Kama mlikuwa hamlijui hili kuhusu Marumo Gallants FC basi leo mlijue

Kama mlikuwa hamlijui hili kuhusu Marumo Gallants FC basi leo mlijue

1. Kwao huwa hawafungiki na Wageni

2. Kwao hucheza kwa Spidi ya Kutukuka na isiyoelezeka

3. Uwanja wao wa Nyumbani ni mkubwa na mpana kuliko mbovu wa Jangwani na wa Watalii wa Kigamboni

4. Wakiwa Kwao wana Fitna za Kisayansi.

5. Usithubutu Kuwaroga kwani licha ya Wao Kuujua huo Uchawi ila hata nchi yao ina Chuo Kikuu cha Uchawi ( Sangoma ) kinachotoa Degree na GENTAMYCINE niko njiani kwenda Kujiunga nacho ili Niwaroge Maadui zangu wote hapa JamiiForums

6. Mishahara ya Wachezaji wao tu inaweza Kuinunua Klabu moja Kubwa nchini Tanzania yenye Mdhamini Muuza Magodoro ya Kuumiza Mgongo na Mbavu

7. Leo watacheza Mpira mwingi na mkubwa zaidi ya ule Walioucheza Juzi na Mabingwa Mamelodi Sundowns ambao unaweza Kusababisha Maafa makubwa na Watu wakapoteana kwa Mkapa.

Kila la Kheri Marumo Gallants FC leo.

ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake/ Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Yani wewe ni bonge la boya Acha kushinda karume na kunywa kahawa siku nzima
 
Huyu hapa Ila tambo zake sasa

View attachment 2616405
Hawa jamaa wafupi, wako watatu na wote ni watoto wa familia moja.

Huyo kwenye picha kwa jina ni Cotelf, mwingine Shedrack na mwingine jina limenitoka.

Tumesoma nao shule moja ya msingi Arusha. Shule ilikuwa inaitwa Nambala Primary School? ila siku hizi imebadilishwa jina inaitwa Tengeru Primary School.

Nimekumbuka mbali sana kumuona huyo jamaa. Bahati mbaya leo kawa CCM(amepotea).
 
1. Kwao huwa hawafungiki na Wageni

2. Kwao hucheza kwa Spidi ya Kutukuka na isiyoelezeka

3. Uwanja wao wa Nyumbani ni mkubwa na mpana kuliko mbovu wa Jangwani na wa Watalii wa Kigamboni

4. Wakiwa Kwao wana Fitna za Kisayansi.

5. Usithubutu Kuwaroga kwani licha ya Wao Kuujua huo Uchawi ila hata nchi yao ina Chuo Kikuu cha Uchawi ( Sangoma ) kinachotoa Degree na GENTAMYCINE niko njiani kwenda Kujiunga nacho ili Niwaroge Maadui zangu wote hapa JamiiForums

6. Mishahara ya Wachezaji wao tu inaweza Kuinunua Klabu moja Kubwa nchini Tanzania yenye Mdhamini Muuza Magodoro ya Kuumiza Mgongo na Mbavu

7. Leo watacheza Mpira mwingi na mkubwa zaidi ya ule Walioucheza Juzi na Mabingwa Mamelodi Sundowns ambao unaweza Kusababisha Maafa makubwa na Watu wakapoteana kwa Mkapa.

Kila la Kheri Marumo Gallants FC leo.

ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake/ Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Leo umehangaika sana kama uko labor.
 
Yanga wamefunga midomo ya ndugu zetu wengi Sana. Ni wakati Sasa sisi Simba tujifunze kitu kutoka kwa Kaka zetu mabingwa wa makombe manne msimu huu. Yaani Dar es Salaam Young Africans.
 
Maumivu ni makali mno mitaa ya frank lampard pale kkoo
 
Back
Top Bottom