Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
[7] I form the light, and create darkness: I make peace, and create evil: I the LORD do all these things. [8] Drop down, ye heavens, from above, and let the skies pour down righteousness: let the earth open, and let them bring forth salvation, and let righteousness spring up together; I the LORD have created it.Kwenye Torah Mungu Hana mpinzani yaani Mungu Yuko peke yake hakuna huyo shetani, dini zlitengeneza shetani ili kupata wa kuangushia lawama. Utaniuliza Sasa nani analeta na kusababisha mambo mabaya. Nenda ukasome biblia Isaiah 45:7 . Naomba kuwasilisha,
Glory be to God the Creator of the universe.
Mungu unayemwamini yupo anaMkuu najua msimamo wako. Sisi tunao amini mungu yupo tunahitaji kujifunza
Akili ya Mungu haina kikomo, na akili ya binadamu inakikomo kuelewa mambo yanayomhusu Mungu, inahitaji kumwendea Mungu mwenyewe...kwa unyenyekevu na kicho kuelewa mambo ya kibinadamu mwenye kikomo inahitaji kumwendea binadamu,,,,,,,kamwe usichanganye file kaka.... Mambo ya Mungu usiende kutafuta majibu kwa binadamu hutapata! Swali lako linajibika vzr sana hata sio gumuWakuu heshima yenu.
Maandiko Yako wazi yanatuambia kuwa Shetani au Ibilisi aliasi huko mbinguni na akatupwa Duniani.
Na mara zote tunaambiwa Huko mbinguni hakuna dhambi maana wanaishi viumbe watakatifu tu akiwako na Mungu Baba.
Tena Bibalia inasema katika kitabu Cha mwanzo Nanukuu..
Mwanzo 2:16-17 (KJV) Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Maandiko haya yanaonyesha wazi kuwa kama kama Adamu &Eva wasingekula lile tunda basi wasingeweza kujua mabaya!. Wao Daima wangewaza mema tu.
Maswali yangu ni haya.
1: Iwapo mbinguni wanaishi watakatifu pekee ilikuaje huyu mtakatifu mwingine (Ibilisi) akaasi?
2:kama Mungu alimshindwa shetani kumuangamiza na badala yake akumtupa Duniani .Je! Binadamu ataweza vipi kupambana na kiumbe asichokiumba na chenye uwezo zaidi yake ?
3:Tuna soma kwenye biblia kuwa Mungu ni mweza wa yote na ni Alfa na Omega(mwanzo na mwisho). Alishindwa vipi kujua kuwa huyu shetani ataenda kuleta uharibifu duniani?
4: Baada ya shetani kuleta dhambi(uharibifu) Duniani kwanini Mungu anaonekana hadili na shetani direct na badala yake ana dili na wanadamu na kuwaangamiza kabisa.Mfano safina ya nuhu,sodoma na gomola nk?
SWali la ziada.
*Ni kwanini yesu (masihi/kristo) pamoja na uwezo wake wote alikubali kupandishwa mlimani na shetani?
Naomba maswali haya wajibu wenye Nia ya kujifunza. Kejeri na matusi sio sehemu sahihi. View attachment 3168432
Picha ni mfano wa shetani alivyompandisha yesu mlimani.
View attachment 3168435
View attachment 3168436
Maswali yanahitaji majibu.
Ahsantee
1. Moja Mungu alijua kuwa shetani ataleta madhara duniani ndo maana akamwambia adam awe makini kuna adui atakuja,,,,,Wakuu heshima yenu.
Maandiko Yako wazi yanatuambia kuwa Shetani au Ibilisi aliasi huko mbinguni na akatupwa Duniani.
Na mara zote tunaambiwa Huko mbinguni hakuna dhambi maana wanaishi viumbe watakatifu tu akiwako na Mungu Baba.
Tena Bibalia inasema katika kitabu Cha mwanzo Nanukuu..
