Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Amechanganyikiwa baada ya kudhulumiwa my wife wake, mpe pole na vizuri tumfariji.Kulikon mkuu, saa kumi za usiku sasa hivi, uko kitandani unawaza vitu viwili
1. Idara pendwa
2. Pisi kali ya mtu kuliwa
Mkuu maisha mepesi sana if you take it easy, na maisha ni magumu sana if you realy complicate it
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole, mwachishe kazi huko ukizubaa watamchukua kijumla.Kumbuka pia wanataaluma ya kutunza Siri zote kuanzia embargo mpaka Siri kuu hivyo shemela atagegedwa na wala hutajua milele. Wana zingatia ;
S isemi
I isipokuwa
R uhusa
I kitolewa
Mambo yapo kinyume nyume we ukimtomba mke wa mtu na wako mtaani hachomoki lazima atombwe so ni yale yale tuWale vijana kwenye ile idara kwanza ni wapole na sio wazungumzaji Sana Ila vikao vyote top vya DC au DED wanakuwepo. Na huwa hawaongei Sana ni wakimya Ila wenye nguvu za kimamlaka hatar.
Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.
Hayo ndio maisha.
Maisha ndivyo yalivyo. Muombe Mungu akupe mwanamke mwenye hekima kwani hutakuwa naye 24/7 .Wale vijana kwenye ile idara kwanza ni wapole na sio wazungumzaji Sana Ila vikao vyote top vya DC au DED wanakuwepo. Na huwa hawaongei Sana ni wakimya Ila wenye nguvu za kimamlaka hatar.
Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.
Hayo ndio maisha.
Nipatie namba yakeWenzetu mnaoaga wanawake wa wapi? Sina mke ila Nina MPENZI. Nina muamini zaidi ya 100% na ni kisu cha haja with brain.
Naweza kua nae mbali miez hata miwili na hana tatizo na sijawahi ona dalili wala matendo ya uhuni. Kifup ni Mwanamke na Nusu.
Kwa anaebisha mimi najitolea kumpa namba ajaribu aone nachosema. Kifupi ni kisu na nusu
Nimekuja
Mkuu ni wa jamaa ama wa kwako?Demu wa jamaa analiwa mbususu naumia Sana.
Tena tatizo linaanzia kwenye recruitment. Undugunaizesheni na nepotismHizo sifa aliondoka nazo Nyerere, na zingine zilizobaki akaondoka nazo Mwinyi. Mkapa alipobinafsisha nchi, akabinafsisha na maadili ya kila idara!!
Sio wote, kwa pande zote mbiliWale vijana kwenye ile idara kwanza ni wapole na sio wazungumzaji Sana Ila vikao vyote top vya DC au DED wanakuwepo. Na huwa hawaongei Sana ni wakimya Ila wenye nguvu za kimamlaka hatar.
Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.
Hayo ndio maisha.