Kama mahakama za Tanzania hazitoi haki, Watanzania nao wasikubali kesi zao kuamuliwa na Mahakama hizo?

MkamaP

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2007
Posts
8,146
Reaction score
3,235
Viongozi wa juu wa serikali kama ni kweli wajua kwamba "mahakama hazitendi haki" mpaka wakazikwepa ktk mikataba. Sasa hizi mahakama zetu kwanini ziendelee kuwepo na zikiendeshwa kwa gharama kubwa na zikiwa zinaumiza watanzania kwa kutowapatia haki zao?

Ama ina maana watanzania siyo wawekazaji katika nchi yao ndiyo maana wao haki zao hazinyonwyi na mahakama?
 
Kwa ubovu wa mahakama zety
Kuna watu wakionewa wanaenda kuloga kabisa wanaua.
 
Tarehe Saba Nane
Ni siku ya Ukombozi.
Mahakama itoe haki, rudisheni mkataba huu Dubai.
 
Watanzania Hawajaridhika na Mkataba wa Bandari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…