Kama Manara kaachwa kumbe tatizo sio pesa

Kama Manara kaachwa kumbe tatizo sio pesa

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Kuna watu wengi wanafikiri kwamba mapenzi ni pesa tu sio kweli.

Manara pamoja na kutumia pesa zaidi ya Milion 100+ kufanya show off na mademu zake lakini bado demu mpya kampiga chini!!!

Hawa viumbe nashindwa Sasa kuwaelewa kumbe tatizo sio pesa kweli kama tunavyo aminishwa!! Hawa viumbe wanataka nini hasa je ni

Wanapenda Pesa?.
Wanapenda mastaa?
Wanapenda Bao 7 per night ?
Wanapenda Kuolewa na handsome boy ?
Wanapenda Kuolewa na vibabu?

Nashindwa kuelewa mpaka Sasa Hawa viumbe Wanapenda nini?
 
Kuna watu wengi wanafikiri kwamba mapenzi ni pesa tu sio kweli.

Manara pamoja na kutumia pesa zaidi ya Milion 100+ kufanya show off na mademu zake lakini bado demu mpya kampiga chini!!!

Hawa viumbe nashindwa Sasa kuwaelewa kumbe tatizo sio pesa kweli kama tunavyo aminishwa!! Hawa viumbe wanataka nini hasa je ni

Wanapenda Pesa?.
Wanapenda mastaa?
Wanapenda Bao 7 per night ?
Wanapenda Kuolewa na handsome boy ?
Wanapenda Kuolewa na vibabu?

Nashindwa kuelewa mpaka Sasa Hawa viumbe Wanapenda nini?
Usijiulize sana, wewe kama mwanaume jukumu lako ni kutimiza yote!! Mpe bao nyingi, mpe pesa, mpe maisha, akizingua aondoke aje mwingine haraka sana.

Hao mwalimu wao ni kipofu, elewa hilo tu!!
 
TAFUTA PESA siyo vijipesa.

Lakini baada ya yote hata ukiwa na pesa siyo guarantee hautaachwa, lakini ukiwa na pesa baada ya kuachwa utaendelea kula unachotaka ila ukiwa huna pesa utakula kilichopo au usile kabisa.

TAFUTA PESA: Kwa ajili yako, wanawake ni nyongeza tu ktk matumizi ya pesa zako.
 
Kisirani, gubu, mdomo mchafu, kuvimba sana, kupenda attention.. Kwa kifupi ego ikizidi sana ni rahisi kumpoteza mwanamke kuliko kumbakisha! Vitu vingine vya ndani humo hatujui maana kuna tetesi bwana almasi kafanya yake[emoji848]
 
Kuna watu wengi wanafikiri kwamba mapenzi ni pesa tu sio kweli.

Manara pamoja na kutumia pesa zaidi ya Milion 100+ kufanya show off na mademu zake lakini bado demu mpya kampiga chini!!!

Hawa viumbe nashindwa Sasa kuwaelewa kumbe tatizo sio pesa kweli kama tunavyo aminishwa!! Hawa viumbe wanataka nini hasa je ni

Wanapenda Pesa?.
Wanapenda mastaa?
Wanapenda Bao 7 per night ?
Wanapenda Kuolewa na handsome boy ?
Wanapenda Kuolewa na vibabu?

Nashindwa kuelewa mpaka Sasa Hawa viumbe Wanapenda nini?
Unakumbuka hadithi ya mfalme na nyama ya ulimi? Mapenzi ni sanaa na si ukwasi
 
Kuna watu wengi wanafikiri kwamba mapenzi ni pesa tu sio kweli.

Manara pamoja na kutumia pesa zaidi ya Milion 100+ kufanya show off na mademu zake lakini bado demu mpya kampiga chini!!!

Hawa viumbe nashindwa Sasa kuwaelewa kumbe tatizo sio pesa kweli kama tunavyo aminishwa!! Hawa viumbe wanataka nini hasa je ni

Wanapenda Pesa?.
Wanapenda mastaa?
Wanapenda Bao 7 per night ?
Wanapenda Kuolewa na handsome boy ?
Wanapenda Kuolewa na vibabu?

Nashindwa kuelewa mpaka Sasa Hawa viumbe Wanapenda nini?


Inahitaji kuwa mwanaume wa kiume kweli kweli unapoamua kuoa
Wanawake wanasemwa kuwa dhaifu lakini sio wepesi vile ndio maana mmeambiwa muishi nao kwa akili

Sie akili zetu anazijua muumba mwenyewe🤣🤣🤣

Cc DeepPond
 
Kuna watu wengi wanafikiri kwamba mapenzi ni pesa tu sio kweli.

Manara pamoja na kutumia pesa zaidi ya Milion 100+ kufanya show off na mademu zake lakini bado demu mpya kampiga chini!!!

Hawa viumbe nashindwa Sasa kuwaelewa kumbe tatizo sio pesa kweli kama tunavyo aminishwa!! Hawa viumbe wanataka nini hasa je ni

Wanapenda Pesa?.
Wanapenda mastaa?
Wanapenda Bao 7 per night ?
Wanapenda Kuolewa na handsome boy ?
Wanapenda Kuolewa na vibabu?

Nashindwa kuelewa mpaka Sasa Hawa viumbe Wanapenda nini?
Ongea na Shetani vzur atakueleza mchongo wote waliongea nn pale eden
 
TAFUTA PESA siyo vijipesa.

Lakini baada ya yote hata ukiwa na pesa siyo guarantee hautaachwa, lakini ukiwa na pesa baada ya kuachwa utaendelea kula unachotaka ila ukiwa huna pesa utakula kilichopo au usile kabisa.

TAFUTA PESA: Kwa ajili yako, wanawake ni nyongeza tu ktk matumizi ya pesa zako.
Unajidanganya, kuna wanaume wanakula Raha ya mapenzi hata pesa nyingi hawana , na ndo wengi kuliko wenye pesa .... Kama huna muonekano mzur utaishia kuwa stressed na kutafta pesa , wanaume wenye muonekano mzur only little money needed to enjoy ...
 
Kuna watu wengi wanafikiri kwamba mapenzi ni pesa tu sio kweli.

Manara pamoja na kutumia pesa zaidi ya Milion 100+ kufanya show off na mademu zake lakini bado demu mpya kampiga chini!!!

Hawa viumbe nashindwa Sasa kuwaelewa kumbe tatizo sio pesa kweli kama tunavyo aminishwa!! Hawa viumbe wanataka nini hasa je ni

Wanapenda Pesa?.
Wanapenda mastaa?
Wanapenda Bao 7 per night ?
Wanapenda Kuolewa na handsome boy ?
Wanapenda Kuolewa na vibabu?

Nashindwa kuelewa mpaka Sasa Hawa viumbe Wanapenda nini?
HEEEHHH...... WE UTAKUWA MASKINI SANA. MANARA UNAMWONA ANA PESA? NYIE NDO MAANA MNACHEZEWA MNAACHWA.
 
Back
Top Bottom