Kama mbinguni Kuna utakatifu na hakuna dhambi Ibilisi(Shetani) alidanganywa na nani Hadi akaasi?

Kama mbinguni Kuna utakatifu na hakuna dhambi Ibilisi(Shetani) alidanganywa na nani Hadi akaasi?

Kwenye Torah Mungu Hana mpinzani yaani Mungu Yuko peke yake hakuna huyo shetani, dini zlitengeneza shetani ili kupata wa kuangushia lawama. Utaniuliza Sasa nani analeta na kusababisha mambo mabaya. Nenda ukasome biblia Isaiah 45:7 . Naomba kuwasilisha,
Glory be to God the Creator of the universe.
[7] I form the light, and create darkness: I make peace, and create evil: I the LORD do all these things. [8] Drop down, ye heavens, from above, and let the skies pour down righteousness: let the earth open, and let them bring forth salvation, and let righteousness spring up together; I the LORD have created it.

ISAIAH 45;7
 
Umu tuu
 

Attachments

  • 1729741332650.jpg
    1729741332650.jpg
    298.8 KB · Views: 6
Mkuu najua msimamo wako. Sisi tunao amini mungu yupo tunahitaji kujifunza
Mungu unayemwamini yupo ana
a lot of logical Contradictions, logical fallacies and confusion.

Ndio maana unapata ugumu wa kumwelewa na kujifunza. Kwa sababu Mungu huyo ni wa kubuniwa na watu tu ambaye ana mkanganyiko mkubwa sana wa kiimani.

Kiuhalisia Hakuna Mungu.
 
Wakuu heshima yenu.

Maandiko Yako wazi yanatuambia kuwa Shetani au Ibilisi aliasi huko mbinguni na akatupwa Duniani.

Na mara zote tunaambiwa Huko mbinguni hakuna dhambi maana wanaishi viumbe watakatifu tu akiwako na Mungu Baba.

Tena Bibalia inasema katika kitabu Cha mwanzo Nanukuu..

Mwanzo 2:16-17 (KJV) Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.

Maandiko haya yanaonyesha wazi kuwa kama kama Adamu &Eva wasingekula lile tunda basi wasingeweza kujua mabaya!. Wao Daima wangewaza mema tu.

Maswali yangu ni haya.

1: Iwapo mbinguni wanaishi watakatifu pekee ilikuaje huyu mtakatifu mwingine (Ibilisi) akaasi?

2:kama Mungu alimshindwa shetani kumuangamiza na badala yake akumtupa Duniani .Je! Binadamu ataweza vipi kupambana na kiumbe asichokiumba na chenye uwezo zaidi yake ?

3:Tuna soma kwenye biblia kuwa Mungu ni mweza wa yote na ni Alfa na Omega(mwanzo na mwisho). Alishindwa vipi kujua kuwa huyu shetani ataenda kuleta uharibifu duniani?

4: Baada ya shetani kuleta dhambi(uharibifu) Duniani kwanini Mungu anaonekana hadili na shetani direct na badala yake ana dili na wanadamu na kuwaangamiza kabisa.Mfano safina ya nuhu,sodoma na gomola nk?

SWali la ziada.

*Ni kwanini yesu (masihi/kristo) pamoja na uwezo wake wote alikubali kupandishwa mlimani na shetani?



Naomba maswali haya wajibu wenye Nia ya kujifunza. Kejeri na matusi sio sehemu sahihi. View attachment 3168432
Picha ni mfano wa shetani alivyompandisha yesu mlimani.
View attachment 3168435
View attachment 3168436
Maswali yanahitaji majibu.

Ahsantee
Akili ya Mungu haina kikomo, na akili ya binadamu inakikomo kuelewa mambo yanayomhusu Mungu, inahitaji kumwendea Mungu mwenyewe...kwa unyenyekevu na kicho kuelewa mambo ya kibinadamu mwenye kikomo inahitaji kumwendea binadamu,,,,,,,kamwe usichanganye file kaka.... Mambo ya Mungu usiende kutafuta majibu kwa binadamu hutapata! Swali lako linajibika vzr sana hata sio gumu
 
Wakuu heshima yenu.

Maandiko Yako wazi yanatuambia kuwa Shetani au Ibilisi aliasi huko mbinguni na akatupwa Duniani.

