Kama Mbunge ulipita bila kupingwa au uliiba kura lazima utambue wewe ni "Mtumwa" wa DED hadi 2025

Kama Mbunge ulipita bila kupingwa au uliiba kura lazima utambue wewe ni "Mtumwa" wa DED hadi 2025

Tume iliendesha Uchaguzi kwa kufuata Sheria za Uchaguzi na kama Mbunge au Diwani kapita bila kupingwa basi ni dhahiri Sheria zilitumika ipasavyo.

Kama Mgombea hakulidhika na mato0keo mbona mpaka leo hawakwenda Mahakamani maani Mahakama ndiyo inayotoa haki kama haki yako ilinyang'anywa basi Mahakama itarejesha haki yako.

Pia Wabunge wale 19 wa CHADEMA , Chama kiliwasilisha majina yao Tume kwa barua na Tume iliwathibitisha na kuwatangaza na wala Mkurugenzi wa Uchaguzi hajafanya kosa lolote.
Si lazima haki ipatikane mahakamani ndio maana mtuhumiwa namba moja yupo ahera anavuna alichopanda duniani.
 
Waliiba hao, na mawakala wa vyama vyetu wakawahonga ili washinde
Vyote hivyo ni haramu,kuiba kura na kuhonga/kuhongwa.Jiulize uhalali wa viongozi waliopatikana kwa jinsi hiyo?Ndiyo wale wanaomba kuwe na vyuo vya wizi.
Chama/Viongozi waliopatikana kwa wizi wa kura,kuvuruga taratibu za Sheria za Uchaguzi/kupiga bila kupingwa,waliohonga wapiga kura,wasimamizi wa kura nk wanakuwaje halali?
 
Back
Top Bottom