reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
EwwaaaaaaKila kitu Fanya Kwa wastani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EwwaaaaaaKila kitu Fanya Kwa wastani
Mkuu, alishasema anaweza akaihudumia timu ya Simba kwa miaka mitatu, tena akiwa amewaongezea mishahara wachezaji wote, na wala hatatetereka kiuchumi!Pesa za Manara umeziona? Unadsnganywa na maisha ya kichawa na Insta?
Anashangaa, kama alizimia, alijuaje kama huyo demu hakumuinua?Matusi kawaiidaaa yake yule baba kwanza mlevi Hata Ile anayosema kazimia muongo itakua alikua kalewa akazina[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]anatukana mnooo manara
Msemo wako uko real 100%Inahitaji kuwa mwanaume wa kiume kweli kweli unapoamua kuoa
Wanawake wanasemwa kuwa dhaifu lakini sio wepesi vile ndio maana mmeambiwa muishi nao kwa akili
Sie akili zetu anazijua muumba mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cc DeepPond
Kama uliamini basi wewe siyo timamu.Mkuu, alishasema anaweza akaihudumia timu ya Simba kwa miaka mitatu, tena akiwa amewaongezea mishahara wachezaji wote, na wala hatatetereka kiuchumi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Simba kutoka mbuga ya Tandale lazima ale nyama.Manara hana hela hizo
Manara ana kashfa fulani hivi sio nzuri
Demu kaliwa na diamond unashangaa nini
💯Manara ana mdomo nyie
Haaaa 🤣Tuwe wakweli, ungekuwa we ni demu ungemkubali yule wayne rooney.UKWELI SEMA.
mwanamke alichofata kwa manara umaarufu na kaupata.Kuna watu wengi wanafikiri kwamba mapenzi ni pesa tu sio kweli.
Manara pamoja na kutumia pesa zaidi ya Milion 100+ kufanya show off na mademu zake lakini bado demu mpya kampiga chini!!!
Hawa viumbe nashindwa Sasa kuwaelewa kumbe tatizo sio pesa kweli kama tunavyo aminishwa!! Hawa viumbe wanataka nini hasa je ni
Wanapenda Pesa?.
Wanapenda mastaa?
Wanapenda Bao 7 per night ?
Wanapenda Kuolewa na handsome boy ?
Wanapenda Kuolewa na vibabu?
Nashindwa kuelewa mpaka Sasa Hawa viumbe Wanapenda nini?
Halafu tamaa ndicho kitu hasa kinachotutesa! Mwenyezi Mungu atusaidie wanaume!!Mapenzi yanatuumuza sana sisi wanaume, tunatumia mda wetu mwingi sana kuyapa thamani.