Mwanzo 2:16-17 (KJV) Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Maandiko haya yanaonyesha wazi kuwa kama kama Adamu &Eva wasingekula lile tunda basi wasingeweza kujua mabaya!. Wao Daima wangewaza mema tu.
Maswali yangu ni haya.
1: Iwapo mbinguni wanaishi watakatifu pekee ilikuaje huyu mtakatifu mwingine (Ibilisi) akaasi?
2:kama Mungu alimshindwa shetani kumuangamiza na badala yake akumtupa Duniani .Je! Binadamu ataweza vipi kupambana na kiumbe asichokiumba na chenye uwezo zaidi yake ?
3:Tuna soma kwenye biblia kuwa Mungu ni mweza wa yote na ni Alfa na Omega(mwanzo na mwisho). Alishindwa vipi kujua kuwa huyu shetani ataenda kuleta uharibifu duniani?
4: Baada ya shetani kuleta dhambi(uharibifu) Duniani kwanini Mungu anaonekana hadili na shetani direct na badala yake ana dili na wanadamu na kuwaangamiza kabisa.Mfano safina ya nuhu,sodoma na gomola nk?
SWali la ziada.
*Ni kwanini yesu (masihi/kristo) pamoja na uwezo wake wote alikubali kupandishwa mlimani na shetani?
Naomba maswali haya wajibu wenye Nia ya kujifunza. Kejeri na matusi sio sehemu sahihi. View attachment 3168432
Picha ni mfano wa shetani alivyompandisha yesu mlimani.
View attachment 3168435
View attachment 3168436
Maswali yanahitaji majibu.
Ahsantee
Mungu akumnyima mtu uhuru wa kuchagua mema au mabaya akushurutishi au kukulazimisha ummche anasema mbele Yako nimeweka uzima na mauti chagua angekulazimisha angeonekana dikteta kwaiyo amekuacha uchague mwenyeweSasa huo moyo wa dhambi ulitokana na nini ili hali huko binguni wanaishi watakatifu yaani ni mwiko kuwaza maovu. Inamaana Mungu hakujua kuwa atakuja kuasi ili amdhibiti?
Nadhani jibu unalo[7] I form the light, and create darkness: I make peace, and create evil: I the LORD do all these things. [8] Drop down, ye heavens, from above, and let the skies pour down righteousness: let the earth open, and let them bring forth salvation, and let righteousness spring up together; I the LORD have created it.
ISAIAH 45;7
Umesema jambo zito sanaHaya mambo ni pasua kichwa.Huenda kulikuwa na maisha(pre-creation civilization) kabla ya uumbaji wa mwanadamu kwa sura ya Mungu.Huenda huko ndo shetani alikokuwa anatawala kwa niaba ya Mungu badae akaona aabudiwe yeye kuliko Mungu-(Probably Jeremiah 4 :21....).Nadhani kuna mambo mengi ambayo huenda yalifichwa au Mungu hataki tuyajue,mojawapo ni re-incarnation/re-birth.
Hujajibu swali langu.Mungu akumnyima mtu uhuru wa kuchagua mema au mabaya akushurutishi au kukulazimisha ummche anasema mbele Yako nimeweka uzima na mauti chagua angekulazimisha angeonekana dikteta kwaiyo amekuacha uchague mwenyewe
Karibu utujibu mkuuAkili ya Mungu haina kikomo, na akili ya binadamu inakikomo kuelewa mambo yanayomhusu Mungu, inahitaji kumwendea Mungu mwenyewe...kwa unyenyekevu na kicho kuelewa mambo ya kibinadamu mwenye kikomo inahitaji kumwendea binadamu,,,,,,,kamwe usichanganye file kaka.... Mambo ya Mungu usiende kutafuta majibu kwa binadamu hutapata! Swali lako linajibika vzr sana hata sio gumu
Yohana 6:70 Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?Wakuu heshima yenu.
Maandiko Yako wazi yanatuambia kuwa Shetani au Ibilisi aliasi huko mbinguni na akatupwa Duniani.
