Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Naam walifanya vizur hawatak madhalimu huko wanalinda maadili
 
Sahii kabisa,
Seema bado znzbr wanalindwa na katiba Yao yenye vipengele kadhaa vinavyowalimit wabara kuloea uko znzbar.

Mf: Sheria ya ardhi, Sheria ya majengo..

Ambapo ukiwa mbara uruhusiwi kuuziwa eneo znzbar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Happy nmekuelewa mkuu[emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kwamba wakiujua ukweli wataacha imani
Ukwel gan wa mungu kuuwawa na watu wake msalaban na ilhal muda huohuo anamuomba mungu amnusuru

Ukwel mnapaswa muujue ninyi ambao mungu wenu aliuwawa msalaban akafufuka ndan ya sik tatu na hujiuliz ixo siku tatu nan alikuwa anaendesha dunia
 
kukosa Uvumilivu wa kidini Ni pamoja na kelele za hayo makanisa Yao, miziki full-time full sound.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Vatican ndani ya italy inatofauti gani na Zanzibar ndani ya Tanzania?

Ni Yale Yale TU.
Zanzibar sio nchi kwa mujibu wa Sheria za Umoja wa mataifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona huyo jamaa aliyejenga kanisa hapo hakufanya sawa. Kwasababu asilimia 98 ya wazanzibar ni waislam. Ni hatari hata kwa maisha yake japo gharama ya ukristo ni zaidi ya uhai na mali. Kuna vitu vingine unatumia tu common sense na kupotezea.
Sasa injili itaenezwaje kama tutaogopa kujenga makanisa miongoni mwa jamii za kiislamu?Kwanza nadhani hapa ndo haswa panapohitaji kanisa kuliko huko kwengine ambapo yapo mengi.
 
Ukitaka tufanye generalization Kilimanjaro ina misikiti mingi mara 5 zaidi ya hiyo Zanzibar.
Ni sawa lakini Kilimanjaro inamjumuiko mkubwa kwa hiyo kuwepo misikiti mingi sio jambo la kustaajabisha.
Tulikuwa tunazungumzia ukubwa wa eneo, idadi ya wenyeji na Imani zao na idadi ya nyumba za ibada za upande wa pili.
 
Kwaio Makubaliano hayazingatiwi? inaonesha hujawahi kumiliki Ardhi ww
 
Wawaache wa-waste hizo resource si za kwaoo kwani wameomba mchango?Jibu ni jepesi and its clear They can'tstand the name of Jesus.Kuna ushetani mwingi sana hivyo Jina La Yesu linapotajwa kuna watu wanaathirika na mambo yao hivyo watatafuta kila excuse ya kuzuia injili isienee.
 
Huwezi ukauma sehemu moja ukaacha nyingine....

In this day and age ya soundproof na kila mtu kujua saa ya kuabudu hakuna ulazima wa kuwekeana speaker ambazo wengine zinawakera..., Bila hivyo tunapoelekea kwa mwendo wa kumwaga mboga mwingine anamwaga ugali (hivi vita vya wenye Imani zao) zitawakumba hata wasio na Imani..., Hence ni kukosa ustaarabu (jambo ambalo sidhani kama ni objective za imani yoyote)
 
Majority ni Waislam lakini wakristu pia wapo.Haki za minority ziheshimiwe unless ingekuwa declared ni nchi inayoongozwa kwa sharia.
Zanzibar tuna jamaa zetu wakristu wengi tu wanakaa huko kwa hiyo hiyo notion ya kuwa ni nchi ya waislamu tupa kule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…