Kama Lissu hakujifunza kwa Zitto, ajifunze kwa Dkt. Mpango

Kama Lissu hakujifunza kwa Zitto, ajifunze kwa Dkt. Mpango

Sheria ziko tatu tu nazo ni,

1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.

Sheria za nyongeza,

1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂

Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa na January.
Mnataka kumuua tena?
 
Sheria ni sheria tu ina apply popote iwe kazini, kwenye ukoo, familia ya baba na mama, Mkiti na makamu, Rais na makamu wake, bi mkubwa na bi mdogo etc.
Tofautisha etiquette (customs) to abide to voluntarily na written law.

Nafasi ya Lissu na Dr Mpango ni tofauti kabisa; hata ujaongelea mandate zao za vyama. Mbowe na Samia ni mabosi tofauti.

Tukisema 90% ya wachangiaji wa jukwaa la siasa hata siasa zenyewe hawajui, utasikia ohoo we pompous
 
Sheria ziko tatu tu nazo ni,

1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.

Sheria za nyongeza,

1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂

Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa na January.
What if your BOSS is start to become dark (kama mbowe)
 
Sheria ziko tatu tu nazo ni,

1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.

Sheria za nyongeza,

1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂

Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa na January.
What if your BOSS is start to become dark (kama mbowe)
 
Sheria ziko tatu tu nazo ni,

1. Rule Number One: Don't outshine your Boss.
2. Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
3. Rule Number Three: Don't outshine your Boss.

Sheria za nyongeza,

1. You can outshine the master without trying; 😳😳😳
2. Just because you’re loved, doesn’t mean you can do what you want. 😂😂😂

Lissu ajifunze kwa Dkt. Shein, Bilal, Samia, Mpango hata kwa Majaliwa na January.
Acha kumtisha Lissu wewe Pro-Mbowe......Kura itakomesha mashindano.
 
Halafu niliyoitaja imewekwa ya kwanza kwenye hizo 48.
Hizi ni kwa kingdoms za enzi hizo ila sio democracies. Mbona Magufuli alikua anam outshine JK na bado akaachiwa uenyekiti wa CCM!!. Msijifunge kwenye sheria za kujifichia. Sasa kuchukua fomu kugombea kuna uhusiano gani na kum outshine kwenye utendaji?
 
Wewe na Retired mnajidhalilisha tu humu.

Mnavunja imani za watu juu ya upinzani mkimtetea boss wenu.
Hawa nyumbu hawajui tu kuwa huu upuuzi wao umepelekea boss wao kuumbuliwa vibaya sana ,Lissu anajua uchafu mwingi wa Mbowe lakini ameamua kuwa very selective na maneno anayosema ila kwa jinsi wanavyomshambulia wakati mwingine inabidi afunguke mambo mazito,mfano.ishu ya ushahidi wa fedha za Abdul ameeleza kuwa mmoja wa member wa CC alikubaliana naye kikaoni kuwa ni kweli Abdul amewapa hela baadhi ya viongozi na ni baada ya kutoa kauli hiyo kikaoni ndipo alitekwa na kuuwawa kikatili sasa hapo huoni kuna code imefunguka juu ya chanzo.cha Ally Kibao kutekwa. Taarifa alizokuwa nazo Kibao ni mbaya sana kwani zinamgusa moja kwa moja mama.Abduli ambaye ni Rais wa nch. Hivyo dhana kuwa waliomteka ni dola lakini walipata msaada wa ndani hilo ni doa kubwa sana kwa Mbowe. Laiti watu wangekaa kimya na kuwaacha wagombea wajinadi na kisha kuacha demokrasia ichukue mkondo wake yote haya yasingeibuliwa na chanzo ni watu aina ya Retired na nyumbu wenzake wakiamini wanamtetea boss wao.
 
Back
Top Bottom