Na mara zote tunaambiwa Huko mbinguni hakuna dhambi maana wanaishi viumbe watakatifu tu akiwako na Mungu Baba.
Tena Bibalia inasema katika kitabu Cha mwanzo Nanukuu..
Mwanzo 2:16-17 (KJV) Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Maandiko haya yanaonyesha wazi kuwa kama kama Adamu &Eva wasingekula lile tunda basi wasingeweza kujua mabaya!. Wao Daima wangewaza mema tu.
Maswali yangu ni haya.
1: Iwapo mbinguni wanaishi watakatifu pekee ilikuaje huyu mtakatifu mwingine (Ibilisi) akaasi?
2:kama Mungu alimshindwa shetani kumuangamiza na badala yake akumtupa Duniani .Je! Binadamu ataweza vipi kupambana na kiumbe asichokiumba na chenye uwezo zaidi yake ?
3:Tuna soma kwenye biblia kuwa Mungu ni mweza wa yote na ni Alfa na Omega(mwanzo na mwisho). Alishindwa vipi kujua kuwa huyu shetani ataenda kuleta uharibifu duniani?
4: Baada ya shetani kuleta dhambi(uharibifu) Duniani kwanini Mungu anaonekana hadili na shetani direct na badala yake ana dili na wanadamu na kuwaangamiza kabisa.Mfano safina ya nuhu,sodoma na gomola nk?
SWali la ziada.
*Ni kwanini yesu (masihi/kristo) pamoja na uwezo wake wote alikubali kupandishwa mlimani na shetani?
Naomba maswali haya wajibu wenye Nia ya kujifunza. Kejeri na matusi sio sehemu sahihi. View attachment 3168432
Picha ni mfano wa shetani alivyompandisha yesu mlimani.
View attachment 3168435
View attachment 3168436
Maswali yanahitaji majibu.
Ahsantee
Fafanua/ElezeaYohana 6:70 Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?
Nakupa simple answer ni kuwa Ibilisi alikuwa na KIBURI .Baba yetu Nabii Adam Allah alimuumba akamfanya kama doli au fremu tu kwanza wakati huo ibilisi anliona lile doli na kulichezea na kushangaa hiki kitu gani .Baada ya masiku kupita Allah akalitia ROHO na kuwa binadamu ndio hapo Allah akawapa Amri Malaika wote wamsujudie Nabii Adam Malaika wote wakasujudu ila Ibilisi tu na kiburi chake ndio hapo ugomvi ukaanza baina yetu na Ibilisi.Wakuu heshima yenu.
Maandiko Yako wazi yanatuambia kuwa Shetani au Ibilisi aliasi huko mbinguni na akatupwa Duniani.
Na mara zote tunaambiwa Huko mbinguni hakuna dhambi maana wanaishi viumbe watakatifu tu akiwako na Mungu Baba.
Tena Bibalia inasema katika kitabu Cha mwanzo Nanukuu..
Mwanzo 2:16-17 (KJV) Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Maandiko haya yanaonyesha wazi kuwa kama kama Adamu &Eva wasingekula lile tunda basi wasingeweza kujua mabaya!. Wao Daima wangewaza mema tu.
Maswali yangu ni haya.
1: Iwapo mbinguni wanaishi watakatifu pekee ilikuaje huyu mtakatifu mwingine (Ibilisi) akaasi?
2:kama Mungu alimshindwa shetani kumuangamiza na badala yake akumtupa Duniani .Je! Binadamu ataweza vipi kupambana na kiumbe asichokiumba na chenye uwezo zaidi yake ?
3:Tuna soma kwenye biblia kuwa Mungu ni mweza wa yote na ni Alfa na Omega(mwanzo na mwisho). Alishindwa vipi kujua kuwa huyu shetani ataenda kuleta uharibifu duniani?
4: Baada ya shetani kuleta dhambi(uharibifu) Duniani kwanini Mungu anaonekana hadili na shetani direct na badala yake ana dili na wanadamu na kuwaangamiza kabisa.Mfano safina ya nuhu,sodoma na gomola nk?