Na mara zote tunaambiwa Huko mbinguni hakuna dhambi maana wanaishi viumbe watakatifu tu akiwako na Mungu Baba.

Tena Bibalia inasema katika kitabu Cha mwanzo Nanukuu..

Mwanzo 2:16-17 (KJV) Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.

Maandiko haya yanaonyesha wazi kuwa kama kama Adamu &Eva wasingekula lile tunda basi wasingeweza kujua mabaya!. Wao Daima wangewaza mema tu.

Maswali yangu ni haya.

1: Iwapo mbinguni wanaishi watakatifu pekee ilikuaje huyu mtakatifu mwingine (Ibilisi) akaasi?

2:kama Mungu alimshindwa shetani kumuangamiza na badala yake akumtupa Duniani .Je! Binadamu ataweza vipi kupambana na kiumbe asichokiumba na chenye uwezo zaidi yake ?

3:Tuna soma kwenye biblia kuwa Mungu ni mweza wa yote na ni Alfa na Omega(mwanzo na mwisho). Alishindwa vipi kujua kuwa huyu shetani ataenda kuleta uharibifu duniani?

4: Baada ya shetani kuleta dhambi(uharibifu) Duniani kwanini Mungu anaonekana hadili na shetani direct na badala yake ana dili na wanadamu na kuwaangamiza kabisa.Mfano safina ya nuhu,sodoma na gomola nk?

SWali la ziada.

*Ni kwanini yesu (masihi/kristo) pamoja na uwezo wake wote alikubali kupandishwa mlimani na shetani?



Naomba maswali haya wajibu wenye Nia ya kujifunza. Kejeri na matusi sio sehemu sahihi. View attachment 3168432
Picha ni mfano wa shetani alivyompandisha yesu mlimani.
View attachment 3168435
View attachment 3168436
Maswali yanahitaji majibu.

Ahsantee
1. Moja Mungu alijua kuwa shetani ataleta madhara duniani ndo maana akamwambia adam awe makini kuna adui atakuja,,,,,
2. Pili Mungu alijua adam na hawa wataasi ndo maana akaandaa mpango wa ukombozi kabla ya kuumba dunia....


3. Baada ya dhambi kuingia Mungu alikuwa ana dili na njia ya kuondoa dhambi,,,,ili iwe faida kwa mwanadamu....binadamu angekomaa kumua shetani wakati already mwanadamu kaathirika, then anarudi kuua mwanadamu pia....hapa ingekuwa none sense!

4. Yesu alijua kuwa shetani atakuja kumjaribu ndo maana akaenda jangwani,
Umeanza kuona baado kuna safari kumwelewa MUNGU,,,,



kama unataka twende kwa Bible sasa,,, nicheki WhatsApp no 0752377430...Kama unataka kujua...neno la Mungu!!
Bwana hata kuacha, maana anatamani umwelewe!

Naitwa ANCENTY STANSLAUSE, niko DSM
I'm a SEVENTY DAY ADVENTIST.
 
Sasa huo moyo wa dhambi ulitokana na nini ili hali huko binguni wanaishi watakatifu yaani ni mwiko kuwaza maovu. Inamaana Mungu hakujua kuwa atakuja kuasi ili amdhibiti?
Mungu akumnyima mtu uhuru wa kuchagua mema au mabaya akushurutishi au kukulazimisha ummche anasema mbele Yako nimeweka uzima na mauti chagua angekulazimisha angeonekana dikteta kwaiyo amekuacha uchague mwenyewe
 
[7] I form the light, and create darkness: I make peace, and create evil: I the LORD do all these things. [8] Drop down, ye heavens, from above, and let the skies pour down righteousness: let the earth open, and let them bring forth salvation, and let righteousness spring up together; I the LORD have created it.

ISAIAH 45;7
Nadhani jibu unalo
 
Ume
Haya mambo ni pasua kichwa.Huenda kulikuwa na maisha(pre-creation civilization) kabla ya uumbaji wa mwanadamu kwa sura ya Mungu.Huenda huko ndo shetani alikokuwa anatawala kwa niaba ya Mungu badae akaona aabudiwe yeye kuliko Mungu-(Probably Jeremiah 4 :21....).Nadhani kuna mambo mengi ambayo huenda yalifichwa au Mungu hataki tuyajue,mojawapo ni re-incarnation/re-birth.
Umesema jambo zito sana
 
Mungu akumnyima mtu uhuru wa kuchagua mema au mabaya akushurutishi au kukulazimisha ummche anasema mbele Yako nimeweka uzima na mauti chagua angekulazimisha angeonekana dikteta kwaiyo amekuacha uchague mwenyewe
Hujajibu swali langu.

