National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Mdada chama la wote, manala alinaswa kutokana na tabia pendwa yake... kinachomuuma sio yule mansion kuondoka kapoteza kitu pendwaa.. ila ile mtoto inaliwa sanaMapenzi yanatuumuza sana sisi wanaume, tunatumia mda wetu mwingi sana kuyapa thamani.
Ungekubali?Tumekuwa toka utoto tunawaogopa akina mellanin, njaa ziliwaongoza wadada, ndo maana mwingine kaanza vitimbi.Haaaa 🤣
Tusiende huko, wamekosa tu melanin ila ni watu wenzetu 🙏Ungekubali?Tumekuwa toka utoto tunawaogopa akina mellanin, njaa ziliwaongoza wadada, ndo maana mwingine kaanza vitimbi.
Mnawapendaga na mnapokuwa karibu kwenye vyombo vya usafiri na penginepo mnajisikia huru.UKWELI USEMWETusiende huko, wamekosa tu melanin ila ni watu wenzetu 🙏
Sijakuelewa mkuu!Mdada chama la wote, manala alinaswa kutokana na tabia pendwa yake... kinachomuuma sio yule mansion kuondoka kapoteza kitu pendwaa.. ila ile mtoto inaliwa sana
HahahaKuna watu wengi wanafikiri kwamba mapenzi ni pesa tu sio kweli.
Manara pamoja na kutumia pesa zaidi ya Milion 100+ kufanya show off na mademu zake lakini bado demu mpya kampiga chini!!!
Hawa viumbe nashindwa Sasa kuwaelewa kumbe tatizo sio pesa kweli kama tunavyo aminishwa!! Hawa viumbe wanataka nini hasa je ni
Wanapenda Pesa?.
Wanapenda mastaa?
Wanapenda Bao 7 per night ?
Wanapenda Kuolewa na handsome boy ?
Wanapenda Kuolewa na vibabu?
Nashindwa kuelewa mpaka Sasa Hawa viumbe Wanapenda nini?