Kama mipakani COVID19 iko hivi, Tanzania yenyewe hali iko vipi?

Kama mipakani COVID19 iko hivi, Tanzania yenyewe hali iko vipi?

Karibu mtaani halafu baadae uje kupost ulichokiona,huku maisha bado yanaendlea kama kawaida ingawa taarifa za maambukizi hatuzipati lakini maisha ya kawaida yanaendelea mjini kazi kama akawaida ingawa wale watu wa utalii imekula kwetu.

wakikusikia walimu wa shule private au wenye kumbi za starehe na bar, hakika wanaweza kukula nyama.
 
Mkuu mtaani maisha ni Yale yale mtaani kwangu sijashudia mgonjwa wa corona

Ila nikiingia Twitter na jamii forum Ndio Chadema wanaeneza sana uwongo kuhusu corona
Binafsi mtaani kwangu kuko shwari ila kwenye mitandao kama ivi ndo nakutana na hali ya taariki ...... Lkn sio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kipi ambacho hujaelewa, wamefanikiwa ndio maan kasi ya mambukiz imepungua.
sasa wewe tupe data za TZ mko stage ipi?
The coming two weeks or three hakutakuwa na maambukizi mapya ndo stage tuliyopo, other datas zisikumbue coz is still processed bado hazijawa information, good news ...we have won this battle in our own way sio lazima tucopy and pest Kama wazungu... Good thing NIMR na dawa ya NIMRCAF ambayo ni immune booster in a form of food suppliment liquid inafanya vyema kwa wagonjwa waliotumia. Bado ya Covdol bado ya Madagascar

We na familia yako boost immune zenu kwa kula vyakula vyenye kuimarisha kinga mwili. Ondoa hofu kichwani, fanyakazi zako ongea na waliokata tamaa kwankuwapa moyo... Kama navyo fanya kwako I can sense unavyoogopa na huna njia zaidi ya uoga. Uondoe uoga utaona tulivyopiga hatua ambazo other countries are struggling to attain.
 
wakikusikia walimu wa shule private au wenye kumbi za starehe na bar, hakika wanaweza kukula nyama.
Nimejiongele tu kwa upande mmoja,ila kwa upande mwingine ni Mungu tu anajua,na hata wanasiasa hawaongelei hii ishu,hawaongelei ajira zinazopotea,hawaongelei watu waliopo majumbani sasa hivi bila ya kulipwa mishahara,hawaongei hivi vitu kabisa,hawafanyi mijadala,huu ni utopolo mkubwa kwa wale tunaowaona eti ni watetezi,shit zao.
 
Habari wakuu
Hali ya maambukizi ya corona hapa nchini kwa sasa haifahamiki zaidi ya sintofahamu tu huku watu wakiendelea kufanya shughuli zao kama kawaida

Watanzania tuko njia panda sasa tusielewe hali ya nchi hii kwa vita ya covid19 mpaka kujiuliza maswali kama hali ya mipaka ya nchi iko hivi, Tanzania yenyewe hali hali ikoje? I mean huko Dar es salaam, Dodoma, Mwanza, Arusha na kwingineko kwingi maambukizi yakoje

Kwa sasa tunashuhudia mipaka ikifungwa na nchi zote jirani kututenga Rwanda, Uganda, Kenya, Zambia zote zimetutenga kwa sababu watanzania tunasambaza corona katika nchi hizo

Tuendelee kujiuliza yaani dereva wa lori ambaye anafika bandari tu kupakia mzigo huku akiwa ajajichanganya sana huko mitaani anapata corona je wale kutwa wanapambana na usafiri wa daladala, mishe za kariakoo, dereva bodaboda watakuwa na hali gani?

Tanzania tuna hali gani ikiwa wasafiri wa malori tu wasio na mizunguko na mchanganyiko mkubwa wa watu wanaathirika vibaya dhidi ya corona?
Mpaka viongozi wanajichimbia nyie bado hamjaelewa tu ?
 
The coming two weeks or three hakutakuwa na maambukizi mapya ndo stage tuliyopo, other datas zisikumbue coz is still processed bado hazijawa information, good news ...we have won this battle in our own way sio lazima tucopy and pest Kama wazungu... Good thing NIMR na dawa ya NIMRCAF ambayo ni immune booster in a form of food suppliment liquid inafanya vyema kwa wagonjwa waliotumia. Bado ya Covdol bado ya Madagascar

We na familia yako boost immune zenu kwa kula vyakula vyenye kuimarisha kinga mwili. Ondoa hofu kichwani, fanyakazi zako ongea na waliokata tamaa kwankuwapa moyo... Kama navyo fanya kwako I can sense unavyoogopa na huna njia zaidi ya uoga. Uondoe uoga utaona tulivyopiga hatua ambazo other countries are struggling to attain.
IQ32
 
Mkuu mtaani maisha ni Yale yale mtaani kwangu sijashudia mgonjwa wa corona

Ila nikiingia Twitter na jamii forum Ndio Chadema wanaeneza sana uwongo kuhusu corona
Huwezi kushuhudia mtaani kwenu , sababu bado unafungwa nepi..
 
Kuna watu wanapata Corona lakini haiwauwi au kuwapa matatizo makubwa
Hivyo kuna uwezekano hawa madereva wakawa wamepata ugonjwa na kuusambaza kwa wengine
Lakini hili la madereva kupata Corona kwa wingi hivi inaleta mashaka na kujiuliza huko walikotoka kuna wangapi wagonjwa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Uwezekano ni kwamba walokwishaambukizwa ni wengi sana ila lwakuwa kinga zao za mwili zinafanya kazi ndipo idadi ya wanaougua haiwi kubwa, kama hao madereva wangekuwa wanaugua hakika wasingeshika usukani kuendesha gari tena umbali mrefu.

Kumbuka hali ya upimaji nchini haiko kwa kasi. Watu wa afya wanapaswa kufanya uchunguzi mpya dhidi ya huu ugonjwa kwani visa vya wabaosemekana kufa nao ni vya ghafla sana.

Jihadhari ugonjwa upo
Mkuu unauhakika gani idadi ya waonaugua sio kubwa? Hivi kunaupimaji Tz? Acha kuumauma maneno, people are dying. Au mnataka malaika aje apashe habar???
 
Back
Top Bottom