joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Namjua vizuri Dr Kweka na Muhumbili na nishakutana nae mara mbili kwenye semina zake,ndio maana nikasena hizi chai wakaziuze kwenye vijiwe vya kahawa na hivyo vitini vyao wanavyo viita vitabu.Kuwa Bora kazini hakuondoi dhana ya mtu kuwa na Afya ya Akili mkuu!Waulize wataalamu wa magonjwa ya Akili watakufafanulia vizuri tuu!
Tunaishi kwenye jamii ya kanyaga twende yaani jamii ya Bora liende ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi pia unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka weweBongo kila kitu kinawezekana.
Hata Kingwendu akijipanga vizuri, kesho anaweza kuwa Amiri Jeshi Mkuu na mpaka astaafu, atakuwa na PhD za heshima za kutosha kabisa kutoka vyuo vya jalalani, n.k.
Sisi tu ndio tunalialia.
So kwa hiyo ww unakubali zamani ulikuwa Sokwe? Maana tumeisoma kwenye vitabu au ww unaikubali kama ilivyo.......?Ingekuwa kila issue lazima kuwepo ndiyo tusikie basi hii ingekuwa dunia ya hovyo. Shirikisha ubongo wako, kichwa siyo chungu cha kutunzia mifupa
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Hayo wanajua wao wenyewe. Nadhani ungejitafutia wasaa uwaulize wangekupa majibu kwa sababu humu hawapo Ili waweze kutoa majibu ya kwamba kwanini walimteua licha ya kuwa ni kichaa!Kwa nini Mkapa na Kikwete walimteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Unaeza kupiga picha sehemu ya hicho kitabu inayosema binadamu zamani alikua Sokwe? Kama huwezi utakua sehemu ya vichaa vile vile sababu ya kushindwa kufanya uwasilishaji wenye mantikiSo kwa hiyo ww unakubali zamani ulikuwa Sokwe? Maana tumeisoma kwenye vitabu au ww unaikubali kama ilivyo.......?
Na vichaa zaidi wamepandisha bei ya umeme Kwa hiyo bwawa halina faida yoyote! Umeme wa maji unauzwa.kwa gahrama Ile Ile ya umeme wa mafuta!Kichaa kafuta mgao wa umeme. Kichaa kakimbiza kampuni za mabeberu. Dowans, iptl, songas wamefurumushwa kwa akili
View attachment 3191618
Kwamba alikua waziri Mkuu? Na kwamba licha kuwa na Wizara yake alifanya kazi kama kiraka kwenye Wizara nyingine zote? Au aliwahi kuwa waziri asiyekua na Wizara maalum? Ili Yote hayo yatumike kusema kwamba aliwabeba mawaziri mizigo? Afya ya akili Bado ni changamoto kubwa Kwa TaifaAlikua mtendaji kinara na ndiye alibeba mawaziri mizigo
Hahaha Hawa watu hawajikagui!Hilo la mtu mwenye faili milembe mbona dogo, tunaweza kusema hawalupitia mafaili yote yavmtu.
Kuna kipindi walisema wameteua Marehemu 😀
Kwa matukio kama haya, bado unashangaa kwann vichaa walipewa madarak 😀
Huoni kama na wewe ni kichaa ,maana kwenye elimu ya shule ya msingi katika vitabu vya historia hii topic ipo hata secondary au uliiruka may be na wewe ni kichaa? Sema hatuna tabia ya kuweka vitabu vyetu online ningekuwekea.Unaeza kupiga picha sehemu ya hicho kitabu inayosema binadamu zamani alikua Sokwe? Kama huwezi utakua sehemu ya vichaa vile vile sababu ya kushindwa kufanya uwasilishaji wenye mantiki
Uwezekano ni mkubwa Kwa sababu hawana mfumo imara wa vetting!Inadaiwa Magufuli alikuwa na faili lake Mirembe!
Na lilikuwepo toka siku nyingi.
Mirembe ni taasisi ya serikali.
Serikali inaongozwa na CCM.
Walishindwa kuyaona hayo?
