GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Kafie mbele huko Mnafiki, Mpumbavu na Kisolokwinyo Muwashwaji Wewe sawa?Popoma vip
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafie mbele huko Mnafiki, Mpumbavu na Kisolokwinyo Muwashwaji Wewe sawa?Popoma vip
Kama Mamaako.Mtu mfupi mwenye kitambi hawezi kuwa na akili
Idadi ya Wendawazimu inazidi tu Kuongezeka.WANANCHIIIIIII LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUONESHA ULIMWENGU KWAMBA YANGA INA UKUBWA KIASI GANI.MAKOLO
WAMEJARIBU KUIKUZA MARUMO...
Kama aliyonayo aliyekuleta duniani.Yanga ni dawa kwa wale wote wenye magonjwa ya akili
1.wale rivers nadhani walifungwa na yanga tu home kwao msimu huu1. Kwao huwa hawafungiki na Wageni
2. Kwao hucheza kwa Spidi ya Kutukuka na isiyoelezeka
3. Uwanja wao wa Nyumbani ni mkubwa na mpana kuliko mbovu wa Jangwani na wa Watalii wa Kigamboni
4. Wakiwa Kwao wana Fitna za Kisayansi.
5. Usithubutu Kuwaroga kwani licha ya Wao Kuujua huo Uchawi ila hata nchi yao ina Chuo Kikuu cha Uchawi ( Sangoma ) kinachotoa Degree na GENTAMYCINE niko njiani kwenda Kujiunga nacho ili Niwaroge Maadui zangu wote hapa JamiiForums
6. Mishahara ya Wachezaji wao tu inaweza Kuinunua Klabu moja Kubwa nchini Tanzania yenye Mdhamini Muuza Magodoro ya Kuumiza Mgongo na Mbavu
7. Leo watacheza Mpira mwingi na mkubwa zaidi ya ule Walioucheza Juzi na Mabingwa Mamelodi Sundowns ambao unaweza Kusababisha Maafa makubwa na Watu wakapoteana kwa Mkapa.
Kila la Kheri Marumo Gallants FC leo.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.
Nimemaliza.
Jiwe gizaniKama aliyonayo aliyekuleta duniani.
Lililokuingia vyema Unyabengani Kwako.Jiwe gizani
Sinywi Bia na siyo Mlevi wa Pombe labda uniambie utanitafuta hiyo Jioni ili Nikubandue vyema Nyabenga lako hilo.You forgot to tell us, I don't know if it is by design or default their current position in their premier league. For your information, Dar es Salaam Young Africans are at the helm of the premier league.
LEARN TO RESPECT YOUR ELDERS YOUNG MAN.
Nitakutafuta jioni tupate beer mbili mbili huku tukifurahia magoli mengi ya Yanga.
Vyovyote iwavyo, muhimu unipe nafasi ya kulamba asali kama Injinia Mfugale au Kijazi enzi za JPM 😁Nikiwa Rais wa Tanzania nitakuwa ni zaidi ya Hayati Magufuli na mtaanyooka na Tanzania itaheshimika kuliko inavyodharaulika sasa.
watakucheka kwa hiki ulichokiandika ila kuna hatari Yanga akabumundwa vibaya sana leo..1. Kwao huwa hawafungiki na Wageni
2. Kwao hucheza kwa Spidi ya Kutukuka na isiyoelezeka
3. Uwanja wao wa Nyumbani ni mkubwa na mpana kuliko mbovu wa Jangwani na wa Watalii wa Kigamboni
4. Wakiwa Kwao wana Fitna za Kisayansi.
5. Usithubutu Kuwaroga kwani licha ya Wao Kuujua huo Uchawi ila hata nchi yao ina Chuo Kikuu cha Uchawi ( Sangoma ) kinachotoa Degree na GENTAMYCINE niko njiani kwenda Kujiunga nacho ili Niwaroge Maadui zangu wote hapa JamiiForums
6. Mishahara ya Wachezaji wao tu inaweza Kuinunua Klabu moja Kubwa nchini Tanzania yenye Mdhamini Muuza Magodoro ya Kuumiza Mgongo na Mbavu
7. Leo watacheza Mpira mwingi na mkubwa zaidi ya ule Walioucheza Juzi na Mabingwa Mamelodi Sundowns ambao unaweza Kusababisha Maafa makubwa na Watu wakapoteana kwa Mkapa.
Kila la Kheri Marumo Gallants FC leo.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.
Nimemaliza.
Hili la Kufungwa vibaya leo Dar es Salaam Tanzania na South Africa Wiki ijayo tarehe 17 Mei, 2023 nililiona Kitambo sana.watakucheka kwa hiki ulichokiandika ila kuna hatari Yanga akabumundwa vibaya sana leo..
Wakuria siku hizi mnalialia bila hata kupigwa utadhani wasimbe mkiongozwa na Waitara mtaweza kitu gani.Sinywi Bia na siyo Mlevi wa Pombe labda uniambie utanitafuta hiyo Jioni ili Nikubandue vyema Nyabenga lako hilo.
Wizara ya Afya na ile ya Makundi Maalum chini ya Waziri Dkt. Gwajima D mnajua kuwa idadi ya Wendawazimu inazidi tu Kuongezeka nchini Tanzania?First time ever semi finalist.
Ila Yanga kwa kuweka rekodi utawapenda tu.
Tangu uwanja ufunguliwe 2007.
Utakula ban hakawii kulalamikia mods ha haKuna thread nliona mtu anasema Genta ni mtu mwenye kitambi na mfupi, Kuna uhusiano wowote Kati ya akili na muonekane wa mwili
Uzi wako ungekuwa mzuri na wa maana angeuona na Kuusoma ila kwakuwa ni Pumba tupu hajauona na Brainiac kama Mimi GENTAMYCINE ndiyo kabisaaaaa sijauona na sihitaji pia hata Kuuona.SoC03 - Mfumo wetu wa elimu ndo kilio chetu mkuu naomba pitia uzi wangu naomba na kura yako
Kura ya Genius ( Brainiac ) GENTAMYCINE huwa haiendi kwa a Liar, a Hypocrite and a Dimwit wa aina yoyote yule hapa JamiiForums na Kwingineko.SoC03 - Mfumo wetu wa elimu ndo kilio chetu please boss naomba kura yako