Ikiwa Mungu ni mjuzi wa mema na mabaya kwanini hakujua wala kutambua kuwa huyu kiumbe wake atakuja kuasi nakutaka kumpindua?
 
Akili ya Mungu haina kikomo, na akili ya binadamu inakikomo kuelewa mambo yanayomhusu Mungu, inahitaji kumwendea Mungu mwenyewe...kwa unyenyekevu na kicho kuelewa mambo ya kibinadamu mwenye kikomo inahitaji kumwendea binadamu,,,,,,,kamwe usichanganye file kaka.... Mambo ya Mungu usiende kutafuta majibu kwa binadamu hutapata! Swali lako linajibika vzr sana hata sio gumu
Karibu utujibu mkuu
 
Wakuu heshima yenu.

Maandiko Yako wazi yanatuambia kuwa Shetani au Ibilisi aliasi huko mbinguni na akatupwa Duniani.

Na mara zote tunaambiwa Huko mbinguni hakuna dhambi maana wanaishi viumbe watakatifu tu akiwako na Mungu Baba.

Tena Bibalia inasema katika kitabu Cha mwanzo Nanukuu..

Mwanzo 2:16-17 (KJV) Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.

Maandiko haya yanaonyesha wazi kuwa kama kama Adamu &Eva wasingekula lile tunda basi wasingeweza kujua mabaya!. Wao Daima wangewaza mema tu.

Maswali yangu ni haya.

1: Iwapo mbinguni wanaishi watakatifu pekee ilikuaje huyu mtakatifu mwingine (Ibilisi) akaasi?

2:kama Mungu alimshindwa shetani kumuangamiza na badala yake akumtupa Duniani .Je! Binadamu ataweza vipi kupambana na kiumbe asichokiumba na chenye uwezo zaidi yake ?

3:Tuna soma kwenye biblia kuwa Mungu ni mweza wa yote na ni Alfa na Omega(mwanzo na mwisho). Alishindwa vipi kujua kuwa huyu shetani ataenda kuleta uharibifu duniani?

4: Baada ya shetani kuleta dhambi(uharibifu) Duniani kwanini Mungu anaonekana hadili na shetani direct na badala yake ana dili na wanadamu na kuwaangamiza kabisa.Mfano safina ya nuhu,sodoma na gomola nk?

SWali la ziada.

*Ni kwanini yesu (masihi/kristo) pamoja na uwezo wake wote alikubali kupandishwa mlimani na shetani?



Naomba maswali haya wajibu wenye Nia ya kujifunza. Kejeri na matusi sio sehemu sahihi. View attachment 3168432
Picha ni mfano wa shetani alivyompandisha yesu mlimani.
View attachment 3168435
View attachment 3168436
Maswali yanahitaji majibu.

Ahsantee
Yohana 6:70 Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?
 
Unaambiwa ukimchunguza sana kuku hutomla. Mambo ya Mungu hayachunguziki, usiwe na masikio ya utafiti. We amini tu hivyo hivyo kwamba shetani/lusifa aliasi huko mbinguni na akatupwa duniani.
 
Wakuu heshima yenu.

Maandiko Yako wazi yanatuambia kuwa Shetani au Ibilisi aliasi huko mbinguni na akatupwa Duniani.

Na mara zote tunaambiwa Huko mbinguni hakuna dhambi maana wanaishi viumbe watakatifu tu akiwako na Mungu Baba.

Tena Bibalia inasema katika kitabu Cha mwanzo Nanukuu..

Mwanzo 2:16-17 (KJV) Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.

Maandiko haya yanaonyesha wazi kuwa kama kama Adamu &Eva wasingekula lile tunda basi wasingeweza kujua mabaya!. Wao Daima wangewaza mema tu.

Maswali yangu ni haya.

1: Iwapo mbinguni wanaishi watakatifu pekee ilikuaje huyu mtakatifu mwingine (Ibilisi) akaasi?

