Kama mlikuwa hamlijui hili kuhusu Marumo Gallants FC basi leo mlijue

Kama mlikuwa hamlijui hili kuhusu Marumo Gallants FC basi leo mlijue

WANANCHIIIIIII LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUONESHA ULIMWENGU KWAMBA YANGA INA UKUBWA KIASI GANI.MAKOLO
WAMEJARIBU KUIKUZA MARUMO...
Idadi ya Wendawazimu inazidi tu Kuongezeka.
 
1. Kwao huwa hawafungiki na Wageni

2. Kwao hucheza kwa Spidi ya Kutukuka na isiyoelezeka

3. Uwanja wao wa Nyumbani ni mkubwa na mpana kuliko mbovu wa Jangwani na wa Watalii wa Kigamboni

4. Wakiwa Kwao wana Fitna za Kisayansi.

5. Usithubutu Kuwaroga kwani licha ya Wao Kuujua huo Uchawi ila hata nchi yao ina Chuo Kikuu cha Uchawi ( Sangoma ) kinachotoa Degree na GENTAMYCINE niko njiani kwenda Kujiunga nacho ili Niwaroge Maadui zangu wote hapa JamiiForums

6. Mishahara ya Wachezaji wao tu inaweza Kuinunua Klabu moja Kubwa nchini Tanzania yenye Mdhamini Muuza Magodoro ya Kuumiza Mgongo na Mbavu

7. Leo watacheza Mpira mwingi na mkubwa zaidi ya ule Walioucheza Juzi na Mabingwa Mamelodi Sundowns ambao unaweza Kusababisha Maafa makubwa na Watu wakapoteana kwa Mkapa.

Kila la Kheri Marumo Gallants FC leo.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
1.wale rivers nadhani walifungwa na yanga tu home kwao msimu huu

2.spidi huwa haisaidii kwa timu yenye kutandaza soka chini kama yanga,barca na man city

3.kwa yanga wanavyopenda kupiga pasi kama timu za pep guardiola uwanja wao mpana utawapa shida wenyewe dhidi ya yanga

4.kwa sasa yanga wana hela fitna kwa mtu mwenye hela ni kujisumbua si ajabu gsm wakakodi hoteli nzima kule south kwa ajili ya yanga tu ili tukibake marumo home and away

5.yanga washatoka huko kwenye mambo ya ulozi ndo maana wanapiga mpira mwingi sana siku hizi iwe nyumbani au ugenini

6.kwa bahati mbaya mishahara haichezi mpira ndo maana wanashuka daraja

7.tunatarajia kuwaona wakitumia nguvu nyingi kwenye hii nusu fainali dhidi kwani hawana cha kupoteza,wao ni underdog ndo maana kwenye betting ana odds 8+

kila la heri yanga katika kuliwakilisha taifa

ANGALIZO

asije mtu kupigwa 5 mkasema timu yenyewe kibonde kwenye ligi yao inashuka daraja,tutawabaka kwasababu kiume chenu kishakufa hakuna namna nyinyi ni wa kubakwa nyuma tu.
 
You forgot to tell us, I don't know if it is by design or default their current position in their premier league. For your information, Dar es Salaam Young Africans are at the helm of the premier league.
LEARN TO RESPECT YOUR ELDERS YOUNG MAN.
Nitakutafuta jioni tupate beer mbili mbili huku tukifurahia magoli mengi ya Yanga.
Sinywi Bia na siyo Mlevi wa Pombe labda uniambie utanitafuta hiyo Jioni ili Nikubandue vyema Nyabenga lako hilo.
 
Nikiwa Rais wa Tanzania nitakuwa ni zaidi ya Hayati Magufuli na mtaanyooka na Tanzania itaheshimika kuliko inavyodharaulika sasa.
Vyovyote iwavyo, muhimu unipe nafasi ya kulamba asali kama Injinia Mfugale au Kijazi enzi za JPM 😁

Kila la kheri our next President to be 🙌
 
6. Mishahara ya Wachezaji wao tu inaweza Kuinunua Klabu moja Kubwa nchini Tanzania yenye Mdhamini Muuza Magodoro ya Kuumiza Mgongo na Mbavu
 
1. Kwao huwa hawafungiki na Wageni

2. Kwao hucheza kwa Spidi ya Kutukuka na isiyoelezeka

3. Uwanja wao wa Nyumbani ni mkubwa na mpana kuliko mbovu wa Jangwani na wa Watalii wa Kigamboni

4. Wakiwa Kwao wana Fitna za Kisayansi.

5. Usithubutu Kuwaroga kwani licha ya Wao Kuujua huo Uchawi ila hata nchi yao ina Chuo Kikuu cha Uchawi ( Sangoma ) kinachotoa Degree na GENTAMYCINE niko njiani kwenda Kujiunga nacho ili Niwaroge Maadui zangu wote hapa JamiiForums

6. Mishahara ya Wachezaji wao tu inaweza Kuinunua Klabu moja Kubwa nchini Tanzania yenye Mdhamini Muuza Magodoro ya Kuumiza Mgongo na Mbavu

7. Leo watacheza Mpira mwingi na mkubwa zaidi ya ule Walioucheza Juzi na Mabingwa Mamelodi Sundowns ambao unaweza Kusababisha Maafa makubwa na Watu wakapoteana kwa Mkapa.

Kila la Kheri Marumo Gallants FC leo.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
watakucheka kwa hiki ulichokiandika ila kuna hatari Yanga akabumundwa vibaya sana leo..
 
watakucheka kwa hiki ulichokiandika ila kuna hatari Yanga akabumundwa vibaya sana leo..
Hili la Kufungwa vibaya leo Dar es Salaam Tanzania na South Africa Wiki ijayo tarehe 17 Mei, 2023 nililiona Kitambo sana.
 
First time ever semi finalist.
Ila Yanga kwa kuweka rekodi utawapenda tu.
Tangu uwanja ufunguliwe 2007.
Wizara ya Afya na ile ya Makundi Maalum chini ya Waziri Dkt. Gwajima D mnajua kuwa idadi ya Wendawazimu inazidi tu Kuongezeka nchini Tanzania?
 
Back
Top Bottom