KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Acha tu🤣🤣🤣🤣🤣 konokono una mapitoooo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu🤣🤣🤣🤣🤣 konokono una mapitoooo!
Kuwaza mapenzi sio maamuzi ya mtuWapumbavu ndio wanaowaza mapenzi kuliko maokoto.
Una hela kumzidi Harmonize wewe, mbona analizwa kila sikuYanawaumiza nyie tu msiokuwa na hela
Kama hujaumizwa na mapenzi wewe bado unakua bikra moyoni mwako kabisa, ila mkuu hebu tuelezee kidogo kuna mtu yeyote kakucheka ndugu yangu?Ukiona nyani mzee jua kakwepa mishale mingi.
Kumcheka au kumdharau mtu aliyeumizwa na mapenzi ni dalili ya immaturity.
Kama hujawahi kuumizwa na mapenzi jua wewe bado hujakua na hata kama umekua hujapevuka yaani unakuwa mtu mkubwa na sio mtu mzima (tofautisha)
Kwa kuangalia threads za watu wanaohitaji msaada wa kimawazo baada ya kuumizwa vibaya mno, afu kuna watu wana comment "tafuta hela" au "unaumia kisa mapenzi" nk , hiyo ni sawa na kumcheka mtuKama hujaumizwa na mapenzi wewe bado unakua bikra moyoni mwako kabisa, ila mkuu hebu tuelezee kidogo kuna mtu yeyote kakucheka ndugu yangu?
Au kubetiUkitaka mapenzi yasikuumize jifunze forex
Hawakuchek ila wanasema ukwelKwa kuangalia threads za watu wanaohitaji msaada wa kimawazo baada ya kuumizwa vibaya mno, afu kuna watu wana comment "tafuta hela" au "unaumia kisa mapenzi" nk , hiyo ni sawa na kumcheka mtu
Hahhh et ku update limbwata 😂Tena usiombe ukaachwa bila taarifa!. Unakomazwa ndani na nje!,halafu Kuna watu wanavipaji huyohuyo aliekuacha bila taarifa anakurudia ukikataa anakuroga!,akishaona limbwata limekolea vizuri ndo anakuacha Sasa na taarifa.. usiombe kuachwa huku limbwata bado linafanya kazi unaweza kuuma Pete ya uchumba ukaimeza mbaya zaidi ukute aliekuacha ni mchawi anajua namna ya ku update limbwata.. mengine mi nimewaachia walimwengu...🤣