Kama mafuta yatapatikana kesho au keshokutwa Baada ya bei kupanda ntaidharau sana serikali hii

Umewafinika Intelligence
 
Hapa ndio utajua ubabe wa mjomba Magu ulikua unasaidia, kwenye hali kama hii ndio kiongozi anatakiwa kuchukua point 3 muhimu kwa kufanya jambo haijalishi atatumia busara au ubabe, lakini bibi yenu ametulia kama hayupo sijui atazindukia wapi🤦🤦🤷🤷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…