Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #61
Wewe una tatizo la akili?Mtu kuwa na matatizo ya akili si moja Kwa moja NI kichaa.
Matatizo ya akili ni Kama magonjwa mengine yaani Yana stages.
Mtu kushindwa kujidhibit pind ukikasirika ni tatizo la akili.
Wenye matatizo ya akili tungali nap wengi mitaani .
Acha kutoa povu Dogo. Kama Mwamba Magufuli alikuwa mbaya babaako na mamaako ambao ni wazuri sana wana kipi walichotufanyia sie Watanzania? Si ajabu hata wewe umesoma kwa mkopo enzi za Mwamba Magufuli kwasababu wazazi wako walishindwa kukusomesha mbwa wewe! Nasubiria ban kwa Hisani ya Mwamba Magufuli ambaye nitamtetea daima!!!!Mpumbavu wewe nani akupige ban!? Kwa kipi cha maana ulichoandika.!? Kama unampenda sana fuata ushauri wa Zitto, nenda Chato ukalale kaburini mwake.
Lini ulianza utaratibu wa kupima utimamu wa afya ya akili kwa wagombea wa CCM?Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Wanaosema hivyo ni matapeli tu. Kichaa hawezi kufanya makubwa kama aliyofanya magufuli. Leo yanayeteleza kwa SGR na ndege za Boeing kwa akili ya magufuli. Kichaa ni haya yasiyoona mazuri yake. YamerogwaKama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Kiongozi pambana;Bongo kila kitu kinawezekana.
Hata Kingwendu akijipanga vizuri, kesho anaweza kuwa Amiri Jeshi Mkuu na mpaka astaafu, atakuwa na PhD za heshima za kutosha kabisa kutoka vyuo vya jalalani, n.k.
Sisi tu ndio tunalialia.
Inadaiwa Magufuli alikuwa na faili lake Mirembe!Lini ukianza utaratibu wa kupima utimamu wa afya ya akili kwa wagombea wa CCM?
Nyerere alikuwa ana matatizo ya akili. Nilikaa na Mzee Lawi Sijaona Nangwanda akasema enzi zao kuna wakati Nyerere alikuwa anafichwa kabisa asionekane kwa sababu alikuwa na circles zake.Nyerere alikuwa na matatizo gani ya akili?
Who diagnosed him?
Naye alikuwa na faili Mirembe?
Two presidents appoint you to their cabinets. You serve in government for well over a decade.
Katika muda wote huo hakuna mtu hata mmoja anayegundua una matatizo ya akili? Kwamba una kichaa?
Hivi kuna mtu mwenye matatizo ya akili ambaye anaweza kuwa narrative kama Nyerere ?? Self expression! Acha mapungufu yake ya utawala. Yule jamaa alikuwa anajua kuongea na approach yake ilikuwa nzuri. Sasa hii ya kusema alikuwa na matatizo ya akili is too low. Cancel cultureFamilia ya Nyerere ina matatizo ya afya ya akili, akili zao haziko sawa. Hata yule kaka mkubwa anayekuja hapa huwa tunaona kuna wakati yuko sawa, kuna wakati hayuko sawa. Si bure. Ni ugonjwa wa kurithi. Tuwafanyie wepesi tusiweke mengi maana ule ni ugonjwa, tena wa kurithi kabisa.
Wanaojua wanajua.
Mkuu,Ludicrous (sorry)
Mtu awe na matatizo ya akili atawale miaka 22?
Akupige ban nani wewe mpumbavu!? Baba yangu na mama yangu uliwapa wewe dhamana ya kuongoza nchi!? Hata nikisoma kwa mkopo, kwani pesa ni za baba yake magufuli au zilikuwa zake.!? By the way Nyerere alisomesha watu bure akiwemo huyo magufuli, je pesa zilikuwa za kwake Nyerere!? Punguza upumbavu Aisee!Acha kutoa povu Dogo. Kama Mwamba Magufuli alikuwa mbaya babaako na mamaako ambao ni wazuri sana wana kipi walichotufanyia sie Watanzania? Si ajabu hata wewe umesoma kwa mkopo enzi za Mwamba Magufuli kwasababu wazazi wako walishindwa kukusomesha mbwa wewe! Nasubiria ban kwa Hisani ya Mwamba Magufuli ambaye nitamtetea daima!!!!
Hata yeye [jamaa uliyemnukuu] kuna watu wanasema ana matatizo ya akili.Hivi kuna mtu mwenye matatizo ya akili ambaye anaweza kuwa narrative kama Nyerere ?? Self expression! Acha mapungufu yake ya utawala. Yule jamaa alikuwa anajua kuongea na approach yake ilikuwa nzuri. Sasa hii ya kusema alikuwa na matatizo ya akili is too low. Cancel culture
Hongera na safi sana kwa maswali mazuri. Baada ya kusoma hapa ikabidi niende Youtube kwenye zile video kuangalia comment.Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Sio hilo tu mkuuz! Kapewa kuliongiza taifa miaka 5, Alafu ya NEC Chama kikongwe kabisa Africa CCM ikamteua tena kuwa Rais kwa awamu ya pili! Hao makuwadi wa mabeberu hao ndo vichaa! Magufuli alikuwa kiongozi bora na wa mfano wa kuigwa AfricaKama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Mkuu,Hivi kuna mtu mwenye matatizo ya akili ambaye anaweza kuwa narrative kama Nyerere ?? Self expression! Acha mapungufu yake ya utawala. Yule jamaa alikuwa anajua kuongea na approach yake ilikuwa nzuri. Sasa hii ya kusema alikuwa na matatizo ya akili is too low. Cancel culture
Ukisikia yalaaaaah! Ujue limempata! Ahahahahaha!!!!Akupige ban nani wewe mpumbavu!? Baba yangu na mama yangu uliwapa wewe dhamana ya kuongoza nchi!? Hata nikisoma kwa mkopo, kwani pesa ni za baba yake magufuli au zilikuwa zake.!? By the way Nyerere alisomesha watu bure akiwemo huyo magufuli, je pesa zilikuwa za kwake Nyerere!? Punguza upumbavu Aisee!
Hii sasa Mpya kumbe hakuteuliwa na Kamati Kuu kama Mlivyotwambia mwanzoKama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Yaani alimudu nafasi ya uwaziri miaka 20 kwa marais wawili tofauti alafu mnatuambia nini?Yule bwana alikuwa kichaa wa mageuzi kama kina alexander the great, sankara, Castro, Tesla, Napoleon, wenzake wote waliomzunguka wanaona haiwezakani yeye aliona inawezekana lazima wakuone kichaa.
Na wizara zote ali overpoform.
Who the hell lied to you? You’re naive.
View: https://youtu.be/jc4R8lWTl8Y?si=ac7LHCCrhAlAqAH_
Magufuli angeendelea kuwa Raisi angeidestroy Mchii na Uchumi ungeanguka vibaya zaidi hata ilivyokuwa baada ya Vita vya Kagera.