Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Karibu mtaani halafu baadae uje kupost ulichokiona,huku maisha bado yanaendlea kama kawaida ingawa taarifa za maambukizi hatuzipati lakini maisha ya kawaida yanaendelea mjini kazi kama akawaida ingawa wale watu wa utalii imekula kwetu.
Binafsi mtaani kwangu kuko shwari ila kwenye mitandao kama ivi ndo nakutana na hali ya taariki ...... Lkn sioMkuu mtaani maisha ni Yale yale mtaani kwangu sijashudia mgonjwa wa corona
Ila nikiingia Twitter na jamii forum Ndio Chadema wanaeneza sana uwongo kuhusu corona
The coming two weeks or three hakutakuwa na maambukizi mapya ndo stage tuliyopo, other datas zisikumbue coz is still processed bado hazijawa information, good news ...we have won this battle in our own way sio lazima tucopy and pest Kama wazungu... Good thing NIMR na dawa ya NIMRCAF ambayo ni immune booster in a form of food suppliment liquid inafanya vyema kwa wagonjwa waliotumia. Bado ya Covdol bado ya Madagascarkipi ambacho hujaelewa, wamefanikiwa ndio maan kasi ya mambukiz imepungua.
sasa wewe tupe data za TZ mko stage ipi?
Nimejiongele tu kwa upande mmoja,ila kwa upande mwingine ni Mungu tu anajua,na hata wanasiasa hawaongelei hii ishu,hawaongelei ajira zinazopotea,hawaongelei watu waliopo majumbani sasa hivi bila ya kulipwa mishahara,hawaongei hivi vitu kabisa,hawafanyi mijadala,huu ni utopolo mkubwa kwa wale tunaowaona eti ni watetezi,shit zao.wakikusikia walimu wa shule private au wenye kumbi za starehe na bar, hakika wanaweza kukula nyama.
blaza utasubiri sana,na huo uajent wenu wa shetani mtabaki na kiu milele.Wewe ngoja makaburi ya halaiki yaanze ndio uongee lugha yente kueleweka
Sawablaza utasubiri sana,na huo uajent wenu wa shetani mtabaki na kiu milele.
Mpaka viongozi wanajichimbia nyie bado hamjaelewa tu ?Habari wakuu
Hali ya maambukizi ya corona hapa nchini kwa sasa haifahamiki zaidi ya sintofahamu tu huku watu wakiendelea kufanya shughuli zao kama kawaida
Watanzania tuko njia panda sasa tusielewe hali ya nchi hii kwa vita ya covid19 mpaka kujiuliza maswali kama hali ya mipaka ya nchi iko hivi, Tanzania yenyewe hali hali ikoje? I mean huko Dar es salaam, Dodoma, Mwanza, Arusha na kwingineko kwingi maambukizi yakoje
Kwa sasa tunashuhudia mipaka ikifungwa na nchi zote jirani kututenga Rwanda, Uganda, Kenya, Zambia zote zimetutenga kwa sababu watanzania tunasambaza corona katika nchi hizo
Tuendelee kujiuliza yaani dereva wa lori ambaye anafika bandari tu kupakia mzigo huku akiwa ajajichanganya sana huko mitaani anapata corona je wale kutwa wanapambana na usafiri wa daladala, mishe za kariakoo, dereva bodaboda watakuwa na hali gani?
Tanzania tuna hali gani ikiwa wasafiri wa malori tu wasio na mizunguko na mchanganyiko mkubwa wa watu wanaathirika vibaya dhidi ya corona?
viongozi wa chadema wamekimbia bunge.Mpaka viongozi wanajichimbia nyie bado hamjaelewa tu ?
yeye amekimbia kitu gani ?viongozi wa chadema wamekimbia bunge.
halafu wanamshangaa magu.
IQ32The coming two weeks or three hakutakuwa na maambukizi mapya ndo stage tuliyopo, other datas zisikumbue coz is still processed bado hazijawa information, good news ...we have won this battle in our own way sio lazima tucopy and pest Kama wazungu... Good thing NIMR na dawa ya NIMRCAF ambayo ni immune booster in a form of food suppliment liquid inafanya vyema kwa wagonjwa waliotumia. Bado ya Covdol bado ya Madagascar
We na familia yako boost immune zenu kwa kula vyakula vyenye kuimarisha kinga mwili. Ondoa hofu kichwani, fanyakazi zako ongea na waliokata tamaa kwankuwapa moyo... Kama navyo fanya kwako I can sense unavyoogopa na huna njia zaidi ya uoga. Uondoe uoga utaona tulivyopiga hatua ambazo other countries are struggling to attain.
Wapo aisee tena tumeshazika. Usichukulie powa Covid inauwaMkuu mtaani maisha ni Yale yale mtaani kwangu sijashudia mgonjwa wa corona
Ila nikiingia Twitter na jamii forum Ndio Chadema wanaeneza sana uwongo kuhusu corona
Tukazane kuomba,kujifukiza,na Dawa za Madagascar.Labda tupige ramli ili tujue hali ipo vipi. Cha muhimu jilinde na ulinde uwapendao kama unaweza jifungie ndani ingia jf.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kushuhudia mtaani kwenu , sababu bado unafungwa nepi..Mkuu mtaani maisha ni Yale yale mtaani kwangu sijashudia mgonjwa wa corona
Ila nikiingia Twitter na jamii forum Ndio Chadema wanaeneza sana uwongo kuhusu corona
Kwani hao wakenya wanaohamka hasubuhi na kwenda makazini mchana kutwa wanamkataba na Corona isiwapate kwa muda huo ?Mpaka viongozi wanajichimbia nyie bado hamjaelewa tu ?
Mkuu unauhakika gani idadi ya waonaugua sio kubwa? Hivi kunaupimaji Tz? Acha kuumauma maneno, people are dying. Au mnataka malaika aje apashe habar???Uwezekano ni kwamba walokwishaambukizwa ni wengi sana ila lwakuwa kinga zao za mwili zinafanya kazi ndipo idadi ya wanaougua haiwi kubwa, kama hao madereva wangekuwa wanaugua hakika wasingeshika usukani kuendesha gari tena umbali mrefu.
Kumbuka hali ya upimaji nchini haiko kwa kasi. Watu wa afya wanapaswa kufanya uchunguzi mpya dhidi ya huu ugonjwa kwani visa vya wabaosemekana kufa nao ni vya ghafla sana.
Jihadhari ugonjwa upo
ribaha indo yohi,mkulu amejichima mbochiiii