Kama Manara kaachwa kumbe tatizo sio pesa

Ni ngumu sana kuishi na mwanaume mwenye mdomo, hata uwe na hela plus muonekano
 
Hakuna mwanaume anaweza kumtuliza mwanamke labda aamue kutulia mwenyewe siku niliona interview ya Jack ma kuhusu mke wake kulalamika kwamba hana mda naye nikasema kweli mapenzi hayana mwenyewe na mwanamke hajui anataka nini.
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…