Kama Mbowe atatangaza kustaafu, Wajumbe wote mnatakiwa kumuunga mkono Lissu

Kama Mbowe atatangaza kustaafu, Wajumbe wote mnatakiwa kumuunga mkono Lissu

Utasubiri sana, mwenzako anaanza kufyatua tofali 10 wewe unabeza unasema hiyo hela ya tofali 10 bora niinywee pombe hadi nitakapopata hela ya tofali mia.
dah,
kumbe ndiyo anaanza kufyatua tofali this time gentleman?

mbona bado sana sasa?
halafu si angeanza rasmi kufyatua from January to December 2025?
 
Lisu apigiwe kura ya hapana ikiwa mbowe atatangaza kustaafu,

na kwa hivyo Lisu akibaki pekeyake ulingoni, inafaa akataliwe kwa kura ya hapana, maana haukuna namna nyingine sasa ya kidemokrasia :pedroP:
Kama una hamu ya kupiga kura ya hapana, subiria kuioiga siku CCM watakapoprint fomu 1 kwaajili ya Rais Samia.

CHADEMA kumejaa watu wenye akili na wasomi, hawahitaji ushauri kutoka kwa machawa ya CCM.
 
Kama una hamu ya kupiga kura ya hapana, subiria kuioiga siku CCM watakapoprint fomu 1 kwaajili ya Rais Samia.

CHADEMA kumejaa watu wenye akili na wasomi, hawahitaji ushauri kutoka kwa machawa ya CCM.
sio suala la hamu gentleman, ndio Demokrasia ilivyo,

hivi kwenye uchaguzi wa kanda kuna jamaa wamepata kura 0, je hawakua wagombea ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu wa kanda hiyo au kuna namna?🐒
 
Kama
mimi ni mchambuzi mwandamizi,
na mtaalamu wa masuala ya demokrasia na siasa za vyama vya siasa :pedroP:
Na wewe unajiita ni mtaalam, basi labda maana ya mtaalam ibafilike na kuwa ni "mtu mnafiki punguani, chawa asiyejua thamani ya utu waje". Hakuna chawa punguani ambaye ni mtaalam mchambuzi. Sifa kubwa ya chawa ni kutokuwa na uwezo wa kutumia akili yake, na kubakia na kazi kubwa ya kumsifia anayemfanyia uchawa, bila ya kujali huyo mtu anatenda vema au anafanya ushetani.

Machawa ounguani waliopindukia, kwa hapa JF, inafahamika kuwa mpo watatu, na wenzako wawili unawafahamu.
 
naona laana ya BAWACHA ya kuchoma vitenge imeanza kuwatembelea hadi vibwengo dah :pedroP:
Ole wenu ccm mje na mbwembwe za mara form moja , ccm mnachacho kifanya kuwa ni wakereketwa wakuu wa mambo ya chadema , mda mwalim tunawasubili ubaya ubwela
 
Sasa mtu kama huyo unamwamini vipi kumkabishi taasisi nyeti kama CDM.
Hizi ni akili za Ki-CCM. Kama Lissu kashinda kwa kura halali, huoni wazo lako lilivyo la kijinga?

Kwa hiyo Lissu kama hatapata baraka zote za Mh. Mbowe katika hili jambo lake alilotangaza basi ausahau uwenyekiti kabisa sababu hatapata kura hata 15.
Ohoo! Yaani kushinda kura kutegemee baraka za mtu mmoja! FUSO, kulinda heshima yako, futa hii kauli!
 
Siku yao ccm ikifika ,kambi yangu nitaitangaza mapema sana ,siku 17 kabla ubaya ubwela
 
sio suala la hamu gentleman, ndio Demokrasia ilivyo,

hivi kwenye uchaguzi wa kanda kuna jamaa wamepata kura 0, je hawakua wagombea ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu wa kanda hiyo au kuna namna?🐒
Kura za ndiyo na hapana zimekuwa zikioigwa miaka yote ndani ya CHADEMA, hawahitaji kuelekezwa na chawa wa CCM ambao mgombea akiwa mmoja wanamtangaza kuwa amepita bila kuoingwa, na ndiyo maana wamekuwa wakihangaika kufanya ushetani wa kuwaengua wapinzani ili wajitangaze wamepita bila kuoingwa.

