Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Kwa aliyo yafanya Magufuli alale mahali anapo stahili na kama ikiwezekana awe anapigwa viboko 10 asubuhi na 10 jioni kwa kipindi cha miaka 7.Huo ndio ukweli mchungu.
Kwa mfano wale wabunge 19 wasiofungamana na upande wowote ni lazima wamwamkie Dr Mahera popote wanapomwona tena kwa kupiga goti hata kama wanamzidi umri.
Hizo ndio gharama za kubwebwa ukishikwa makalio ili ukae vizuri mgingoni usianguke basi usipigipe makelele vinginevyo ungekaa kimya.
MaDED wote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano
Ramadhan Kareem
Humuwezi huyo mtoto wa hayati mkuu..Hujaelewa maswali yangu. Soma uelewe. Ukielewa wewe jibu kulingana na nilivyouliza
Ni bora kutokupiga kura tu kuliko kujitafutia dhambi
Labda km mlivyozoea vya kunyonga aka bila kupingwa lasivyo huku kwetu ht mjumbe wa nyumba kumi msingempata majizi ya kodi zetu nyieTukutane hapa 2025 tukijaaliwa uzima😂😂😂
Bwashee hii post yako inaonyesha umegeuza gia angani!Okey kuna ile elf 10 uliahidiwa kulipwa kama posho ya kuziba papaa la ofisi za chama naona haijatoka mpaka leo na ahadi ilikuwa itoke kabla ya tarehe 20/4/2021 jana umeuliza ukaambiwa mhasibu amesafiri, naona leo umeamka nao hata kazini hujaingia.
Labda km mlivyozoea vya kunyonga aka bila kupingwa lasivyo huku kwetu ht mjumbe wa nyumba kumi msingempata majizi ya kodi zetu nyie
Hawa watoto wa hayati naona akili zao zimeondoka na huyo hayati. Kama hivi kaondoka na akili zao sasa kawaachia nini?Humuwezi huyo mtoto wa hayati mkuu..
Sisiemu ni ileile tu iliyomnyonya baba Hadi anafia nyumba ya nyasi inajibadili rangi tuIkifika 2024 kadi yako ya chadema utaichoma moto mwenyewe
Na hii ID yako utaitelekeza na kuja kivingine
Hahahaaaa..... Makanyagio bwashee kwa DC Kasesela!Mwagito leo upo kilabu cha wapi? Cha Mlandege au?
Wabunge ni wa Chadema sasa unashangaa nini?Hujaelewa maswali yangu. Soma uelewe. Ukielewa wewe jibu kulingana na nilivyouliza
Chadema alikuwepo Halima Mdee bhana sasa yuko wapi?Ikifika 2024 kadi yako ya chadema utaichoma moto mwenyewe
Na hii ID yako utaitelekeza na kuja kivingine
Soma tena na ujibu kama nilivyouliza. Ukiona huelewi swali, acha kujibu maana majibu yako yasije kukutilia aibuWabunge ni wa Chadema sasa unashangaa nini?
Hahahaaaa...... Wewe Bawacha bure kabisa!Soma tena na ujibu kama nilivyouliza. Ukiona huelewi swali, acha kujibu maana majibu yako yasije kukutilia aibu
Ona sasa akili yako ilikokupeleka. Nilishaanza kuishuku akili yako mapema sana! Hivi tatizo lenu ni nini? Hivi kweli hamuwezi kabisa kuchanganua mambo? Nashindwa kabisa kuelewa tatizo la kiakili linalowakabili watu kama ninyi.Hahahaaaa...... Wewe Bawacha bure kabisa!
Chadema alikuwepo Halima Mdee bhana sasa yuko wapi?
🤦🏿♂️Kumbe MATAGA hatimaye mmekubali kuwa mliiba kura!
Ila kweli nchi ilipitia pagumu sana!
View attachment 1758953
Kwa hiyo kumbe CCM ililawiti uchaguzi!?Huo ndio ukweli mchungu.
Kwa mfano wale wabunge 19 wasiofungamana na upande wowote ni lazima wamwamkie Dr Mahera popote wanapomwona tena kwa kupiga goti hata kama wanamzidi umri.
Hizo ndio gharama za kubwebwa ukishikwa makalio ili ukae vizuri mgingoni usianguke basi usipigipe makelele vinginevyo ungekaa kimya.
MaDED wote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano
Ramadhan Kareem
Kabla ya kujiunga JF umeoga kichwani?Tume iliendesha Uchaguzi kwa kufuata Sheria za Uchaguzi na kama Mbunge au Diwani kapita bila kupingwa basi ni dhahiri Sheria zilitumika ipasavyo.
Kama Mgombea hakulidhika na mato0keo mbona mpaka leo hawakwenda Mahakamani maani Mahakama ndiyo inayotoa haki kama haki yako ilinyang'anywa basi Mahakama itarejesha haki yako.
Pia Wabunge wale 19 wa CHADEMA , Chama kiliwasilisha majina yao Tume kwa barua na Tume iliwathibitisha na kuwatangaza na wala Mkurugenzi wa Uchaguzi hajafanya kosa lolote.
Atakua kwa Semtema johnthebaptistMwagito leo upo kilabu cha wapi? Cha Mlandege au?