VPN USED2020OCTOBER28
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,505
- 674
likwelikwe janaki hahahahahribaha indo yohi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
likwelikwe janaki hahahahahribaha indo yohi,
zika likwelikwe ngunamwalikwelikwe janaki hahahahah
Unataka kusema ni uongo?Embu sikilizeni hawa wakenya
Jiulize, Rais wetu yuko wapi wiki ya tisa sasa? Tafakari ndugu!Mkuu mtaani maisha ni Yale yale mtaani kwangu sijashudia mgonjwa wa corona
Ila nikiingia Twitter na jamii forum Ndio Chadema wanaeneza sana uwongo kuhusu corona
Uwezekano ni kwamba walokwishaambukizwa ni wengi sana ila lwakuwa kinga zao za mwili zinafanya kazi ndipo idadi ya wanaougua haiwi kubwa, kama hao madereva wangekuwa wanaugua hakika wasingeshika usukani kuendesha gari tena umbali mrefu.
Kumbuka hali ya upimaji nchini haiko kwa kasi. Watu wa afya wanapaswa kufanya uchunguzi mpya dhidi ya huu ugonjwa kwani visa vya wabaosemekana kufa nao ni vya ghafla sana.
Jihadhari ugonjwa upo
niawanzata sealikotu nasa guamchaku yuhu tumzika likwelikwe ngunamwa
Upimaji upo Mimi ni mhanga nilikuwa suspect na nikapimwa.Mkuu unauhakika gani idadi ya waonaugua sio kubwa? Hivi kunaupimaji Tz? Acha kuumauma maneno, people are dying. Au mnataka malaika aje apashe habar???
Mkuu unauhakika gani idadi ya waonaugua sio kubwa? Hivi kunaupimaji Tz? Acha kuumauma maneno, people are dying. Au mnataka malaika aje apashe habar???
Ulimchagua kwani?niawanzata sealikotu nasa guamchaku yuhu tum
Hahaha huna hoja umebakiza vioja! Shida itikadi zimekuziba akili.IQ32
Kwa maana hiyo unamngoja Magu aje aku**mbee mkeo,ili ujikinge na Corona?Mkuu wa nchi keshatoroka, wasaidizi wake hawana maono...kwa ujumla hivi sasa ni kama gari linakwenda bila dereva.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew mjinga unataka wafe watu kwa corona, mtajifungia ndani na mtatoka tu
Najua mnaona wivu, Tanzania tunazidi kupeta tu ba na hilo li corona lenu tunalisikia kwenye tv tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona una bwaja bwaja kama demu, mbona hujasema mpaka fulani idadi ni hii, mpaka fulani idadi ni hii n.k .Habari Wakuu,
Hali ya maambukizi ya corona hapa nchini kwa sasa haifahamiki zaidi ya sintofahamu tu huku watu wakiendelea kufanya shughuli zao kama kawaida
Watanzania tuko njia panda sasa tusielewe hali ya nchi hii kwa vita ya covid19 mpaka kujiuliza maswali kama hali ya mipaka ya nchi iko hivi, Tanzania yenyewe hali hali ikoje? I mean huko Dar es salaam, Dodoma, Mwanza, Arusha na kwingineko kwingi maambukizi yakoje
Kwa sasa tunashuhudia mipaka ikifungwa na nchi zote jirani kututenga Rwanda, Uganda, Kenya, Zambia zote zimetutenga kwa sababu watanzania tunasambaza corona katika nchi hizo
Tuendelee kujiuliza yaani dereva wa lori ambaye anafika bandari tu kupakia mzigo huku akiwa ajajichanganya sana huko mitaani anapata corona je wale kutwa wanapambana na usafiri wa daladala, mishe za kariakoo, dereva bodaboda watakuwa na hali gani?
Tanzania tuna hali gani ikiwa wasafiri wa malori tu wasio na mizunguko na mchanganyiko mkubwa wa watu wanaathirika vibaya dhidi ya corona?
Sawa mke wa meko nimekuelewaMbona una bwaja bwaja kama demu, mbona hujasema mpaka fulani idadi ni hii, mpaka fulani idadi ni hii n.k .
Na hii ya mipaka kufungwa kawaulize wenye nchi zao idadi yao ipoje, Sasa kama jirani wana matatizo yao ndio tuyabebe??