Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Kuna umu

Kuna umuhimu kufuata sheria na utamaduni katika kujenga Nyumba za ibada. Serikali ya Zanzibar inafanya vizuri kuthibiti ujengaji holela wa makanisa kama ilivyo sasa hivi huko bara!! Watu wanageuza makazi yao kuwa nyumba za ibada na hivyo kuwa kero kwa Majirani yote hiyo kwa kisingizio cha kuabudu. Kuabudu bila nidhamu na mpangilio inakuwa ni fujo!! Zanzibar msiruhusu huo utitili kwani mmejionea kero zinazopatikana na haya makanisa. Uzoefu pia umeonesha kuwa haya makanisa yamekuwa biashara na mengine hujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.
Wanatumiwa na watu wengi kutakatisha fedha, pia ni sehemu za kuuza drugs
 
Hili Swala inabidi tuliendee bila kutumia hisia,nani hajui KERO ya makanisa ya kilokole yaliyotapakaa kila Kona ya nchi hii,kwa wakazi wa Dar,pale kawe Kuna makanisa kila Kona,yamefunga maspika makubwa,yaani yakiachia mziki mpaka mtaa wa saba masikio yanauma,Hawa wachungaji wa jasiliamali wao ni kuanzisha Kanisa kila Kona na mziki usiokoma.

Adhana ya waislam hai haichukui hata nusu saa,wakati ibada za kilokole ni siku nzima kuanzia saa sita na kuendelea.yule taperi mfalme zumaridi aliyekamatwa mwanza ni kwa sababu ya KERO,angekuwa amekamatwa Zenj,ingekuwa story nyingine.

Kwa Zenj,na nchi nyingi zenye wakristo kama minority group,kuwa na Kanisa au kuabudu kwa uhuru ni shida kidogo,hili serikali inabidi iliweke vzr.sasa kuhusu hilo Kanisa huko Zenj,lilijengwa kwa vibali?au ndio kama huku Bongo,yanaanzishwa kama uyoga Ili kupiga sadaka
Huna hoja. Mbona wazanzibar wamejaa huku Bara na kila mtaa spika na msikiti ? Huo ni udini uliopitiliza
 
Mimi naona huyo jamaa aliyejenga kanisa hapo hakufanya sawa. Kwasababu asilimia 98 ya wazanzibar ni waislam. Ni hatari hata kwa maisha yake japo gharama ya ukristo ni zaidi ya uhai na mali. Kuna vitu vingine unatumia tu common sense na kupotezea.
Mhhhh. Hakuna kitu hapo, injili lazima ihubiriwe kwa kila kiumbe
 
Ninakumbuka yule aliykanyaga quruan Kilosa alishughulikiwa haraka sana. Ila kubomolewa kwa kanisa si tatizo.

Makanisa yanapiga kelele ila yale mavipasa sauti ya msikitini siyo tatizo.

Iko siku kisasi kitalipwa.
Tumeshajua udini sasa unapaliliwa. Wasipokuwa makini nchi itatumbukia kwenye dhahama
 
Mtoa mada,
Unapaswa ujue kua zanzibar Wana katiba yao.

Na katiba Yao haina mahali pamendikwa habar za makanisa, parokia, shemasi Wala askofu.

Katiba Yao iko Islamic based,
Kwaiyo unaponukuu vifungu vya katiba yao, usiifananishe na ya huku bara.

Sent using Jamii Forums mobile app
We andazi kweli wewe, ni ibara gani ya katiba ya zanzibar ya 2010 iliyotaja kuwa ni nchi ya kiislam? Tatizo hata hiyo katiba hujawahi hata kuishika unabwabwaja tuu
 
Huu.muungano mnaulazimishs TU wabara, wazanzibari hata hawautaki.

Changamoto zake ndo hizi hizi za kuwaalibia ustaarabu na utamaduni wao.

Unalalamika wamekalia itikadi za kiarabu, ila unasahau kwamba kiarabu na uislamu Ni samaki na maji

Sent using Jamii Forums mobile app
Muungano hauusiki na dini. Ukristu umekuwepo zanzibar miaka mingi kabla ya muungano. Kanisa la minara miwili na kanisa la anglicana ambalo judge Agustino Ramadhani alikuwa mpiga kinanda ni mfano wa uwepo wa ukristu kabla ya muungano. Hivyo kusema kuwa ukristu ni kero ya Muungano ni kuuzingizia hizo ni personal whims za watu wa vizazi vya sasa tu
 
Kwakweli waislam hawatakagi amani.. angalia mataifa ya kiislam zaidi ya asilimia 80 ni fujo tupu
Mataifa ya Kiislamu au yanayoishi Waislamu wengi?
Kwasababu maifa ya Kiislamu ninayajua mie ni IRAN, PAKISTAN, SAUDI ARABIA, COMMORO na hakuna fujo zozote huko.
Hizo nchi unazotaka kuzifanya kama rejea zina wakaazi wengi Waislamu tu lakini si nchi za Kiislamu, halafu jiulize fujo hizo zili na zinachochewa na nani?

Na hiyo 80% umeipata wapi? Chuki za aina yoyote zisitufanye kuandika kama kuku aliekatwa kichwa.
 
