Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Kwa aliyo yafanya Magufuli alale mahali anapo stahili na kama ikiwezekana awe anapigwa viboko 10 asubuhi na 10 jioni kwa kipindi cha miaka 7.Huo ndio ukweli mchungu.
Kwa mfano wale wabunge 19 wasiofungamana na upande wowote ni lazima wamwamkie Dr Mahera popote wanapomwona tena kwa kupiga goti hata kama wanamzidi umri.
Hizo ndio gharama za kubwebwa ukishikwa makalio ili ukae vizuri mgingoni usianguke basi usipigipe makelele vinginevyo ungekaa kimya.
MaDED wote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano
Ramadhan Kareem