Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Ndio wanachokofanya huko moshi, kuna sehemu ukitaka kujenga msikiti wakikubaini tu biashara imeishia hapo
Unataka kubalance story sehemu gani Moshi wanakataa kujenga misikiti?
Machame 98% ni christians lakini misikiti ipo c chini ya 4 na msikitini mwingine unajengwa nkweshoo,mbona hakuna hizo chokochoko za kubomoa misikiti?
Kinachowasumbua huvumilivu kwenu ni 0 ,na mkienda ugenini mnataka wenyeji waifate Imani yenu kilazima watake wasitake lakini watu wapo cool tu
 
Wavunje tu hata hapa mtaani Kuna kanisa linapiga sana kelele usiku kucha kila ikifika ijumaa had jumapili watu hatulali hili nitalivunja mwenyewe

Shubaaaastard
 

makanisa ya walokole ni kero. Yavunjwe tu​

 
Misikiti 5 tu wakati wakati Zenji Kuna makanisa yasiopungua 30

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Ruka ruka unavyojua ila fahamu Zanzibar kuwa na katiba yake na Tanganyika kutokuwa na katiba yake hakuipi Zanzibar upenyo wowote wa kujifanyia mambo Kinyume na Katiba ya Jamuhuri. Katiba ya Jamuhuri ni moja na hiyo ndio kuu (supreme) kwa sasa.
 
Nafikiri wanafanya tathmini kwa haya makanisa ya kilokole ya miujiza na unabii wa kuunga na superglue watoaji shuhuda wengi ni Waislamu, fanya tathmini kwa kwa Mwamposa

Niliandika tena kwenye uzi mwingine, hata sisi wakristo tuna ushamba huo kwenye ngome zetu wala tusikimbilie kulaumu waislam tu

Nimetoa mfano wa eneo nililozaliwa na kukulia, Kibosho Moshi, huko kujenga misikiti au kanisa lisilo RC ni mbinde, Vita yake utachemka maana inapigwa na padre, waumini, na serikali za mitaa ambao wote hao ni Wahafidhina RC.

Kumbe kama taifa Tunahitaji kustaarabika na kuishi kwa kuchukuliana na kuheshimiana.
Kuwe na mipaka na utaratibu wa uendeshaji ibada maana makanisa ya kilokole yamezidi kusumbua usiku kucha.
 
Ilipaswa ikae hivyo, wewe kweli ni GT halisi.
 
Ruka ruka unavyojua ila fahamu Zanzibar kuwa na katiba yake na Tanganyika kutokuwa na katiba yake hakuipi Zanzibar upenyo wowote wa kujifanyia mambo Kinyume na Katiba ya Jamuhuri. Katiba ya Jamuhuri ni moja na hiyo ndio kuu (supreme) kwa sasa.
Mbumbumbu kumbe nimepoteza muda wangu bado hujaelimika.
 
Ndio maana lukuvi alisema waislamu ni magaidi ndio maana tanganyika inaidhibiti zanzibar
 
...na wewe ukaubali kushushwa kwenye gari kwa sababu hiyo..?
 
Sio hamtaki kupotoshwa ila mnataka nyie na watoto na vizazi vyenu visiione pepo kwa mafundisho ya uongo na ya chuki..... Eti ukijilipua unaenda peponi huyo allah wenu bana aisee....
 
....ni Wajingaz. Period.
 
Hilo kanisa la kihistoria ni kivutio kikubwa cha utalii na linahifadhi historia muhimu ya Zanzibar hivyo huwezi kulibomoa labda uwe na matatizo ya akili.
Kwa sasa hivi ndio haiwezekani... Lakini wangeamua kufanya hivyo baada ya mapinduzi wangeweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…