyekiti CDM.
Mno!Wewe unafaa kuliko Lissu.
Vinasaba vya ki-punda.Tanzania wenye vinasaba vya utumwa ni wengi sana mpo.
Hizi ni akili za kitumwa.
Huu ni uchawa.
Uchawa ni utumwa halisi.
Master,boss,mkuu, haya ni majina yanayotamkwa na watumwa wa kiakili.