SWali la ziada.
*Ni kwanini yesu (masihi/kristo) pamoja na uwezo wake wote alikubali kupandishwa mlimani na shetani?
Naomba maswali haya wajibu wenye Nia ya kujifunza. Kejeri na matusi sio sehemu sahihi. View attachment 3168432
Picha ni mfano wa shetani alivyompandisha yesu mlimani.
View attachment 3168435
View attachment 3168436
Maswali yanahitaji majibu.
Ahsantee
Lakini ungomvi ulianzia mbinguni kabla hajatupwa huku kwa adamu. Je aliwezaje kuasi huko mbinguni na hatimae kutupwa duniani?Nakupa simple answer ni kuwa Ibilisi alikuwa na KIBURI .Baba yetu Nabii Adam Allah alimuumba akamfanya kama doli au fremu tu kwanza wakati huo ibilisi anliona lile doli na kulichezea na kushangaa hiki kitu gani .Baada ya masiku kupita Allah akalitia ROHO na kuwa binadamu ndio hapo Allah akawapa Amri Malaika wote wamsujudie Nabii Adam Malaika wote wakasujudu ila Ibilisi tu na kiburi chake ndio hapo ugomvi ukaanza baina yetu na Ibilisi.
Haya mkuu.lkn vipi tunapoulizwa maswali haya na watoto wetu?Unaambiwa ukimchunguza sana kuku hutomla. Mambo ya Mungu hayachunguziki, usiwe na masikio ya utafiti. We amini tu hivyo hivyo kwamba shetani/lusifa aliasi huko mbinguni na akatupwa duniani.
tutawajibu kama mapadre/wachungaji na maaskofu wanavyotufundisha kanisaniHaya mkuu.lkn vipi tunapoulizwa maswali haya na watoto wetu?
Kizazi hiking sio kama chetu mkuu huwezi kukabia juu juu wakakuelewatutawajibu kama mapadre/wachungaji na maaskofu wanavyotufundisha kanisani
Nimependa jinsi ulivyoweka mfano wako huu, naomba twende taratibu ndugu najua tutaelewana na kueleweshana wote.Mimi nami niongezee hapo kwenye hayo maswali, japo najua kabisa hakuna mwenye majibu zaidi ya talalila;
Kama kweli Mungu anatupenda kama tunavyoaminishwa, kwanini baada ya shetani kuasi akaamua tena kumtupa DUNIANI ambako alijua kabisa kuna viumbe vyake pendwa (sisi) na alijua kabisa huyu jamaa atakuja kutusumbua na kutupotosha? Kwanini hakumtupa hata PLUTO huko au VENUS, JUPITER nk ambako hakuna kiumbe kinachoishi? Yaani ni sawa na wewe upambane na nyoka huko nje, ushindwe kumuua halafu umtupie chumbani kwa watoto! Inaingia akilini?
Halafu huyo nyoka akiwauma watoto, unaanza kuwalaumu tena wale watoto. Kwamba kwanini wamekubali kuumwa na nyoka, unawalaani wao na vizazi vyao vyote, unawaambia waombe msamaha kwako kwa kuumwa na nyoka uliewatupia wewe, la sivyo wakifa utawachoma moto MILELE!!!
Hapa kuna mawili tu;
AMA hizi hadithi za kwenye biblia ni za UONGO kama alfu lela ulela, AU huyo Mungu muweza yote alietuumba na anaetupenda SIO HUYO wa kwenye maandiko!
Usikute hata haya maandiko ni mpango wa shetani kututenganisha na Mungu wa kweli? 🤔 Eeh manake shetani tunaambiwa ana akili sana na yeye ndio mfalme wa dunia so anaweza kufanya chochote.
Maswali megine inajibiwa na Mungu mwenyewe ufe utapata jibu kamiliAkili(utambuzi), nafsi, tamaa... Ni adui mkubwa wa imani.
Ndio maana mtume akawaambia jihadi kubwa kabisa ni baina ya mtu na nafsi yake.