Kama Manara kaachwa kumbe tatizo sio pesa

Kama Manara kaachwa kumbe tatizo sio pesa

Matusi kawaiidaaa yake yule baba kwanza mlevi Hata Ile anayosema kazimia muongo itakua alikua kalewa akazina[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]anatukana mnooo manara
Anashangaa, kama alizimia, alijuaje kama huyo demu hakumuinua?
Huo ni ujumbe wa huyo Demu aliyemkimbia.
 
Inahitaji kuwa mwanaume wa kiume kweli kweli unapoamua kuoa
Wanawake wanasemwa kuwa dhaifu lakini sio wepesi vile ndio maana mmeambiwa muishi nao kwa akili

Sie akili zetu anazijua muumba mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Cc DeepPond
Msemo wako uko real 100%
Pesa haijawahi kua kila kitu kwny mahusiano[emoji1431]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah hela ni kama limao tu kwenye mboga, ikiwepo inaongeza ladha ya mapenzi ila sio final.

Mie naweza kuwa nampa quality time tu mwanamke na kumfanya afurahi mda wote akiwa around me na analika vizuri tu wala haina kipengele.

Madomo zege ndio huwa wanafikiriaga hela ndio kigezo cha kumtuliza mwanamke ila bahati mbaya hawajui kuwa haifanyi kazi kwa wanawake wote hio.
 
Kuna watu wengi wanafikiri kwamba mapenzi ni pesa tu sio kweli.

Manara pamoja na kutumia pesa zaidi ya Milion 100+ kufanya show off na mademu zake lakini bado demu mpya kampiga chini!!!

Hawa viumbe nashindwa Sasa kuwaelewa kumbe tatizo sio pesa kweli kama tunavyo aminishwa!! Hawa viumbe wanataka nini hasa je ni

Wanapenda Pesa?.
Wanapenda mastaa?
Wanapenda Bao 7 per night ?
Wanapenda Kuolewa na handsome boy ?
Wanapenda Kuolewa na vibabu?

Nashindwa kuelewa mpaka Sasa Hawa viumbe Wanapenda nini?
mwanamke alichofata kwa manara umaarufu na kaupata.
 
Back
Top Bottom