Kama ni kweli alionekana ana tatizo la akili na akapelekwa kutibiwa Ujerumani basi Dialo aliyedai kuwa jamaa ana faili Mirembe alikuwa sahihi. Yaani alitaja Mirembe (kwa sababu ndiyo hospitali maarufu kwa Tanzania kutibu vichaa) kumaanisha kuwa mhusika aliwahi kutibiwa hospitali yoyote inayotibu wagonjwa wenye matatizo ya akili.Kumwongelea sana marehemu, hasa kama itakuwa ni kwa ubaya, haipendezi.
Mimi ninachojua ni kuwa marehemu hakuwahi kutibiwa Mirembe.
Nilichoambiwa na mtu mmoja aliyekuwa kwenye nafasi za juu huko Serikalini ni kwamba Marehemu akiwa Waziri, wakati wa Mkapa, ndipo alipogundulika kuwa na hilo tatizo, na waliogundua ni maofisa wake wa chini wizarani. Wakamtaarifu Mkapa. Ndipo baada ya mipango kukamilika kwaajili ya matibabu, Mkapa alimwita na kumweleza kuwa unaenda Ujerumani kwaajili ya matibabu. Marehemu alikataa kuwa yeye haumwi. Mkapa akamwambia kuwa sijakuita kukuuliza kama unaumwa au huumwi bali nakutaarifu kuwa unaenda kwenye matibabu Ujerumani. Ndipo alipopelekwa kutibiwa Ujerumani. Hakutibiwa Mirembe.
Mtu mwingine aliyetajwa kutamka hilo (hilo nilisimliwa na watu) inatajwa kuwa mwenzi wake, ni wakati alipojiwa
Una akili gani sasa za kushikiwa?So kwa hiyo ww unakubali zamani ulikuwa Sokwe? Maana tumeisoma kwenye vitabu au ww unaikubali kama ilivyo.......?
Si shirikishi ubongo wangu kwenye story za kwenye vijiwe vya kahawa kwani upuuzi mtupu.Si wengine hatuna akili za kushikiwa kama nyie ambao mnapelekwa pelekwa kama maboya.
Mkuu inaonekana wewe tayari una majibu yako ambayo ndiyo hayo tu ungependa kuyasikia kutoka kwa wachangiaji.Hizi stori zenu bana 😀.
Narudia tembele maktaba ya taaisi ya elimu Tanzania IPO na vitabu vyote hewani bila shida yoyote na u-extract text inayosema : binadamu alitokana na Sokwe. Ukifanya hivyo nitajitoa jamii forums leo. Tafuta maarifa na hapo utajikuta unajisifia umesoma sayansi na huwezi kueleza Darwin theory of emergence of species!Huoni kama na wewe ni kichaa ,maana kwenye elimu ya shule ya msingi katika vitabu vya historia hii topic ipo hata secondary au uliiruka may be na wewe ni kichaa? Sema hatuna tabia ya kuweka vitabu vyetu online ningekuwekea.
Maana unataka kupaka rangi, huo uwasilishaji wenye mantiki upoje?
Na yakienda Contrary anakua mkali,Mkuu inaonekana wewe tayari una majibu yako ambayo ndiyo hayo tu ungependa kuyasikia kutoka kwa wachangiaji.
Nyie mnaokotwa okotwa mnaamini vitini mnavyo viita vitabu.Una akili gani sasa za kushikiwa?
Yeye mwenyewe ndio alietutangazia kuwa ni kichaa, kwahiyo ukifuatliia matendo yake ndo unaprove ni kweli, akisemacho MTU mwenyewe ndo uhalisia wakeKichaa alikuwa mtendaji kinara na kichaa huyo huyo ndiye aliyewabeba mawaziri mizigo wenye akili timamu?
Hapa anaongelewa Magu msihamishe mjadalaFamilia ya Nyerere ina matatizo ya afya ya akili, akili zao haziko sawa. Hata yule kaka mkubwa anayekuja hapa huwa tunaona kuna wakati yuko sawa, kuna wakati hayuko sawa. Si bure. Ni ugonjwa wa kurithi. Tuwafanyie wepesi tusiweke mengi maana ule ni ugonjwa, tena wa kurithi kabisa.
Wanaojua wanajua.