Hivi shetani aliwahi kumwelekeza mwanadamu asitende dhambi? Ninyi mashetani kama mnataka kubadilika na kufuata kanuni za demokradia, mkaanzie na kuchapisha fomu nyingi za wagombea wa nafasi ya Urais, watu washindane na Samia, ndipo tutaamini kuwa hata shetani huwa anaweza kubadilika.

Halafu mkamwambie Samia aruhusu uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi siyo hiyo kamati yake ya kukamilisha vitendo vya kishetani.
Na sheria ya mshindi ibadilishwe badala ya simple majority iwe zaidi ya 50%. Na ule ushenzi wa kutohoji matokeo ya Urais na zile sheria za kishetani za Rais, Jaji mkuu, Spika, PM, Makamu wa Rais; kutoshtakiwa akitenda uovu zifutwe.
Vinginevyo, bakini na ushetani wenu, hamna uhalali wa kunena lolote juu ya namna njema ya kufanya chochote kilicho chema. Ninyi mmejaa ushenzi, ushetani na uovu mtupu.
 
Ole wenu ccm mje na mbwembwe za mara form moja , ccm mnachacho kifanya kuwa ni wakereketwa wakuu wa mambo ya chadema , mda mwalim tunawasubili ubaya ubwela
Chadema ni muhimu sana wakafanya uamuzi kwa umakini mkubwa sana, kibaraka apewe hata kura 20 za kufutia machozi 🐒
 
Chadema ni muhimu sana wakafanya uamuzi kwa umakini mkubwa sana, kibaraka apewe hata kura 20 za kufutia machozi 🐒
Siku azigandi kipindi chenu kitafika tu, pia tutachagua size ya spana ya kutumia, ubaya ubwela
 
Huwa najiuliza sana hili swali ; hivi wanaccm wana masilahi gani na uenyekiti wa Mbowe? Kama Mbowe na yeye ameshajiuliza hili swali haya madudu yanayoendelea kufumuliwa yasingetokea. Kuna damage kubwa sana imeshafanyika beyond control.
Hamjaelewa kinachoendelea. Hawa watu hawamtaki Mbowe ila wanajua wakimshabikia mtamtilia shaka na kumchagua Lissu.

Amandla...
 
Mwaka 2015 wakati Lowassa anaenguliwa kugombea urais ndani ya CCM ukumbi mzima ulilipuka na kuanza kuimba 'Tunaimani na Lowassa' maana 80% ya Wenyeviti wa mikoa CCM walikuwa upande wake.

Lakini baada ya Magufuli kuteuliwa kugombea wote waliokuwa upande wa Lowassa walitangaza kuvunja kambi na kumuunga mkono Magufuli.

Kwa ustawi wa chama, baada ya Mbowe kutangaza kung'atuka (kitu ambacho ni obvious), wajumbe wote waliokuwa upande wa M/Kiti Mbowe kuanzia Wenyeviti wa Mikoa, Wilaya vivyo hivyo kwa wanachama mnatakiwa kuvunja kambi zenu na kumuunga mkono Lissu kwa maslahi mapana ya chama, vinginevyo mtagawana mbao.

***Asubuhi njema na tafakuri njema wakati dunia ikisubiri kwa hamu tamko la Mwenyekiti.
Mzee Mbowe asigombee abaki na heshima yake. Kwa vyovyote vile akigombea na akashinda,bado ataonekana mwenye uroho wa madaraka.
 
Unaamini kweli wanamtaka Mbowe? Kuwa wanaamini kuwa mtampigia kura mtu ambae wanampigia debe?

Amandla...
Ndio maana nikasema hata kama wanafanya ujanja wa kujifanya wanataka sitaki, twende nao hivyo hivyo.
 
Team lisu kwanini munalazimisha Mbowe astaafu? Kama mnajiamini mwende kwenye uchaguzi tu
 
Back
Top Bottom