Kama mipakani COVID19 iko hivi, Tanzania yenyewe hali iko vipi?

Madereva wa masafa ni njia kuu ya kusambaza ugonjwa wowote ule... UKIMWI, Malaria, Covid-19, n.k
Wana hulka ya kuwa na watoto wadogo hadi wakubwa maeneo mbali mbali...!!
 
Mkuu mtaani maisha ni Yale yale mtaani kwangu sijashudia mgonjwa wa corona

Ila nikiingia Twitter na jamii forum Ndio Chadema wanaeneza sana uwongo kuhusu corona
Jiulize, Rais wetu yuko wapi wiki ya tisa sasa? Tafakari ndugu!
 
 
Mkuu unauhakika gani idadi ya waonaugua sio kubwa? Hivi kunaupimaji Tz? Acha kuumauma maneno, people are dying. Au mnataka malaika aje apashe habar???
Upimaji upo Mimi ni mhanga nilikuwa suspect na nikapimwa.
Kuhusu kuugua au kutougua taarifa za ugonjwa na dalili zinaelezwa daily.
Hakuna kuuma wala kutafuna hao wanaokufa daily wanafia mitaani nasi tunaishi mitaani, hizo maiti zinazozagaa mnaziona wenyewe tu? Achani ramli pata picha mitaani kwa ndugu na jamaa pia
 
Mkuu unauhakika gani idadi ya waonaugua sio kubwa? Hivi kunaupimaji Tz? Acha kuumauma maneno, people are dying. Au mnataka malaika aje apashe habar???

Kwani kuugua kunafichika mazee?
MTU mgonjwa anaweza toa Lori dar kuelekea Kenya? Mgonjwa kabisa?
Nazungumzia kuwa na maambukizi ni tofauto na kuwa mgonjwa.
Ulimsikia rc wa Kilimanjaro akisema amepima lakini hana hata dalili yu mgonjwa, unafuatilia reports za WHO kuwa MTU aweza kufa ghafla akiwa na maambukizi lakini haluonyesha ugonjwa.
Kwa mantiki hiyo, waloambukizwa waweza kuwa wengi ila wagonjwa kwa kuonesha dalili mpaka kufa si wengi na yamkini wengine wanapona bila kujijua kutokana na hali ya upimaji sio kubwa kwa RAIA lakini kiukweli maradhi mpaka kifo hakifichiki, kama kungekuwa na massive death tungeshuhudia bila kuhadithiwa..
 
Nahisi tumeipotezea
maana huko Tandika naendaga almost daily tunabanana tena sikuizi hata barakoa watu hawavai.. mbagala push za kugombea daladala zinazidi maradufu ni kama ugonjwa haupo vile.
Na mimi ni miongoni mwa ambao tumejitoa mhanga liwalo na liwe
 
Mbona una bwaja bwaja kama demu, mbona hujasema mpaka fulani idadi ni hii, mpaka fulani idadi ni hii n.k .
Na hii ya mipaka kufungwa kawaulize wenye nchi zao idadi yao ipoje, Sasa kama jirani wana matatizo yao ndio tuyabebe??
 
Mbona una bwaja bwaja kama demu, mbona hujasema mpaka fulani idadi ni hii, mpaka fulani idadi ni hii n.k .
Na hii ya mipaka kufungwa kawaulize wenye nchi zao idadi yao ipoje, Sasa kama jirani wana matatizo yao ndio tuyabebe??
Sawa mke wa meko nimekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…