Kama mafuta yatapatikana kesho au keshokutwa Baada ya bei kupanda ntaidharau sana serikali hii

Kama mafuta yatapatikana kesho au keshokutwa Baada ya bei kupanda ntaidharau sana serikali hii

Hata ningekuwa Mm ndo muuza mafuta lazima nngesubiri yapande bei ndipo nianze kuuza, roho yangu imekaa kikatili tuu msimu huu
 
Dkt. Dotto Biteko anza na hili, tuna vyombo vya kuweza kufuatilia hili, vinginevyo tunawashawishi wananchi kununua mafuta na kuweka ndani kama njia ya kujihami na athari za ongezeko la bei za mafuta, jambo ambalo linaweza kuathiri usalama wa wananchi. Kituo A hakikua na mafuta kwa siku mbili ,tatu, leo kina mafuta baada ya bei rekodi yote ya kituo hicho kuingiza mafuta ! Hii ni uhujumu wa uchumi na kuhatarisha usalama wa nchi.
 
Wanaohujumu mafuta ya Petroli ni serikali wenyewe,CCM ni mafisadi👇
 
Nilikuwa na mafuta kidogo kwenye gari. Nimezunguka vituo kibao mafuta hakuna, nimeahirisha safari muhimu. Afadhali mzuge zuge mafuta yapatikane wiki ijayo. Kama endapo mafuta yatapatika kesho Baada ya bei kupanda for sure tutajua Serikali imeshatekwa.

Imeshatekwa way back, umechelewa kufahamu
 
Nilikuwa na mafuta kidogo kwenye gari. Nimezunguka vituo kibao mafuta hakuna, nimeahirisha safari muhimu. Afadhali mzuge zuge mafuta yapatikane wiki ijayo. Kama endapo mafuta yatapatika kesho Baada ya bei kupanda for sure tutajua Serikali imeshatekwa.
Lazima yapatikane Kwa sababu wao wafanyabiashara wanasema waliuliziwa bei kubwa Kwa hiyo lazima wasubirie bei ipande
 
Nilikuwa na mafuta kidogo kwenye gari. Nimezunguka vituo kibao mafuta hakuna, nimeahirisha safari muhimu. Afadhali mzuge zuge mafuta yapatikane wiki ijayo. Kama endapo mafuta yatapatika kesho Baada ya bei kupanda for sure tutajua Serikali imeshatekwa.
Nchi ikisha shikwa na wahuni haya ndiyo madhara yake, mama hana hata habari na maswala kama haya yanayo gusa mwananchi moja kwa moja yeye yuko busy kizmkazi huko
 
Braza mafuta yapo. Tuna Serikali ya ajabu ndo maana watu wanajiachia tu.

Nimekaa Chato miezi miwili nimetoka leo, karibu kila siku ukienda sheli unaambiwa mafuta hakuna, lakini wadau wanaofanya kazi sheli wanatusanua wese lipo wanasubiria bei ibadilike saa sita usiku wa siku hiyo ama siku 2/3 zinazofuata! Mfano tangu jana mafuta hawatoi wanadai hayapo ila inasemekana wanasubiri alhamisi bei ipande!

Ajabu ni kuwa magari ya Serikali (halmashauri etc) yanauziwa mafuta katika sheli hizohizo. AJABU ZAIDI ni kuwa wale wauzaji wa mtaani kwa vichupa wanakamatwa kwa kisingizio cha kupandisha bei! Sasa bidhaa imeadimika bei inabakije constant? Principle ya supply & demand inaepukikaje?

Serikali iache uzembe! Watu wanahujumu uchumi mchana kweupe mamlaka zimelala tu zinawaza kugawa bandari!

Sent using Jamii Forums mobile app
Vyombo vya ulinzi havimsaidii mama samia hata kidogo
 
Dkt. Dotto Biteko anza na hili, tuna vyombo vya kuweza kufuatilia hili, vinginevyo tunawashawishi wananchi kununua mafuta na kuweka ndani kama njia ya kujihami na athari za ongezeko la bei za mafuta, jambo ambalo linaweza kuathiri usalama wa wananchi. Kituo A hakikua na mafuta kwa siku mbili ,tatu, leo kina mafuta baada ya bei rekodi yote ya kituo hicho kuingiza mafuta ! Hii ni uhujumu wa uchumi na kuhatarisha usalama wa nchi.
Kama walinunua Kwa bei kubwa hawatakubali kuuza.

Pia wauzaji ni viongozi na wabunge wa ccm na washirika wao
 
Back
Top Bottom