Acha kuweweseka kigo...li hapo lb7fc tangu lini ukaitakia mema chadema!?Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.
Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?
Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.
Maendeleo hayana vyama!
Endelea kukariri...... Wenye Chadema yao wameshaamua!UZWAZWA unakusumbua wewe. Mtu mzima hovyoooo! Umekalia UZUSHI tu ili ulipwe buku 7.
Namtakia mema Tundu Lisu siyo Chadema bwashee!Acha kuweweseka kigo...li hapo lb7fc tangu lini ukaitakia mema chadema!?
Kwahiyo tundu lissu na jpmNamtakia mema Tundu Lisu siyo Chadema bwashee!
Naskia dau limepanda kuyoka buku saba mapa saba miatano ndio maana unaona wamekuja na nguvu humu jamvinijohnthebaptist unatokwa na mate kwa harufu ya papa inayochomwa nyumba ya jirani.
Endelea kukariri...... Wenye Chadema yao wameshaamua!
Lissu hakubaliki kwa wenye chadema yenyewe...Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.
Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?
Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.
Maendeleo hayana vyama!
Atapigiwa na Chadema asilia!Kwahiyo tundu lissu na jpm
..utamchagua TL, ww kula buku7 zako hapo lumumba za chakubanga kupitia peteo magoti.
Wanachama wako CCM meku.......Chadema ni kampuni!Chama ni wanachama wewe ZWAZWA!!!
mchukueni mumpe nafasu huko ccm kama unaona anaonewaSina wasiwasi bwashee..... Ila Tundu Lisu mtamuonea hadi lini wapendwa?!
Wanachama wako CCM meku.......Chadema ni kampuni!
Na nyie mrudishieni Tundu Lisu hela yake ya fomu!
Huku anakaribishwa demokrasia imetamalaki!mchukueni mumpe nafasu huko ccm kama unaona anaonewa
Wapi niliposema wewe ni mchagga?!We jamaa mpuuzi sana. Nani alikudanganya mie mchagga!? 😳
Wapi niliposema wewe ni mchagga?!
Unataka kuniambia Lisu atakuja msimkamate kwa kesi ya kuruka dhamana kesi ya uchochezi mkamfunga miezi 6 chachapu !!??Sina wasiwasi bwashee..... Ila Tundu Lisu mtamuonea hadi lini wapendwa?!
Hapo Ufipa kuna mjumbe anaweza kumbishia Mbowe?Wote wanaingia kwenye mchakato wa kuchaguliwa na wajumbe