Kama mawakili wanaweza kufanyiwa michezo michafu kwenye uchaguzi wao, wananchi wa kawaida tutaweza kuwazuia hawa 'wahuni' kweli?

Kama mawakili wanaweza kufanyiwa michezo michafu kwenye uchaguzi wao, wananchi wa kawaida tutaweza kuwazuia hawa 'wahuni' kweli?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Tumeendelea kuweka taarifa kama tunavyozipokea, kama mlivyoona zoezi la kupiga kura limesimama kwa muda mpaka wakati huu naweka uzi huu hapa kutokana na karatasi za kupigia kura kupelea, ambako imebidi zikachapishwe nyingine ili zoezi liendelee.

Sasa wakati hili linafanyika ukurasa wa TLS X ukapost kuwa zoezi limekamilika, na kuwashukuru wote waliojitokeza kupiga kura.

Baada ya watu kuanza kukoment imekuaje wanapost hiyo wakati bado mawakili wanasubiri karatasi hizo, TLS wamefuta post yao hiyo chaaap.

Sasa wakuu, kama wahuni wanaweza penya mpaka huku na kutaka kuleta figisu tena kwa mawakili, huku kwa mimi na wewe si ndio wanatuona manyani tu wanaeza kufanya lolote watakalo?

Mwabukusi anaonekana kuwa tishio kwelikweli kiasi kwamba wako tayari kufanya lolote ili wachomeke kasuku wao wa kumgeuza kukokote wanakotaka.

Hii inaonesha uchaguzi wa 2025 mambo yatakuwa balaa. Tutaona mengi.

Gen Z mpo? Mnachukua notes? Mmejipangaje kwenye uchaguzi wa 2025 kuhakikisha viongozi wawajibikaji ndio wanapewa nafasi ya kutuwakilisha?
 
Kwa maana , kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo ; itakuwaje kwa mti mkavu ?
 
Wakuu,

Tumeendelea kuweka taarifa kama tunavyozipokea, kama mlivyoona zoezi la kupiga kura limesimama kwa muda mpaka wakati huu naweka uzi huu hapa kutokana na karatasi za kupigia kura kupelea, ambako imebidi zikachapishwe nyingine ili zoezi liendelee.

Sasa wakati hili linafanyika ukurasa wa TLS X ukapost kuwa zoezi limekamilika, na kuwashukuru wote waliojitokeza kupiga kura.

Baada ya watu kuanza kukoment imekuaje wanapost hiyo wakati bado mawakili wanasubiri karatasi hizo, TLS wamefuta post yao hiyo chaaap.

Sasa wakuu, kama wahuni wanaweza penya mpaka huku na kutaka kuleta figisu tena kwa mawakili, huku kwa mimi na wewe si ndio wanatuona manyani tu wanaeza kufanya lolote watakalo?

Mwabukusi anaonekana kuwa tishio kwelikweli kiasi kwamba wako tayari kufanya lolote ili wachomeke kasuku wao wa kumgeuza kukokote wanakotaka.

Hii inaonesha uchaguzi wa 2025 mambo yatakuwa balaa. Tutaona mengi.

Gen Z mpo? Mnachukua notes? Mmejipangaje kwenye uchaguzi wa 2025 kuhakikisha viongozi wawajibikaji ndio wanapewa nafasi ya kutuwakilisha?
Tanzania tuna G z labda g z chawa
 
Back
Top Bottom