Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Maskini wa akili na mali ndio wanaokimbilia USA.

Ho Wahindi /Wachina ambao kila kukicha na akili zao wanakimbilia kuja Silicone Valley ni maskini wa akili ndugu yangu....

5d795b8f6f24eb0dc3481735
 
Hakuna nchi yoyote hapa chini ya jua itatambulika kama nchi ya kishetani.Ushetani upo kwa mtu sio taifa.Ushetani ni spiritual thing na ukaa penye uhai sasa kuna nchi yenye sifa ya uhai au tafsiri ya nchi inakuwa tofauti kati ya mtu na mtu.

Sema tu Marekani ni taifa ambalo watu wake wamejitokeza kukubali matendo ambayo ni against na principles of light as mentioned in holy books.
 
Sio kweli. Wengi wanakimbilia [emoji631] kutafuta fursa bora za maisha.
e037e94b-101c-4691-aee1-da629ad2a8a1_w1023_r1_s.jpg



The U.S. Citizenship and Immigration Services naturalized 833,000 people - an 11-year high in new oaths of citizenship - in fiscal year 2019, which ended September 30. This fiscal year, USCIS administered the Oath of Allegiance to 60 of America’s newest citizens, from 51 different countries, during a special naturalizing ceremony Tuesday at Smithsonian’s National Museum of the American Indian.

Holding American flags in their left hands, the group raised their right hands, and placed them over their hearts, and took the Oath of Allegiance to the United States of America.

"It means a lot, joining one of the world’s greatest country of all times and able to serve this country," said Sandra Amoah, a new U.S. citizen originally from Ghana.

For these 60 people from 51 different countries, young and old, this was the final step to become a naturalized citizen of the United States of America. But it also marked a new beginning in their lives.

"It's going to open more doors for me for a young guy growing up, it's a great opportunity right here," Ghana native Yaw Opoku Amoah told VOA.

"I found it very emotional and I feel that it is a privilege that not very many people can obtain," Virginia Growich, a new U.S. citizen who was born in England said.
 
Napitia comments hapa naona watu wanaandika andika tuu uongo uongo tuu na unafiki.
Kiukweli sisi watu weusi tumejaa unafiki.
Hapa wanaandika hawataki kwenda,hawapapendi na kebehi zingine.
Lakini amini nakwambia America ni bara nambari moja duniani wanaadamu kwa % kubwa wanatamani kufika,kutembelea ama hata kuishi maana mapicha na mavideo yake tuu yanashawishi.
Hakuna mtu asiyependa vitu vizuri.
Na ndo maana wengi wanalike,wanashare,wanacomment na kusubscribe tuu ila kiufupi America ni balaa na ukienda huko kuthibitisha lazima ukapige picha kwenye alama hii 🇺🇸
 
Napitia comments hapa naona watu wanaandika andika tuu uongo uongo tuu na unafiki.
Kiukweli sisi watu weusi tumejaa unafiki.
Hapa wanaandika hawataki kwenda,hawapapendi na kebehi zingine.
Lakini amini nakwambia America ni bara nambari moja duniani wanaadamu kwa % kubwa wanatamani kufika,kutembelea ama hata kuishi maana mapicha na mavideo yake tuu yanashawishi.
Hakuna mtu asiyependa vitu vizuri.
Umemalizaaaaaaa
 
Sijawahi kusukia kijana akiwa na ndoto ya kufika Urusi.
So far sijajua sababu huwq ni ipi hasa, wengi utasikia US.

More Russians are arriving at the US southern border since Putin's draft​

In January, 4,509 Russians arrived at the US-Mexico border, up from 1,645 in August — just before Russian President Vladimir Putin implemented a nationwide military draft in September.

Nearly 22,000 Russians have arrived since October. (Source Immigration News)
 
e037e94b-101c-4691-aee1-da629ad2a8a1_w1023_r1_s.jpg



The U.S. Citizenship and Immigration Services naturalized 833,000 people - an 11-year high in new oaths of citizenship - in fiscal year 2019, which ended September 30. This fiscal year, USCIS administered the Oath of Allegiance to 60 of America’s newest citizens, from 51 different countries, during a special naturalizing ceremony Tuesday at Smithsonian’s National Museum of the American Indian.

Holding American flags in their left hands, the group raised their right hands, and placed them over their hearts, and took the Oath of Allegiance to the United States of America.

"It means a lot, joining one of the world’s greatest country of all times and able to serve this country," said Sandra Amoah, a new U.S. citizen originally from Ghana.

For these 60 people from 51 different countries, young and old, this was the final step to become a naturalized citizen of the United States of America. But it also marked a new beginning in their lives.

"It's going to open more doors for me for a young guy growing up, it's a great opportunity right here," Ghana native Yaw Opoku Amoah told VOA.

"I found it very emotional and I feel that it is a privilege that not very many people can obtain," Virginia Growich, a new U.S. citizen who was born in England said.

It’s true America is a land of opportunity ila nakataa kuhusu kwamba kila mtu anatamani kuishi Marekani.
 
Sasa unakataa nn? Kutafuta hizo fursa ndo wanapenda kuishi huko, kwanini wasiende hizo nchi zingine??

Mbna maneno yako hayana mashiko.

Mbona wanaenda nchi nyingine kama Canada, Uk, South Africa, France nk.
Huoni wahamiaji kutoka Afrika wanakufa maji karibu kila siku Wakikimbilia Ulaya?!
 
It’s true America is a land of opportunity ila nakataa kuhusu kwamba kila mtu anatamani kuishi Marekani.
Mzee Kigogo, nakubaliana na wewe kabisa, nina marafiki wengi wanaonitembelea US, lakini hawataki kuishi hapa! Wanakuja kutembea, kufanya shopping na kurudi bongo, na wengine wanasoma hata watoto wao, lakini wanasema maisha ya hapa hawayawezi, si kwa ubaya...wengine upweke...wengine ni huu mchaka mchaka wa US na sababu nyingi......Hivyo na fursa zote lakini mtu ana pata satisfaction ya maisha yake anavyoona yeye....Uko sawa Mkuu.
 
Back
Top Bottom