2:kama Mungu alimshindwa shetani kumuangamiza na badala yake akumtupa Duniani .Je! Binadamu ataweza vipi kupambana na kiumbe asichokiumba na chenye uwezo zaidi yake ?

3:Tuna soma kwenye biblia kuwa Mungu ni mweza wa yote na ni Alfa na Omega(mwanzo na mwisho). Alishindwa vipi kujua kuwa huyu shetani ataenda kuleta uharibifu duniani?

4: Baada ya shetani kuleta dhambi(uharibifu) Duniani kwanini Mungu anaonekana hadili na shetani direct na badala yake ana dili na wanadamu na kuwaangamiza kabisa.Mfano safina ya nuhu,sodoma na gomola nk?

SWali la ziada.

*Ni kwanini yesu (masihi/kristo) pamoja na uwezo wake wote alikubali kupandishwa mlimani na shetani?



Naomba maswali haya wajibu wenye Nia ya kujifunza. Kejeri na matusi sio sehemu sahihi. View attachment 3168432
Picha ni mfano wa shetani alivyompandisha yesu mlimani.
View attachment 3168435
View attachment 3168436
Maswali yanahitaji majibu.

Ahsantee
Nakupa simple answer ni kuwa Ibilisi alikuwa na KIBURI .Baba yetu Nabii Adam Allah alimuumba akamfanya kama doli au fremu tu kwanza wakati huo ibilisi anliona lile doli na kulichezea na kushangaa hiki kitu gani .Baada ya masiku kupita Allah akalitia ROHO na kuwa binadamu ndio hapo Allah akawapa Amri Malaika wote wamsujudie Nabii Adam Malaika wote wakasujudu ila Ibilisi tu na kiburi chake ndio hapo ugomvi ukaanza baina yetu na Ibilisi.
 
Nakupa simple answer ni kuwa Ibilisi alikuwa na KIBURI .Baba yetu Nabii Adam Allah alimuumba akamfanya kama doli au fremu tu kwanza wakati huo ibilisi anliona lile doli na kulichezea na kushangaa hiki kitu gani .Baada ya masiku kupita Allah akalitia ROHO na kuwa binadamu ndio hapo Allah akawapa Amri Malaika wote wamsujudie Nabii Adam Malaika wote wakasujudu ila Ibilisi tu na kiburi chake ndio hapo ugomvi ukaanza baina yetu na Ibilisi.
Lakini ungomvi ulianzia mbinguni kabla hajatupwa huku kwa adamu. Je aliwezaje kuasi huko mbinguni na hatimae kutupwa duniani?
 
Unaambiwa ukimchunguza sana kuku hutomla. Mambo ya Mungu hayachunguziki, usiwe na masikio ya utafiti. We amini tu hivyo hivyo kwamba shetani/lusifa aliasi huko mbinguni na akatupwa duniani.
Haya mkuu.lkn vipi tunapoulizwa maswali haya na watoto wetu?
 
Mimi nami niongezee hapo kwenye hayo maswali, japo najua kabisa hakuna mwenye majibu zaidi ya talalila;

Kama kweli Mungu anatupenda kama tunavyoaminishwa, kwanini baada ya shetani kuasi akaamua tena kumtupa DUNIANI ambako alijua kabisa kuna viumbe vyake pendwa (sisi) na alijua kabisa huyu jamaa atakuja kutusumbua na kutupotosha? Kwanini hakumtupa hata PLUTO huko au VENUS, JUPITER nk ambako hakuna kiumbe kinachoishi? Yaani ni sawa na wewe upambane na nyoka huko nje, ushindwe kumuua halafu umtupie chumbani kwa watoto! Inaingia akilini?

Halafu huyo nyoka akiwauma watoto, unaanza kuwalaumu tena wale watoto. Kwamba kwanini wamekubali kuumwa na nyoka, unawalaani wao na vizazi vyao vyote, unawaambia waombe msamaha kwako kwa kuumwa na nyoka uliewatupia wewe, la sivyo wakifa utawachoma moto MILELE!!!

Hapa kuna mawili tu;

AMA hizi hadithi za kwenye biblia ni za UONGO kama alfu lela ulela, AU huyo Mungu muweza yote alietuumba na anaetupenda SIO HUYO wa kwenye maandiko!

