Kama Makamba atatenda anayoyazungumza kuhusu umeme ni jambo la muda, tutarajie umeme bora siku za mbeleni

Apewe muda kwenye hakuna?
 
Kama nilimsikia gharama halisi za kuunganishiwa umeme ni laki 8 (800,000/=) 🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️
 
Hivi ile mikataba aliyoingia hivi karibuni na makampuni ya uarabuni haina capacity charge?iwapo bwana la nyerere likiisha litazalisha umeme wa kutosha kwa nchi.hizo kampuni umeme wao wa gharama juu hawatauza wakati wamewekeza fedha zao zitarudi vipi? Kama sikupitia Capacity charge Kama Richmond,Aggreko nk?ambapo Taifa litapata hasara .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…