Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Wapumbavu ndio wanaowaza mapenzi kuliko maokoto.Kiufupi hiyo ni stage, hata hao watu wazima waliipitia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapumbavu ndio wanaowaza mapenzi kuliko maokoto.Kiufupi hiyo ni stage, hata hao watu wazima waliipitia
[emoji23][emoji23][emoji23]
Utalia kuliko mtoto mchanga
Mungu akusimamie tuu
Acha kujifariji wewe, Matajiri wangapi yanawatoa kamasi unawazidi nini😅Ukiona mapenzi yanakuumiza jua bado hujakua .
Watu wazima wameshavuka hiyo hatua wanachoangalia ni maisha tu.
Vijana wa foolish age ndio wanaumizwa na mapenzi kiasi kwamba wanashindwa kufanya mambo ya msingi kisa mapenzi.
Mapenzi hayana formula unaweza jiona mbabe alafu ukaingizwa kingi kiboya unakaza na unatamani kuliaAcha kujifariji wewe, Matajiri wangapi yanawatoa kamasi unawazidi nini[emoji28]
Watumishi wa Mungu na Viongozi wa serikali unawazidi nini? Sema ushajikatia tamaa na Mapenzi nitakuelewa.
Utarudi tu [emoji23]Rafiki yangu alini introduce forex nikadhani nyepesi Kwa namna alivyokuwa ananieleza.Niliingia Kwa hamu Sana nikaja liwa vibaya Sana wiki nzima roho inauma Hadi naiskia Inavyouma.Nilivyopona sijawahi rudia Tena.
I swear ni ngumu Sana kama tajiri kupita kwenye tundu la sindano.Utarudi tu [emoji23]
😂😂😂😂 Rudia mkuu, Tena na Tena Ile Hali inakufanya unakuwa strong hakuna mbuzi atakusumbuaRafiki yangu alini introduce forex nikadhani nyepesi Kwa namna alivyokuwa ananieleza.Niliingia Kwa hamu Sana nikaja liwa vibaya Sana wiki nzima roho inauma Hadi naiskia Inavyouma.Nilivyopona sijawahi rudia Tena.
Jeni Jeni nimekupenda nikuibukieUkitaka mapenzi yasikuumize jifunze forex
Nimekupenda pia mwayaJeni Jeni nimekupenda nikuibukie
Hiki kiswahili cha watu wa Tanga Nije uniogeshe maji ya hilikiNimekupenda pia mwaya
Na marashi ya zanzibarHiki kiswahili cha watu wa Tanga Nije uniogeshe maji ya hiliki
I will be calling you my vibe!! Msisimko wote yaaniNa marashi ya zanzibar
YaaaaniI will be calling you my vibe!! Msisimko wote yaani
Come on bebe ! Ule nyama laini ya ulimiYaaaani
Can't wait
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Come on bebe ! Ule nyama laini ya ulimi
Ni kujipimia tu saizi yako vile moyo utakavyo
Umeongeza siku za kuishi kipenzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha upuuz weweCome on bebe ! Ule nyama laini ya ulimi
Ni kujipimia tu saizi yako vile moyo utakavyo
Huwezi wewe kukita mkulu?Acha upuuz wewe
🤣🤣🤣🤣🤣 konokono una mapitoooo!Tena usiombe ukaachwa bila taarifa!. Unakomazwa ndani na nje!,halafu Kuna watu wanavipaji huyohuyo aliekuacha bila taarifa anakurudia ukikataa anakuroga!,akishaona limbwata limekolea vizuri ndo anakuacha Sasa na taarifa.. usiombe kuachwa huku limbwata bado linafanya kazi unaweza kuuma Pete ya uchumba ukaimeza mbaya zaidi ukute aliekuacha ni mchawi anajua namna ya ku update limbwata.. mengine mi nimewaachia walimwengu...🤣
Bado hujasema na utasema🤣🤣🤣Ukiona nyani mzee jua kakwepa mishale mingi.
Kumcheka au kumdharau mtu aliyeumizwa na mapenzi ni dalili ya immaturity.
Kama hujawahi kuumizwa na mapenzi jua wewe bado hujakua na hata kama umekua hujapevuka yaani unakuwa mtu mkubwa na sio mtu mzima (tofautisha)