Usikute hata haya maandiko ni mpango wa shetani kututenganisha na Mungu wa kweli? 🤔 Eeh manake shetani tunaambiwa ana akili sana na yeye ndio mfalme wa dunia so anaweza kufanya chochote.
Nimependa jinsi ulivyoweka mfano wako huu, naomba twende taratibu ndugu najua tutaelewana na kueleweshana wote.
Tukianza na mfano wako wa nyoka, kumbuka wakati baba(Mungu) anapigana na nyoka(shetani) alafu akamtupia kwenye chumba (duniani) kama ulivyosema wewe tambua hakukuwepo watoto( binadamu) wakati ule wakati ugomvi unatokea, watoto walikuja baadae sana baada ya huo ugomvi.
Pili wakati baba(Mungu) alivyo waleta watoto(binadamu) aliwaweka chumba safi sana ambacho huyo nyoka hayupo ila anaweza kufika na asiwafanye chochote hao walioko humo ndani.
Tatu, wakati watoto anawaweka humo ndani aliwaambia kabisa kila kitu ni chema na naomba mtumie kila kilichomo humo ndani ya hicho chumba ila msilale kwenye hilo godoro laleni kwenye ngozi na akawaambia kabisa siku mkilala kwenye hilo godoro mtapata ukurutu.
Nne, wakati watoto wako ndani ya chumba akaja huyo nyoka ambaye ni mgeni machoni pao akawaambia laleni kwenye hilo godoro hamtapata ukurutu na watoto wakatii huyo mgeni licha ya kutokumuona hapo kabla (hapa mgeni hakuwalazimisha hao watoto au kuwashinikiza kulala au kuwalaza kwenye godoro bila wao kujua ila tu ni kwa utashi wao wale watoto walilala wenyewe).
Tano, baada ya yote hayo baba akaamua kuwapa dawa hao watoto kila wakati wajipake ili akija huyo nyoka asiwasogelee wala kuwashambulia
Wale watoto wengine wanajipaka wengine wanaona shida kujipaka ile dawa nyoka akija anawashambulia.
mfano( umepata ajira kanda ya ziwa ambako kitakwimu ni ukanda wa malaria, sasa nikakupa hiyo taarifa na kukupatia dawa ya kutumia ili ukifika ujikinge na mbu wasikuletee malaria ila wewe ukawa unaona usumbufu kutumia ile dawa licha ya kua unayo, baada ya mda ukaugua malaria, je hapo utamlaumu nani? Aliyekupa ajira kanda ya ziwa au wewe uliyeshindwa kutumia dawa ya mbu?)

Naomba tutafakari hili pia
Wewe ni mfinyanzi, ukaamua utengeneze chungu kwa jinsi unavyoona wewe na kwa umbo linalo kuvutia wewe, baada ya kufinyanga na kumaliza ukaamua uweke chungu chako kwenye jua kali, au uoteshee maua au ukitumie kwa jinsi unavyotaka wewe au ukivunje vunje na kukiharibu je chungu kinaweza kukuuliza kwa nini umenifanyia hivi na siyo vile? Jibu ni haiwezekani kwa sababu hakina mamlaka wala hakichagui jinsi ya kutumika.

Kwa maelezo hayo hapo juu ni kwamba sisi wanadamu ( watoto) hatuja chagua sehemu ya kuwekwa hilo litambue ni kwa sababu sisi ni vyungu kwa hiyo hatumpangii yule aliyetuweka huku kwa nini hajatupeleka kwingine ( kitengenezwa hakichagui na akina mamlaka yyt wala nguvu ya kuchagua pa kuwekwa au matumizi) kwa hiyo matumizi yote ya kile chungu inabaki kwa yule aliye kitengeneza
Sasa mpaka leo anayejua kwa nini tuliumbwa na kwa nini tuliletwa huku ambako tunapaona ni sehemu ngumu na yenye vitisho vingi ni yule aliye tufinyanga na ndiye anajua kwa nn ametuweka huku licha ya kuwa kuna vitisho vya yule mwalibifu (nyoka) LAKINI kumbuka ametupa ile dawa ya kutufanya yule nyoka asitusogele, je unaitumia ile dawa au unalaumu baada ya kutokutumia dawa ukang'atwa na yule nyoka?
 
Back
Top Bottom