Uislamu si utamaduni wa Zanzibar, uislamu umeletwa Kama vile ukristo unavyoendelea kupelekwa kwa wazanzibari. Mtoa mada ni mtu asiyependa wakristo, wewe huwezi kutukana Imani za watu kwa favor ya Imani yako. Kama hutaki wazanzibari waokoke ni wewe. Kila mtu anahaki yakuabudu atakacho, hizo fikra zakulazimisha watu kumswalia Moddy ni ufinyu wa fikra. Acha watu watafute Mungu wao, iwe kwa hornspika za msikitini au spika za makanisani acheni watu wapaze sauti wamuite Mungu wao. Kama hutaki nenda kwenye dunia yako peke yako
 
Kwanini hawakufanya hivyo kipindi Cha Magufuli? Tunapaswa kuanzia hapo.Hawa wazanzibari ni vichokoo sana.
 
Aliekwambia serekali haina dini nani ? Zanzibar wakaazi wake wa kiislamu lakini skuli zinafuata kalenda ya kikristo na wala hawajalalmika miaka yote wakati wao ndio majority.

Tumeondoshewa lugha ya kiarabu ambayo inaendana na uislamu sasa imekuwa kiengereza ili watu wafahamu biblia vizuri. Bado waislamu wa Zanzibar wamekaa kimya.

Mie nadhani huo uvumilivu unaotaka wewe utakuwa labda ni woga. Serekali lazima ina dini kwa maana serekali ni watu. Na watu wote wana dini zao!

Wacha wakristo wajaze hayo makanisa walioyo nayo kwanza kabla hawajajenga mengine!

Maasalaam,
Hii Nchi inafuta katiba si hisia zako za kiislamu. Heshimu katiba,acha mawazo potofu.
 
Aliyewaambia wazanzibari wanahitaji makanisa ni nani?

Wazanzibar 99% ni waislamu hata hiyo misikiti iliyopo sasa haitoshi..

Hivyo anayehitaji kujenga nyumba ya ibada Zenji ajenge Msikiti ili kuCover mahitaji sahihi.

Unajenga kanisa la Tsh mil 100 halafu waumini wawili hiyo ni wastage of resources..

Eboo..!
Nyie dawa yenu inachemka.Hujui kuwa tunawatawala .
 
Kuna umu

Kuna umuhimu kufuata sheria na utamaduni katika kujenga Nyumba za ibada. Serikali ya Zanzibar inafanya vizuri kuthibiti ujengaji holela wa makanisa kama ilivyo sasa hivi huko bara!! Watu wanageuza makazi yao kuwa nyumba za ibada na hivyo kuwa kero kwa Majirani yote hiyo kwa kisingizio cha kuabudu. Kuabudu bila nidhamu na mpangilio inakuwa ni fujo!! Zanzibar msiruhusu huo utitili kwani mmejionea kero zinazopatikana na haya makanisa. Uzoefu pia umeonesha kuwa haya makanisa yamekuwa biashara na mengine hujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.
Wanathibiti makanisa ila misikiti inajengwa kila uchochoro hapo unaona sawa? Kwenu kanisa mnaona kama nini kwa mfano ni threat kwenu?
 
Kuna umu

Kuna umuhimu kufuata sheria na utamaduni katika kujenga Nyumba za ibada. Serikali ya Zanzibar inafanya vizuri kuthibiti ujengaji holela wa makanisa kama ilivyo sasa hivi huko bara!! Watu wanageuza makazi yao kuwa nyumba za ibada na hivyo kuwa kero kwa Majirani yote hiyo kwa kisingizio cha kuabudu. Kuabudu bila nidhamu na mpangilio inakuwa ni fujo!! Zanzibar msiruhusu huo utitili kwani mmejionea kero zinazopatikana na haya makanisa. Uzoefu pia umeonesha kuwa haya makanisa yamekuwa biashara na mengine hujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.
Unaposema kero kwenye makanisa na misikiti inayojengwa kama utitiri je haileti kero?
 
Ndio ni wavamiz, kwan ikiwa wenyeji wote ni islam kwnn muwaazimishe kuwapelekea kanisa? Waangalie maeneo ambayo yatakuwa na wafuasi wao wa kikristu ndo wakajenge huko
Wanaohitaji Daktari ni Wagonjwa.Huko ambako hakuna KANISA ndo hasa panatakiwa kujengwa kanisa.
 
Sema zaidi ya tupa kule au tupa wapi utakapo, at the end of the day hii ni nchi yetu na tutaamua sisi wapi makanisa na mabar yatajengwa na wapi hayatajengwa. Pigeni kelele mpaka majogoo warudi nyumbani hatubadili msimamo!
Hatushangai kupigwa Vita na Dini yenu kwa sababu Shetani hawezi kukaa karibu na Jina la Yesu linapohubiriwa. Tusingepigwa vita tungeshangaa.Lakini pamoja na vikwazo vyote neno litahubiriwa tu na watu wataokoka.Duniani tumeshuhudia watu magegedu kweli na wakaelewa nyie Wanzazibar hata level hiyo ya Ubandidu hamjafika.
 
Mataifa ya Kiislamu au yanayoishi Waislamu wengi?
Kwasababu maifa ya Kiislamu ninayajua mie ni IRAN, PAKISTAN, SAUDI ARABIA, COMMORO na hakuna fujo zozote huko.
Hizo nchi unazotaka kuzifanya kama rejea zina wakaazi wengi Waislamu tu lakini si nchi za Kiislamu, halafu jiulize fujo hizo zili na zinachochewa na nani?

Na hiyo 80% umeipata wapi? Chuki za aina yoyote zisitufanye kuandika kama kuku aliekatwa kichwa.
Lakini kwenye kutaja mataifa ya kiislamu kama umeedit hivi bro maana yako mengi na wanachnjana kweli sio utani.
 
Back
Top Bottom